kweli kabisa game over.....hapa tunanzania kila mtanzania anauwezo na haki ya kuishi popote ndani ya mikoa ya nchi yake sijui iwe arusha mwanzs ama kishumundu kote kote ukijikidhi unaishi hawa wengine wanaleta ukabila wakizamani wakati unaweza kuta demu wake mzalamo ama mzigua.....Hivi Wakuu Lengo lenu nini hasa?
Yaani huu mvutano what are you going to get out of it?
Mnaonekana mmesoma yet mnapigizana kelele kama wajinga flani Wa karne ya 15 huko,
Kama umeendelea kuna ulazima gani kumtambia maskini?
Halafu humu wengi ni Watu wazima,
Sisi Vijana tujifunze nini kwenu?
Tukiwadharau mnaanza kutuita Kizazi cha Nyoka.
Mifi kabisa!
huyu ni kenya people......yakwao yanawashinda kaja kuropoka hukuKwanza pitia thread alizoanzisha mleta mada utajua ametokea nchi gani na lengo lake.
mbeya ni mkoa wa tatu kwa kuingiza kiasi kikubwa cha pato la taifa pia kuna iringaHuko kwenye performance Itigi, Geita, Simiyu kuna nini zaidi ya dhiki zilizokithiri? Mikoa maskini zaidi Tz ni Shinyanga na Mwanza wakati mikoa tajiri ni Dar, Arusha na Kilimanjaro. Hii ni kwa mujibu wa serikali yako ya ccm
safi kabisa........baba mwenye nyumba mtanzania lakini anajiita mkenya je....mama mwenye nyumba mke wake siata likataa hadi jina la mme wake nakujiita odinga....hapo wamebugi aiseeWaliowavalisha huo ukenya ni Wakenya na nyie, na nyie mnakubali kulinganishwa na watu Wa hovyo kama wakenya,
Hebu tuwe serious, sisi watz tuko better than hao wakenya.
Japo napakubali Arusha na Kaskazini kwa Ujumla sijaona sababu ya Wewe kukubali kuvalishwa ukenya, huko ndiko Kutojiamini.
mnatuletea thread za ovyo ovyo.....mfano hii thread muwe mnaleta vya maana...mfano nitakuonyeshahuezi changia mada mpaka utukane wakenya.....watu wa ovyo walikukosea nni?
Aliyekudanganya ni nani? Ebu weka hiyo link ya ulikotoa hichi unachosema..mbeya ni mkoa wa tatu kwa kuingiza kiasi kikubwa cha pato la taifa pia kuna iringa
1.DAR
2.MWANZA
3.Mbeya
hyo mingine ndyo inafuata
Sehemu pekee ambayo ukifika Tanzania na usifike hapo wewe hujafika Tanzania ni Dar Es Salaam.
Ukitaka kujua maendeleo ya mkoa angalia mchango wa mkoa husika katika pato la taifa.
Wakati Dar ipo 7.1Trilion Arusha ipo 2.1 Trilion ikiwa ni ya 7 ikipitwa hata na Mbeya na Iringa na Morogoro.
Usizungumzie Mwanza maana ni ya Pili namba hazidanganyi ila maneno yanadanganya.
Labda tuseme Arusha ni mkoa wenye mbwembwe nyingi na makeke ya watu wake lakini ukifuatilia namba ndo unajua huu mkoa usingekua makao makuu ya EA huenda ungekua ni mji wa ajabu sana. Sijui sasa ni mji wa maana katika lipi
yaan huyo kaonyesha udhaifu eti mbeya nayo imesallender......pia na iringa....jamaa kaishiwaOK well, watu wa kaskazini wanatupangia cha kufanya sisi Wa Kusini, its ok then, njoo utupige.
umehama Kaskazini,
Sasa umekuja kusini..
You're the only problem here!
huyu ni kenya people......yakwao yanawashinda kaja kuropoka huku
Aliyekudanganya ni nani? Ebu weka hiyo link ya ulikotoa hichi unachosema..
But why?Aliyekudanganya ni nani? Ebu weka hiyo link ya ulikotoa hichi unachosema..
yaan huyu hajui .....anazani mbuga ipo arusha peke yake hajui kama mbuga kubwa ya wanyama tanzania ipo wapi....na hajui kama watalii hawaendi mbuga moja wanaenda sehemu tofauti tofauti ila nimegundua huyu jamaa ukabila unamsumbua inabidi ajirekebishe hata ukweli anaukataaBut why?
Kwani tunashindana na hili?
Yaani mbeya wakichangia pato kubwa kuliko Arusha wewe shida yako nini?
Kufikiria kwa namna gani huku?
Source ni Jamii Forum.. Huna akili kweli wewe.. Weka link ya BOT hapa, hata mie naweza nikasema Mtwara inaongoza kwa kuchangia pato la taifa kuliko Dar.. Tatizo ni verified link sio blah blah
Istiafrila[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Daaah pazuri aysee vpi wanaruhusu kupgia picha hapo nije nifanye utalii wa majengo ya istiafrila [emoji1][emoji1]
Hivi huoni tangia jana unaniquote ila sikujibu chochote?But why?
Kwani tunashindana na hili?
Yaani mbeya wakichangia pato kubwa kuliko Arusha wewe shida yako nini?
Kufikiria kwa namna gani huku?
yaani ww na ukubwa wako wote hauujui ukweli hadi kilimanjaro unataka uilinganishe na mkoa wa mbeya uingizaji wa pato kubwa kwa taifa......dah aisee unanisikitisha tatizo siyo lako nahisi ukabila umekutawala ....ukweli ndyo huo kaa ukijua.....hii ni nchi yetu sote achana na ukabila.......na uende ukagoogle utafute link za mikoa inayoliingizia taifa pato kubwa utaumbuka mwenyewAliyekudanganya ni nani? Ebu weka hiyo link ya ulikotoa hichi unachosema..
mim asili yangu si wa uko na sina kabila ila napokuwa na watu wa mkoa wangu ndyo naingia kwenye kabila langu....Sasa kwenu ni Tabora,unaumia nini?
Tena wanazilima wenyeweMji wa wavuta bangi
usitoe povu sana man..kwan kuwa land locked ni dhambi? mbona uganda wako ivo na wanasurvive? tujaribu itapendeza sana real maana culture ya mombasa na tanga zinafanana sanaMawazo yako yashindwe na yalegee na haitokuja tokea. Unafikiri Kenya atakubali kuwa landlocked?
Wewe una chuki yako na watu wa pwani basi tu. Tanzania si pwani ila pwani ni Tanzania!