Arusha: Waandishi wanaoripoti habari za Mahakamani za Sabaya Wanatishiwa Maisha. APC Walaani

Arusha: Waandishi wanaoripoti habari za Mahakamani za Sabaya Wanatishiwa Maisha. APC Walaani

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Chama cha Waandishi wa Habari Arusha(APC) wamelaani vitendo vya watu wasiojulikana kuwatisha waandishi wanaoandika habari za Lengai Ole Sabaya

Watu hao wamekuwa wakiwatisha waandishi kwa simu kuwaonya juu ya namna wanvyoripoti muendelezo wa kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

Hivi karibuni kuna muandishi amefuatwa zaidi ya mara tano nyumbani kwake na watu hao ambao nia yao haijajulikana.

IMG_20210622_185908_014.jpg
 
Chama cha Waandishi wa Habari Arusha(APC) wamelaani vitendo vya watu wasiojulikana kuwatisha waandishi wanaoandika habari za Lengai Ole Sabaya

Watu hao wamekuwa wakiwatisha waandishi kwa simu kuwaonya juu ya namna wanvyoripoti muendelezo wa kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

Hivi karibuni kuna muandishi amefuatwa zaidi ya mara tano nyumbani kwake na watu hao ambao nia yao haijajulikana
View attachment 1826806
Mataga ya regasi yanahangaika mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Arusha (APC), kimelaani vitisho dhidi ya waandishi wa habari wanaoripoti kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na kutaka hatua za haraka zichukuliwe ili kuwahakikishia usalama wao.

(APC) kimedai baadhi ya waandishi wametishiwa kutokana na kuripoti mwenendo wa kesi hiyo . Kimesema baadhi wamepigiwa simu za vitisho kutoka kwa watu wasiojulikana, huku watu hao pia wakienda nyumbani kwa mwandishi mmoja.
1624424550916.png
 
Back
Top Bottom