Arusha: Waandishi wanaoripoti habari za Mahakamani za Sabaya Wanatishiwa Maisha. APC Walaani

Arusha: Waandishi wanaoripoti habari za Mahakamani za Sabaya Wanatishiwa Maisha. APC Walaani

Alichelewa kupelekwa japo nimedokezwa Juhudi zinafanyika sasa huyo Mganga amsaidie.

Na ndiyo Mganga huyo huyo aliyemsaidia Fisadi Nyangumi wa Bandari mwenye Jina la Kitoweo cha Baharini hadi Kesi yake ikayeyuka Kimiujiza na sasa yuko Huru.

Kilichofanyika alipokuwa Rumande aliombwa Nguo zake kisha zikapelekwa upesi kwa huyo Mganga ambapo alizifanyia Ndumba kisha akaenda Kuzitupa katikati ya Bahari ya Hindi.

Kesho yake akatumwa Ndugu yake na Mtuhumiwa na Mganga Msaidizi kwenda eneo zilipotupwa zile Nguo ambapo kuna Nguo ( Shati na Suruali ) zilikutwa zimeelea juu ndipo zikachukuliwa na Kuamriwa kuwa Siku zote za Kusikilizwa Kesi yake na ya Hukumu awe anazivaa tu hizo Nguo na kweli alikuwa anazivaa hizo hizo tu hadi Kesi yake ilipoyeyuka na Kumalizika Kimaajabu.

Na ndiyo Mganga huyu huyu hivi sasa anatumiwa na Kiongozi Mmoja wa Mkoa wa Dar es Salaam na Dada Mmoja ( Mgeni ) wa temeke a.k.a Miss Ushoroba ili Pesa alizopiga na Ole Sabaya zisije Kumletea matatizo.

Pia Mganga huyo huyo anatumiwa na Mawaziri wenu Wawili wa kutokea Ukanda huo huo.

Na ndiyo Mganga huyo huyo pamoja na Kiongozi Mmoja wa Dini Moja Kubwa nchini waliisaidia Klabu yangu ya Simba SC Kumfunga Kaizer Chiefs FC 'kwa Mkapa' na ndiyo huyo huyo ataenda Kuimaliza Yanga SC tarehe 3 July, 2021 ikicheza na Simba SC.

Naomba niishie hapa tafadhali Mkuu.
I ❤️ you always.
 
Sabaya kama pweza vile ,anajipalia mkaa kwa kuagiza wahuni kutisha waaandishi wa habari. Mvua moja zaidi kwa vitisho.
 
Chama cha Waandishi wa Habari Arusha(APC) wamelaani vitendo vya watu wasiojulikana kuwatisha waandishi wanaoandika habari za Lengai Ole Sabaya

Watu hao wamekuwa wakiwatisha waandishi kwa simu kuwaonya juu ya namna wanvyoripoti muendelezo wa kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

Hivi karibuni kuna muandishi amefuatwa zaidi ya mara tano nyumbani kwake na watu hao ambao nia yao haijajulikana.

View attachment 1826806
Daya ya moto ni moto nyie si mnatumika acha nao watumwe kuwapeni chai ukitumika jiandae pia kwa yatokanayo
 
Alichelewa kupelekwa japo nimedokezwa Juhudi zinafanyika sasa huyo Mganga amsaidie.

Na ndiyo Mganga huyo huyo aliyemsaidia Fisadi Nyangumi wa Bandari mwenye Jina la Kitoweo cha Baharini hadi Kesi yake ikayeyuka Kimiujiza na sasa yuko Huru.

Kilichofanyika alipokuwa Rumande aliombwa Nguo zake kisha zikapelekwa upesi kwa huyo Mganga ambapo alizifanyia Ndumba kisha akaenda Kuzitupa katikati ya Bahari ya Hindi.

Kesho yake akatumwa Ndugu yake na Mtuhumiwa na Mganga Msaidizi kwenda eneo zilipotupwa zile Nguo ambapo kuna Nguo ( Shati na Suruali ) zilikutwa zimeelea juu ndipo zikachukuliwa na Kuamriwa kuwa Siku zote za Kusikilizwa Kesi yake na ya Hukumu awe anazivaa tu hizo Nguo na kweli alikuwa anazivaa hizo hizo tu hadi Kesi yake ilipoyeyuka na Kumalizika Kimaajabu.

Na ndiyo Mganga huyu huyu hivi sasa anatumiwa na Kiongozi Mmoja wa Mkoa wa Dar es Salaam na Dada Mmoja ( Mgeni ) wa temeke a.k.a Miss Ushoroba ili Pesa alizopiga na Ole Sabaya zisije Kumletea matatizo.

Pia Mganga huyo huyo anatumiwa na Mawaziri wenu Wawili wa kutokea Ukanda huo huo.

Na ndiyo Mganga huyo huyo pamoja na Kiongozi Mmoja wa Dini Moja Kubwa nchini waliisaidia Klabu yangu ya Simba SC Kumfunga Kaizer Chiefs FC 'kwa Mkapa' na ndiyo huyo huyo ataenda Kuimaliza Yanga SC tarehe 3 July, 2021 ikicheza na Simba SC.

Naomba niishie hapa tafadhali Mkuu.
Kwa hilo la Julai 3, kwa mamlaka niliyojipa mwenyewe nasema mitano tena kwa mganga mtakatifu
 
Chama cha Waandishi wa Habari Arusha(APC) wamelaani vitendo vya watu wasiojulikana kuwatisha waandishi wanaoandika habari za Lengai Ole Sabaya

Watu hao wamekuwa wakiwatisha waandishi kwa simu kuwaonya juu ya namna wanvyoripoti muendelezo wa kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

Hivi karibuni kuna muandishi amefuatwa zaidi ya mara tano nyumbani kwake na watu hao ambao nia yao haijajulikana.

View attachment 1826806
Kuna waandishi wanakuwaga na kimuhe muhe. Hawajui majukumu yao vizuri.

Wanaweza wakaandika Sabaya kaliwa usiku wa leo.

Kumbukeni Sabaya nae ana wafuasi hadi ndani ya deep state. Msichukulie poa. Na ana ndugu na familia pia.

Waandishi waandike kwa kufuata taaluma.
 
Back
Top Bottom