Arusha: Sabaya na wenzake wafikishwa Mahakamani. Kesi yaahirishwa baada ya mashahidi kukosekana Mahakamani

Arusha: Sabaya na wenzake wafikishwa Mahakamani. Kesi yaahirishwa baada ya mashahidi kukosekana Mahakamani

Zile pesa zimeanza kuonekana kazi yake.
Vipi CCTV zimepotea ?
 
hamna kesi hapo ni siasa chafu.
ushabiki mtupu.
ikija tena hakuna shahidi futilia mbali takataka ya kesi hii, mnamtaabisha mtu wa watu buree tu.
huyu DC alifanya kazi kubwa sana ktk wilaya ya Hai, nimefuatilia clips nyingi kafanya kazi ambazo zilimjengea maadui wengi zaidi; wafanya biashara, wanasiasa n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ipi aliofanya? Au ile ya kuteka watu na kupokonya watu hela zao?
 
Tayari kimeumana mashahidi wa kununuliwa wanaanza kuogopa hivi nyie mnaodanganywa kuunda ushahidi mahakamani sio pa mchezo ni moto hasa mtaumbuka mchana kweupe tena mapema kabisa.
 
Tayari kimeumana mashahidi wa kununuliwa wanaanza kuogopa hivi nyie mnaodanganywa kuunda ushahidi mahakamani sio pa mchezo ni moto hasa mtaumbuka mchana kweupe tena mapema kabisa.
Wewe usiyenunuliwa si uende ukatoe ushahidi mahakamani?
 
Tulia wewe mama, inatakiwa iwe hivyo hata miaka miwili. Hajamaliza hata miezi mi5 mshaanza kulalamika? Kuna waliokaa miaka
Kweli kabisa Mataga hayajui hata mwenendo wa kesi,hayajui Rugemalira huu ni mwaka wa ngapi upelelezi haijakamilika mpaka sasa

Inatakiwa kesi ya Sabaya iende mpaka miaka 4 mashahidi hakuna kwenda.
 
hamna kesi hapo ni siasa chafu.
ushabiki mtupu.
ikija tena hakuna shahidi futilia mbali takataka ya kesi hii, mnamtaabisha mtu wa watu buree tu.
huyu DC alifanya kazi kubwa sana ktk wilaya ya Hai, nimefuatilia clips nyingi kafanya kazi ambazo zilimjengea maadui wengi zaidi; wafanya biashara, wanasiasa n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wenzake wamekaa miaka ndani bila ushahidi
 
hamna kesi hapo ni siasa chafu.
ushabiki mtupu.
ikija tena hakuna shahidi futilia mbali takataka ya kesi hii, mnamtaabisha mtu wa watu buree tu.
huyu DC alifanya kazi kubwa sana ktk wilaya ya Hai, nimefuatilia clips nyingi kafanya kazi ambazo zilimjengea maadui wengi zaidi; wafanya biashara, wanasiasa n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo bwana ako jambazi lazima tumfunge safari hii
 
hamna kesi hapo ni siasa chafu.
ushabiki mtupu.
ikija tena hakuna shahidi futilia mbali takataka ya kesi hii, mnamtaabisha mtu wa watu buree tu.
huyu DC alifanya kazi kubwa sana ktk wilaya ya Hai, nimefuatilia clips nyingi kafanya kazi ambazo zilimjengea maadui wengi zaidi; wafanya biashara, wanasiasa n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha jizi walitatue marinda.
 
Back
Top Bottom