Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Team Jiwe inajisahau sana !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani hiyo team bado ipo?Team Jiwe inajisahau sana !
Wamejichimbia kama ule mhimili wa mwendazakeKundi la washamba na walimbukeni halitaisha Leo.
Maana waasisi wake wengi wamekita mizizi kwenye utawala huu.
Kitu alichokuwa amefanya huyo Sabaya ni kuhukuwa wale wahuni wa Arusha na maeneo ya karibu halafu akawa anawapa pocket money ili wamsaidie kufanya ukatili. Sasa hao ndiyo wamebaki mitaani na wanajaribu kumtetea pay master wao. Tukumbuke alikuwa amechukuwa na watu waliochanganyikiwa kama yule tapeli anayejiita sijui Mashimo ili kutekeleza ukatili.Hii ni dalili mbaya kabisa, hao watu wasiojulikana inaonekana sasa wameshaota mizizi, na huyo Sabaya analindwa kwa maslahi ya nani, hii inazidi kuthibitisha yale mashtaka dhidi ya Sabaya yanawahusu wengi huko CCM zaidi yake, kwani alikuwa kazini kukinufaisha chama chake, ndio maana Mbowe kila mara anawataka CCM waombe radhi.
Lile ni jambazi kuu lazima habari zake zitangazwe na kila mtu,kwani hawana habari zingine za kuandika na kutangaza ni Sabaya Sabaya...
kwani gerezani yuko peke yake ?
waache ujinga
Kumbe hawajakoma bado?Chama cha Waandishi wa Habari Arusha(APC) wamelaani vitendo vya watu wasiojulikana kuwatisha waandishi wanaoandika habari za Lengai Ole Sabaya
Watu hao wamekuwa wakiwatisha waandishi kwa simu kuwaonya juu ya namna wanvyoripoti muendelezo wa kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai
Hivi karibuni kuna muandishi amefuatwa zaidi ya mara tano nyumbani kwake na watu hao ambao nia yao haijajulikana
View attachment 1826806
Hela alizopora Sabaya Chawa wamefaidi sana , ni lazima wapambaneJamaa hata kesi bado aina ahueni washaanza kutisha wengine si wanazidi kumponza mwenzao sasa.
Ndio mhalifu mkuu wengine wameiba kuku tu na kubambikiwakwani hawana habari zingine za kuandika na kutangaza ni Sabaya Sabaya...
kwani gerezani yuko peke yake ?
waache ujinga
Sasa huko ni kupambana au kuharibu zaidi?Hela alizopora Sabaya Chawa wamefaidi sana , ni lazima wapambane
Sijui ila wanaumia sanaSasa huko ni kupambana au kuharibu zaidi?
Pumbavu,Kuna haja ya jeshi la polisi kufanya usafi Arusha na Kilimanjaro. Hao wahuni wa awamu ya tano wanapaswa kufagiliwa nje woote.