mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Sawa mkuu... Asubuhi njema.Hahaha..kwani kwenda Las Vegas au Johanesburg wewe ulienda kwa kutembea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu... Asubuhi njema.Hahaha..kwani kwenda Las Vegas au Johanesburg wewe ulienda kwa kutembea?
Sure, Pamoja na kuwa Arusha ni Pazuri,Hapana nafananisha jioni na usiku
Hakuna sehemu kama ARUSHA, wewe watokea wapi yakhee??? [emoji23]
Siku njema mkuu.Sawa mkuu... Asubuhi njema.
Kujisifia na kusifia vya kwenu ni hulka tu.Sure, Pamoja na kuwa Arusha ni Pazuri,
To me IRINGA is the best,
Hata hivyo, ukiona unatumia Nguvu nyingi kuwaaminisha wengine kuwa wewe ni bora kuliko wao ujue huenda sio kweli wewe ni Bora,
Kilicho bora hujidhihirisha chenyewe, Acha wengine Waseme wewe ni BORA,
Taifa kubwa Halijitangazi, Wote tutasema South Africa na Egypt ndio Nchi zilizoendelea zaidi Africa, (No doubt) ukipita kwenye forum zao Kama 'Mybroadband hautaona nyuzi za Majigambo,
Because its an Obvious.
Vichwa vyenu watu wa arusha vina umwa homa ya ubaguzi na ukanda, inabidi mkatafute tiba.Mbona povu mkuu [emoji23]
Sasa si uachane na mada hii uchangie zingine chief?
Huu si ubaguzi mkuu, ni watu wanasifia maendeleo waliyoyafanya katika KANDA YAOVichwa vyenu watu wa arusha vina umwa homa ya ubaguzi na ukanda, inabidi mkatafute tiba.
Mtu mwenye akili timamu na ambaye ametembea duniani atawacheka sana na hoja zenu za kitoto.
Na hizo habari zenu za majivuno ziishie huko huko porini sio hapa JF sehemu yenye watu waelewa
Hapana nafananisha jioni na usiku
Hakuna sehemu kama ARUSHA, wewe watokea wapi yakhee??? [emoji23]
Hahaha..kwani kwenda Las Vegas au Johanesburg wewe ulienda kwa kutembea?
Siku njema mkuu.
Wewe utakuwa gasho sio bure, watu kama nyie ndio mnatakiwa mvalishwe jiwe la tani 5 na utupwe baharini ukaliwe tigo na mapapa naKujisifia na kusifia vya kwenu ni hulka tu.
Arusha na watu wake ni vya kipekee.
Kuna kipi Arusha? Madini, National Parks, Conservation Area,watu wa kaskazini kweli ni level nyingine in everything, acha ijitenge tu Iwe GENEVA of EAST AFRICA mikoa mingine inatuchelewesha sanaaa kufikia tunapotaka eti ubashite wa Dar uwe applied Arusha? sasa mkoa mpya kama simiyu utaiga nini Dar na Arusha vikifanana bora mkajenge dodoma ifanane na Dar Arusha na Kilimanjaro mziache zijitenge
Huo ni ubaguzi tena usipopigwa vita utaleta shida sana, kuna kitu watu wa arusha huwa hamjielewi kwa kuiga wakenya, wakenya tayari walishabaguana kwa makabila na ukanda mda mrefu sana.Huu si ubaguzi mkuu, ni watu wanasifia maendeleo waliyoyafanya katika KANDA YAO
Nawe huzuiwi kupasifia kwenu...ilimradi tu isiwe sifa za uongo.
Ikiwa mimi ni Gasho basi Baba yako mzazi ndiye aliyenifunzaWewe utakuwa gasho sio bure, watu kama nyie ndio mnatakiwa mvalishwe jiwe la tani 5 na utupwe baharini ukaliwe tigo na mapapa na
Hizo hadithi zako za kitoto.
Tanzania huijui na hata arusha yenyewe huijui halafu unatuletea habari za kitoto hapa. Hivi unafikiri arusha ni hapa mjini pekee ambapo unapamaliza kwa miguu tu.
Je umewahi fika loliondo, karatu maporini, longido, samunge, nanja, makuyuni, mto wa mbu, ngarasero, engaruka, kigongoni, kikatiti, maji ya chai. Hayo maeneo ndio sehemu kubwa ya eneo la mkoa wa arusha umewaona maisha wanayoishi watu huko na mila zao?
Kwa hiyo acha ujinga kushabikia kitu ambacho haukijui.
Kekerenkedeee...kuwa makini usiseme neno UBAGUZI ama UKABILA, hayo ni maneno mazito yawezayo kukuweka ndani.Huo ni ubaguzi tena usipopigwa vita utaleta shida sana, kuna kitu watu wa arusha huwa hamjielewi kwa kuiga wakenya, wakenya tayari walishabaguana kwa makabila na ukanda mda mrefu sana.
Hizo tabia zao za kibaguzi waachieni wakenya na muwaige mambo mazuri tu.
Inafika mda watu wa arusha mnaiga hadi namna wakenya wanavyoongea huwa inanisikitisha sana.
Tanzania ni nchi ambayo mikoa yote inafanana na tunategemeana hakuna mkoa ulio kamilika.
Kweli kabisa, arusha, Kilimanjaro ziende kenya, Kagera uganda, mbeya Malawinakubali hoja yako. nngekuwa na uwezo ningefanya mapinduz...arusha and moshi iko tofaut sana na wabongo wa huku pwani. nashaur mombasa ije tz na arusha na moshi tuipeleke kenya. cjui kwa nn kenyatta hakufight kipindi kileeee. afu pia wahaya hawajafanana na wazaramo kabisa..hivi obote na idd amini walizidiwaje ujanja na mwalimu? dah niutani tu modes usinipige ban. au ndugu unamawazo gan ww?
Kwahiyo la kujivunia ni kumlisha dagaa au kumchinjia kuku kisha kumfanyisha mikazi eeh...!
Ndio maana hamuwezi kuwa na akili kama wanakaskazini.
huo ubaguzi utakuwa unauleta wew sasa. wakenya ubaguzi wao mwisho namanga, hilili, taveta uku ubinadam tuHuo ni ubaguzi tena usipopigwa vita utaleta shida sana, kuna kitu watu wa arusha huwa hamjielewi kwa kuiga wakenya, wakenya tayari walishabaguana kwa makabila na ukanda mda mrefu sana.
Hizo tabia zao za kibaguzi waachieni wakenya na muwaige mambo mazuri tu.
Inafika mda watu wa arusha mnaiga hadi namna wakenya wanavyoongea huwa inanisikitisha sana.
Tanzania ni nchi ambayo mikoa yote inafanana na tunategemeana hakuna mkoa ulio kamilika.
Ikiwa mimi ni Gasho basi Baba yako mzazi ndiye aliyenifunza
Lakini maajabu ni kwamba mama yako mzazi pamoja na kukutana na mimi siju zooote hajawahi kunotice hilo.
Badala yake huwa anasifia hogo msimamo mujarab.
Hakuna mahali kama Arusha, rudi Kolomije.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]