ujue unataka tubishane ujinga mpaka nitakudharau sasa yaan wew upo nchi hii na haujui chat za mikoa inayoiingizia pato kubwa taifa.....aisee unanisikitisha...Source ni Jamii Forum.. Huna akili kweli wewe.. Weka link ya BOT hapa, hata mie naweza nikasema Mtwara inaongoza kwa kuchangia pato la taifa kuliko Dar.. Tatizo ni verified link sio blah blah
Dogo huna unachojua lakini unajitahidi sana kujifanya unajua angali hujui chochote.. Sasa nakupa tu infos zitakazokusaidia ili usiendelee kupumbazwa na wajinga wajinga..yaani ww na ukubwa wako wote hauujui ukweli hadi kilimanjaro unataka uilinganishe na mkoa wa mbeya uingizaji wa pato kubwa kwa taifa......dah aisee unanisikitisha tatizo siyo lako nahisi ukabila umekutawala ....ukweli ndyo huo kaa ukijua.....hii ni nchi yetu sote achana na ukabila.......na uende ukagoogle utafute link za mikoa inayoliingizia taifa pato kubwa utaumbuka mwenyew
Hakuna Wa Kuvunja heshima yako, but only you,Hivi huoni tangia jana unaniquote ila sikujibu chochote?
Sasa tafadhali sana, heshima yako kwangu usije ukaivunja..
Mwenyewe kama mtanzania ningesapoti tupewe pwani nzima ya Afrika Mashariki ila ukweli ni kwamba Kenyans value their coast kuliko Arusha kwani Arusha mnawapelekea nini mpaka wakubali kutoa pwani yao?usitoe povu sana man..kwan kuwa land locked ni dhambi? mbona uganda wako ivo na wanasurvive? tujaribu itapendeza sana real maana culture ya mombasa na tanga zinafanana sana
And you will be ignored for good..Hakuna Wa Kuvunja heshima yako, but only you,
Nitaquote kila comment ambayo ipo wrong,
Kama hizi zako,
Pole!
nani kakwambia mleta mada ni mkenyamnatuletea thread za ovyo ovyo.....mfano hii thread muwe mnaleta vya maana...mfano nitakuonyesha
Mbaya zaidi tambo zao ni zile za primary school kids.Hivi Wakuu Lengo lenu nini hasa?
Yaani huu mvutano what are you going to get out of it?
Mnaonekana mmesoma yet mnapigizana kelele kama wajinga flani Wa karne ya 15 huko,
Kama umeendelea kuna ulazima gani kumtambia maskini?
Halafu humu wengi ni Watu wazima,
Sisi Vijana tujifunze nini kwenu?
Tukiwadharau mnaanza kutuita Kizazi cha Nyoka.
Mifi kabisa!
Acha ufala ww....umetembea mikoa mingapia ya Tz,nani kakuambia Nairobi ndo kipimo cha maendeleo...?Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Good,And you will be ignored for good..
Unbothered..
Kama ni hivyo nyinyi ni manabii wa wizi mara ngapi kila zuri la Tanzania mwasema lenuprophet of doom...hakuna vita vitatokea kenya.tuombee mema sio mabaya
Kweli kabisa kiongozi hata mimi nikiwa Songea huwa najisikia hali tofauti na hali ya hewa ipo tofauti vyakula tofauti home sweet home.Yani mimi nikitoka nje ya Arusha wakati nikiwa narejea ile nikianza kuingia Arusha najiona tofauti kabisa.
Yani nahisi hata ile hewa ya kwetu ni tofauti na sehemu nyingine, una feel rejuvenated ukiwa arusha.
Kwa uandishi huu utapewaje nchi mkuu?Sie Wana-kaskaz ndio maana tunapigwa vuta sana kwa kuwa tunaona mbali,sasa wale waona karibu wakisema watupe chanse tu hata ya niaka 5 tu wanajua hawatakubalika tena,sasa ninachobaki ni kuwachafua tu, na ikibidi waangamie. R.I.P EDWARD M SOKOINE
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwa uandishi huu utapewaje nchi mkuu?
IstiafrilaDaaah pazuri aysee vpi wanaruhusu kupgia picha hapo nije nifanye utalii wa majengo ya istiafrila [emoji1][emoji1]
Dogo huna unachojua lakini unajitahidi sana kujifanya unajua angali hujui chochote.. Sasa nakupa tu infos zitakazokusaidia ili usiendelee kupumbazwa na wajinga wajinga..
Hizi ni data za TRA, sasa ili na wewe nikuone unaleta hoja basi niletee data yeyote ya serikali inayosema Mbeya au huko unakosema kunatoa pato kubwa kwa taifa kuliko kwingine. Usiniwekee maneno ya JF ambayo kimsingi hapa unaandika chochote unachojisikia kukiandika..
Mwaka 2014/15 na 2015/16 TRA walikusanya kodi kama ifuatavyo.. Sote tunajua kodi ndiyo main source ya pato la taifa..
View attachment 506206
Hapo sasa tofautisha ukusanyaji wa Mbeya, Mwanza, Iringa na Arusha na Kilimanjaro.. Kimsingi tu ukichukua pato la Mbeya + Iringa + Mwanza bado halifikii pato pekee la Arusha.. Pia ukichukua pato la Arusha na Kilimanjaro ni jumla ya pato lote la mikoa ya kanda ya ziwa jumlisha na Mbeya na Iringa..
Hii ni kwa mwaka 2016/17 ambao bado ukusanyaji unaendelea.. Hapa pia Arusha inaendelea kuzigalagaza Mbeya na Mwanza..
View attachment 506210 View attachment 506211
Sasa I challenge you uniletee data za BOT au kokote kule kwenye document au link ya verified government institution kusupport kile ambacho wewe ulikileta..