Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Matajiri wanasaidiwa na miundombinu km vile usafiri binafisi,makazi yao kuzungushiwa uzio lkn pia kuwa na vikosi kazi maalumu.Ukifuatilia vizuri taarifa za serial killers wengi hapa nchini, siyo matajiri…. Ni masikini wa kutupwa
I think we are twisting the narrative ili kujipa moyo tu
Mwaka wa kufosiUPDATE:
Nyumba ya bwana Ramji imevunjwa na wananchi na baada ya kuvunjwa, Polisi walikuja na mtuhumiwa kuonesha mambo mbali mbali yaliyojificha kwenye nyumba hiyo na walichimbua ardhini na kukuta baadhi ya viungo na vitu vilivyofungwa mithili ya vifurushi vidogo vya nguo.
baadhi ya viungo ni macho, moyo, vidole, sehemu za siri pamoja na mijusi iliokauka.
View attachment 3123738
Mbona wakienda kuwakamata wakina boni yai na kuwqzuia cdmKinachoudhi zaidi inafikia hatua wananchi waamua kuchukua hatua wenyewe.
Hapo utakuta wameripoti polisi mpaka wamechoka, wakaona isiwe shida bora waingie wenyewe kazini.
Hii inaweza kuwa record mtu mmoja kuweza kuuwa zaidi ya watu hamsini tena anaishi maeneo ambayo yana high density.
Ngoja sasa uwasikie hao polisi wanavyojitapa na hawa usalama uchwara wa JF. Yaani mtu anauwa 50 plus people uhalifu unaishia ibuliwa na raia, kule Singida nako maiti 13 hapo nyumbani kwa mganga.
Ukienda maeneo ya madini, waganga makaburi yao yanaweza kuwa wamezika watu zaidi ya mia.
Polisi wa hovyo duniani sijapata ona. Sasa hivi unadhani Muliro ndio IGP. Wengine kimya huyu Wambura ndio IGP aliepwaya kweli. Awamu ya tano polisi walikuwa active and responsive; siku hizi wala habari hawana.
Mitano tena
Huyi ramji kakamatwaUPDATE:
Nyumba ya bwana Ramji imevunjwa na wananchi na baada ya kuvunjwa, Polisi walikuja na mtuhumiwa kuonesha mambo mbali mbali yaliyojificha kwenye nyumba hiyo na walichimbua ardhini na kukuta baadhi ya viungo na vitu vilivyofungwa mithili ya vifurushi vidogo vya nguo.
baadhi ya viungo ni macho, moyo, vidole, sehemu za siri pamoja na mijusi iliokauka.
View attachment 3123738
Nilidhani una UBONGO kumbe ni mpira ulio jaa upepo tu. Mko tayari kuchangia fedha kwa ajili ya MAZISHI NA HARUSI.Mwisho samahani kwa maelezo mengi
Vyama vya kufa na kuzikana vingi vimeleta shida baada ya watu kuanza kula hela hizi
Tulipanga kuchanga kwenye ukoo wetu hela ilafika million 14, baba yangu mdogo akaiba million 8 na kuziweka kwenye business zake. Mpaka leo hazijarudi
Juzi niliwashawishi baadhi ya watu tuwe na list ya watu 200 tu. Ila hatitachanga kila mwezi
Chama chetu kitakuwa cha wanachama wanaosaodiana tu wakati shida ikitokea. Mfano kila mwanachama akitoa elfu 20, aliyepata matatizo atapa millions 4
Matatizo gani nayazungumzia hapa?
1. Mfano ajali
2. kufiwa na baba, Mama, mtoto na mke tu. Misiba mingine ya babu, bibi, mjomba haitohusiana
3. Kusapoti mchango wa harusi
Sio kila jambo mnarukia uchawi kutoka kilimanjaro.
Akili yako mkiona watu wanafanya maendeleo ni wachawi. Wewe ndio mchawi mkubwa
Unakuta mtu ana kiduka anauza mpaka saa saba za usiku, mnamuita mchawi. Kama angekuwa mchawi angelala hela ziingie sio kuwa anapambana toka asubuhi akichuma mnamuita mchawi
Tafuteni hela
Nimeona hilo pia at first glanceMbona kama inaonekana ni risiti za malipo ya michango ya chama chao cha kufa na kuzikana?
Hakuna cha ajabu hapo
Jamaa ni wakuombewa kwa kweli sio akili yake utakuta au hana mtoto kwa hiyo a feel maumivu ya familia ya mtoto Hugo😭😭Wewe ulie elewa vizuri tueleweshe, bado vifo 7 ina maanisha nini? Kama mtu kachangia kwenye vifo vilivyopita na kabakiza vifo saba, ndo tunavyotskiwa kuandika tukizingatia tafsida?? Mbona maneno yaliyotumika ni makali sana? Vifo 7 au misiba 7?
Uliwahi kusikia wapi watu wanatangaza eti kuna kifo kwa flani? Sahihi ni kuna msiba kwa flani. Ambao hawakutoa michango vifo vilivyooita? Auvn ambao hawakutoa michango misiba ilopta?
Hizo list zina aksi ukatili na kutokujali yani ni kabda jama ni vifo vya wanyama au ndege ndo vinavyo ongelewa kwenye hizo list na si vya binadamu.
Kwako hata hilo la mtoto kukutwa kafa kinyama bado jambo dogo tu ?
Unanipa makavu live bibie😄Kwanza Mimi ni mama sijazeeka bado
Pili huku mbeya watu huua hata kwa 50k
Halafu ndo mtakuja kunikomboa au ndo ntaishia?😄Ngoja wakutoe kafara kwanza
usangi sehem gan? lomwe kiriche makandeni?
Hizo fesitivo ndio kazi yake.Tukio lilianzia baada ya:
Mtoto wa miaka 11 (Maryam) anayesoma darasa la sita Kata ya Sokone One kukutwa ameuawa kwa kukatwa katwa na kutenganishwa mwili wake na kichwa na kisha kuwekwa kwenye beseni na kufichwa uvunguni mwa kitanda katika nyumba ya bwana Ramji Hatibu Mlacha.
Baada ya taharuki hii wananchi waliamua kuvunja nyumba, kuchukua na kutoa vitu vyote ndani ya nyumba
katika vitu vilivokutwa ni risiti zaidi ya 50 zikionesha malipo ya ada za vifo vya watu, risiti hizo zipo zinazoonesha vifo vinatakiwa 9 kwa risiti moja.
katika risiti hizo P.O.box inasoma
U.U.K.K. USANGI
P.O.Box 209 ARUSHA
Wananchi wanadai hiyo miaka sio hii tunayohesabu, pengine wanamiaka yao kwakua hizo risiti na za hivi miaka ya karibuni.
Mtuhumiwa alikua anaishi na mkewe.
Na aliyegundua kuwepo kwa mtoto huyo ni baada ya mtoto wao wakike aliyeolewa kuja kuwasalimia akiwa na mjukuu, mjukuu huyo aliingia ndani kutafta kiatu na kukuta mkono chini ya uvungu ndipo alipomuita mama yake na wakaanza kupiga kelele na watu kujaaa
View attachment 3123295
View attachment 3123250
UPDATE:
Nyumba ya bwana Ramji imevunjwa na wananchi na baada ya kuvunjwa walichimbua ardhini na kukuta baadhi ya viungo na vitu vilivyofungwa mithili ya vifurushi vidogo vya nguo.
baadhi ya viungo ni macho, moyo, vidole, sehemu za siri pamoja na mijusi iliyokauka.
Hicho kitabu Cha kawaida tu.View attachment 3123297
Kitabu kilichohifadhi risiti
Huu uchaguzi ccm itatumaliza. Death after death every whereHalafu ndo mtakuja kunikomboa au ndo ntaishia?😄
Hao sio wachaga ,ni Wapareee haoUo ndo utajiri wa wachagga! Hii mijitu miuaji!