Arusha: Ukikutwa umevaa Suruali ya kubana, Sketi fupi Faini Tsh. 50,000

Arusha: Ukikutwa umevaa Suruali ya kubana, Sketi fupi Faini Tsh. 50,000

Hujambo? Mm siyo PhD tafadhali, rekebisha. Nadhani nimeeleza yangu kwenye posts zingine. Ngoja nisirudie. Tuendelee kujadili kwa lengo la kuelimishana tafadhali. Mm lugha hizi zingine ambazo siwezi kuzisema mbele ya ibada mtanisamehe. Nitaenda hivi hivi mdogo mdogo na zile lugha zetu ambazo wazazi wetu walisema ni za heshima.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app

My sincere apologies kama nimetumia lugha ya kukera accidentally.

Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu uwe PhD holder in near future. Naiona hekima kubwa ya kiuongozi na busara nyingi ndani mwako.

Much blessings ndugu Waziri Daktari Gwajima. 🤝🤝🤝

-Kaveli-
 
My sincere apologies kama nimetumia lugha ya kukera accidentally.

Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu uwe PhD holder in near future. Naiona hekima kubwa ya kiuongozi na busara nyingi ndani mwako.

Much blessings ndugu Waziri Daktari Gwajima. [emoji1666][emoji1666][emoji1666]

-Kaveli-
Uwe na amani tele Kaveli, hakika don't count, kwa umri wangu mm najiona mama kabisa ninayepaswa kuchukulia jambo lolote humu duniani kwa jicho la wema na kutafuta kile chema kilichomo ndani ya mtu yeyote Ili kitumike kwa maendeleo na ustawi wa jamii. Karibu Sana kwenye wizara yako ya jamii. Huku tunahitaji mawazo ya jamii kutoka saiti kabisa, na wewe kipo kitu, tafadhali tupatie tujenge pamoja [emoji1431][emoji1431][emoji1431]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Hizi sheria sio mbaya sema kuna baadhi huzitumia vibaya. Mwaka huu huko Sanawari kuna mama kampoteza kijana wake baada ya kumkabidhi kwa wanakijiji wamchape hizo fimbo 70 aache tabia mbaya. Dogo alifariki kwa kipigo na mama akatelekezewa maiti.

Pia kusema kuwatoza faini vijana wasio na kazi ni kuzidi kuongeza matatizo yasiyo ya lazima kwenye jamii. Kijana kasoma zake Engineering pale COET karudi kijijini hana kazi mara ghafla kuna watu hawakumaliza hata shule ya msingi wanamkamata na kumchapa fimbo 70 kwamba kakutwa kijiweni. Wazee wa kimeru waache upumbavu. Hizo sheria wajiwekee wao wenyewe ili waache kuuza hovyo maeneo yao.
 
Hizi sheria sio mbaya sema kuna baadhi huzitumia vibaya. Mwaka huu huko Sanawari kuna mama kampoteza kijana wake baada ya kumkabidhi kwa wanakijiji wamchape hizo fimbo 70 aache tabia mbaya. Dogo alifariki kwa kipigo na mama akatelekezewa maiti.

Pia kusema kuwatoza faini vijana wasio na kazi ni kuzidi kuongeza matatizo yasiyo ya lazima kwenye jamii. Kijana kasoma zake Engineering pale COET karudi kijijini hana kazi mara ghafla kuna watu hawakumaliza hata shule ya msingi wanamkamata na kumchapa fimbo 70 kwamba kakutwa kijiweni. Wazee wa kimeru waache upumbavu. Hizo sheria wajiwekee wao wenyewe ili waache kuuza hovyo maeneo yao.
Hujambo? Ahsante kwa kuingia kwenye mjadala wetu. Ila tu ingia tu vzr tutaenda sawa. Unajua nini, mm naona Hawa Wazee wametu challenge sisi hapa ambao wengi wetu tunaona mambo yanaenda mrama lakini wengi tunalalamika tu naku komenti online hatuchukui hatua saiti.

Sasa, faida hapa ni moja tu: Hawa wameanzisha mwendo, hili shukrani kwamba Nia njema wanayo..sasa sisi twendeni tuka regulate mwendo huo usije ukarudi kinyume nyume zikatokea ajali fulani. Sisi tu tutengeneze bond chanya nao..watatuelewa halafu hata hao target group nayo itaelewa tu. Ujenzi wa saikolojia ya jamii unahitaji mazungumzo na kuthamini Kila mmoja anachowaza ilimradi Nia yake njema, basi na wewe ukishathamini mnasikilizana nawe unatia lako mnaenda.

Sijui kama ni mm tu ndiyo nawaza upside down au kuna mtu ananielewa[emoji26]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Kwann wasingeanza vitu vya kidini dini kama mavazi, mikufu na salamu za kidini...
Kwann mtu akutazame Tu ajue dini yako hiyo inaweza leta upendeleo, kuondoa usawa au kunyimwa haki
 
Hujambo? Ahsante kwa kuingia kwenye mjadala wetu. Ila tu ingia tu vzr tutaenda sawa. Unajua nini, mm naona Hawa Wazee wametu challenge sisi hapa ambao wengi wetu tunaona mambo yanaenda mrama lakini wengi tunalalamika tu naku komenti online hatuchukui hatua saiti.

Sasa, faida hapa ni moja tu: Hawa wameanzisha mwendo, hili shukrani kwamba Nia njema wanayo..sasa sisi twendeni tuka regulate mwendo huo usije ukarudi kinyume nyume zikatokea ajali fulani. Sisi tu tutengeneze bond chanya nao..watatuelewa halafu hata hao target group nayo itaelewa tu. Ujenzi wa saikolojia ya jamii unahitaji mazungumzo na kuthamini Kila mmoja anachowaza ilimradi Nia yake njema, basi na wewe ukishathamini mnasikilizana nawe unatia lako mnaenda.

Sijui kama ni mm tu ndiyo nawaza upside down au kuna mtu ananielewa[emoji26]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Sijambo shkmoo Mama. Kwanza nikutake radhi kama lugha yoyote mbaya imekukera kwenye comment yangu. Binafsi nimekulia huko Arusha na ninafahamu sana kuhusu hiki ambacho kimekuja kwenye media. Hizo sheria zilizofika kwenye vyombo vya habari sio ngeni kabisa na huwa zinatumika kwa miaka mingi. Kuna kaka yetu alikuwa akinyanyasa sana mke wake kwa vipigo na kutomjali. Alichukuliwa akatandikwa viboko sabini na wazee wa kiarusha. Tatizo linakuja kuna baadhi ya watu wanaotumia vibaya hizo taratibu kufanya unyanyasaji hadi kusababisha vifo na ulemavu. NAUNGA MKONO hoja yako ya ku-regulate hizo taratibu. Serikali iweke mkono wake ili watu wasivuke mipaka na kufanya ukatili. Viboko 70 ni kawaida sana Arusha.
 
Sijambo shkmoo Mama. Kwanza nikutake radhi kama lugha yoyote mbaya imekukera kwenye comment yangu. Binafsi nimekulia huko Arusha na ninafahamu sana kuhusu hiki ambacho kimekuja kwenye media. Hizo sheria zilizofika kwenye vyombo vya habari sio ngeni kabisa na huwa zinatumika kwa miaka mingi. Kuna kaka yetu alikuwa akinyanyasa sana mke wake kwa vipigo na kutomjali. Alichukuliwa akatandikwa viboko sabini na wazee wa kiarusha. Tatizo linakuja kuna baadhi ya watu wanaotumia vibaya hizo taratibu kufanya unyanyasaji hadi kusababisha vifo na ulemavu. NAUNGA MKONO hoja yako ya ku-regulate hizo taratibu. Serikali iweke mkono wake ili watu wasivuke mipaka na kufanya ukatili. Viboko 70 ni kawaida sana Arusha.
Ahsante Sana kwa mchango wako. Hasa uliposema kuwa hizi taratibu zipo kumbe kwenye jamii za huko tangu zamani. Ila sasa ndiyo wanaanza kutoka na kuzisema bayana.

Hii sasa ni hatua nzuri wamefanya kwa kuwa, kisaikolojia sasa wame open up maana yake wako tayari kufikika kwa mazungumzo na maboresho.

Tukiwaendea tukiwa positive hakika watafanya mabadiliko chanya. Tukiwasema sema vibaya wakajua, watajificha tena tutakuwa tunakutana na Matukio tu na aliyefanya tusimjue.

Ahsanteni sana kwa michango yenu. Mm pia nimejifunza mengi, na hii ndiyo njia sahihi ya kushiriki mijadala migumu ya jamii, Hadi wote twende sawa.

Mbarikiwe, usiku mwema. Kama kuna maoni mengine, kesho nitayaona pia.

Kila la heri kwenu wote [emoji1431]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Tuje na wanaume wasuka nywele,wavaa Heleni puani,vikuku mguuni wanyooshwe

Ova
 
Nimesikia akisema ikioneka kijana hafanyi kazi atapigwa faini Elfu 50.Swali kijana Hana kazi unampiga faini Elfu 50 hio Elfu 50 ataitoa wapi
 
Watanzania wenye akili tupo elfu kumi,,japo nanyoa kiduku,, ila hili nimelipenda wala sina pingamiz tena iwe nch nzima haiwezekan wadada watuvalie nusu uchi kias hiki ukienda kuomba mzigo wanakunyima tena mm nisingeweka adhabu ya elfu 50 ningesema hv yoyote anayekutwa kavaa nje ya maadil abakwe ruksa masela fanyeni yenu tena hadharan na mumrekodi iwe mwanaume au mwanamke baka wote, tumechelewa sana kama mnazuia picha za ngono mnashindwaje kuzuia hawa washenz na hata hao wazungu kabla ya kuingia nch husika wapitie sheria za nchi husika na ukiona watu wanapinga hili jua hawana maadili
Ila mwamba nimecheka balaaa toa kiduku hicho
 
Kwahiyo bangi na ulevi wa kupindukia Arusha ruksa
 
Back
Top Bottom