mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,610
- 1,601
Kekerenkedee...wanakimbilia fursa ambazo washinda vibarazani na wapaka poda hamzioni yakhee...!
Ubaguzi utakumaliza gasho, naona unavyotoa mipasho kama umepakatwa na morani, hatari sana.Ndio maana Unajitambua, na Tayari una baraka tele.
Huwezi kuzaliwa hospitali ya Mt. Meru, Kaloleni, ALMC, au AICC ukafanana na wabwabwajaji laini wa Tandale au Mpanda.
azarel a.k.a gasho wa kijijini arusha.
arusha ni pakawaida sana acha mawazo mfu na ya kitoto gasho(punga)