"Arusha sio Tanzania"

"Arusha sio Tanzania"

Hiki kichaka tunakitafutia dawa....inaonekana kodi za mageti ya ngorongoro, tarangire, mt kilimanjaro nk yanakupa kiburi sana...vinginevyo pale arusha mjini hamna kitu...
Punguani wahed... Kwahiyo na Dar unataka wasitambie bandari yao?

Unajua Utalii umeajiri na watu wangapi wamejiajiri kupitia kwayo? Hizo pesa zinazolipwa kodi ni faida tu ya makampuni ya kitalii na mahotel yaliyoko Arusha, hizo tozo za park wala si chochote si lolote..
 
Hizi mada za kitoto tulishazikataa humu JF, arusha haina kitu chochote cha tofauti hapa tanzania nimetembea karibia mikoa yote siwezi kutifautisha kati ya arusha, katavi, lindi, mtwara, kigoma n.k yote mikoa iko sawa tu
 
Dah... Watu wa Arusha hata wakijamba ni kama uturi tu[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Hahaha...huko wanakaa wakaskazini wengi zaidi.

Nyie waswahili zenu ni mwananyamala, Tandale, Manzese na wengine mmetupwa nje ya jiji kabisa

UKWELI UNAUMA....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
True,ukiwaondoa wakaskazini Dar utakuwa umeidororesha kwani wanaokimbiza Dar ni watu wa kaskazini,wenyeji wanalikimbia jiji.
 
jamani wa TANZANIA tuwe wamoja hii thread inazingua arusha ni mkoa uliopo tanzania na itabaki tanzania milele.......waliokuja na masuala ya ukabila hapa mshindwe.....na kuhusu dar huu ni mkoa uliokusanya makabila yote wengi wetu ni waamiaji tu na tukija kwenye asili wengi ni asili ya mikoa mingine
Ila tuseme ukweli wanaokimbiza Dar ni watu wa kaskazini.
 
Yah ni kweli huko hakuna pweza wala vigodoro lakini kwa nguvu ya ustaarabu na mila za Pwani ni rahisi kukuta huko vitu hivyo. Miji ya kwanza kuendelea ni miji ya Pwani na hii ni kutokana na kutumia akili katika utendaji wa kazi (mental works) na ni kweli physical works kama kulima,kuchunga nk ni za huko kwenu vijijini.(kazi za kutumia nguvu sio sehem ya aina ya kazi za watu wa mijini). Kuhusu elimu ni rahisi mtu kuhesabu watu walio na elimu huko vijijini kwenu na katika idadi hiyo chache ndio mnajivunia. Huku mjini watu waliosoma ni wengi uki-compare na huko vijijini ambapo kuna kiwango kikubwa cha wasio na elimu. Wachache wanaobahatika wanakuja kuishi huku Pwani kwa wastaarabu.


Arusha ya 2017 ni sawa na Dar au Pwani ya 1907.(karne moja na muongo mmoja)

View attachment 505996

View attachment 505991

View attachment 505989
Dar 1907

View attachment 505990

Bagamoyo 1910



Arusha 2017 in coloured picture
View attachment 505992

View attachment 505994

View attachment 505995

Arusha 2017 (black and white) look the same as Dar in its early 1910s
View attachment 505993


So mna kazi sana kuwafikia wavivu wa Dar na Pwani mkuu
Mkuu hiyo Dar imejengwa na watu wakuja hasa Wachagga,

Wazaramo,Wakwere na Wandangereko Hamna chenu tena inazidi kuwa historia.
 
Hizi mada za kitoto tulishazikataa humu JF, arusha haina kitu chochote cha tofauti hapa tanzania nimetembea karibia mikoa yote siwezi kutifautisha kati ya arusha, katavi, lindi, mtwara, kigoma n.k yote mikoa iko sawa tu
Mbona povu mkuu [emoji23]

Sasa si uachane na mada hii uchangie zingine chief?
 
Dogo huna unachojua lakini unajitahidi sana kujifanya unajua angali hujui chochote.. Sasa nakupa tu infos zitakazokusaidia ili usiendelee kupumbazwa na wajinga wajinga..

Hizi ni data za TRA, sasa ili na wewe nikuone unaleta hoja basi niletee data yeyote ya serikali inayosema Mbeya au huko unakosema kunatoa pato kubwa kwa taifa kuliko kwingine. Usiniwekee maneno ya JF ambayo kimsingi hapa unaandika chochote unachojisikia kukiandika..

Mwaka 2014/15 na 2015/16 TRA walikusanya kodi kama ifuatavyo.. Sote tunajua kodi ndiyo main source ya pato la taifa..
View attachment 506206
Hapo sasa tofautisha ukusanyaji wa Mbeya, Mwanza, Iringa na Arusha na Kilimanjaro.. Kimsingi tu ukichukua pato la Mbeya + Iringa + Mwanza bado halifikii pato pekee la Arusha.. Pia ukichukua pato la Arusha na Kilimanjaro ni jumla ya pato lote la mikoa ya kanda ya ziwa jumlisha na Mbeya na Iringa..

Hii ni kwa mwaka 2016/17 ambao bado ukusanyaji unaendelea.. Hapa pia Arusha inaendelea kuzigalagaza Mbeya na Mwanza..
View attachment 506210 View attachment 506211
Sasa I challenge you uniletee data za BOT au kokote kule kwenye document au link ya verified government institution kusupport kile ambacho wewe ulikileta..
Zamani nami nilikuwa mbishi lakini siku moja nilioneshwa takwimu hizi za TRA nikakubali. Wengi wetu hutazama vitu kihisia na si kiuhalisia. Lakini at the end of the day, namba hazidanganyi.
 
Mambo ya Benghazi na Tripoli yalianza hivi hivi.
 
Back
Top Bottom