Arusha: wafanyabiashara waliofumwa sokoni wakiwa wamenasiana Mwanaume amlipa mwenye mke million 3 kunasuliwa

Arusha: wafanyabiashara waliofumwa sokoni wakiwa wamenasiana Mwanaume amlipa mwenye mke million 3 kunasuliwa

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Kwa wiki nzima imetokea hali ya taharuki katika jiji la Arusha liliwaacha watu midomo wazi ,Baada ya Mwanaume mmoja kufumwa akiwa amenasiana na mke watu wakiwa wanafanya mapenzi alfajiri katika soko kubwa la vyakula la kilombero lililopo katikati ya jiji.

Wafanyabiashara wa soko hilo wanaeleza ya Kuwa baada ya kushindwa kunasuana walipelekwa kituo cha afya cha levolosi iliyopo karibu na soko hilo lakini walishindwa na kupelekwa Mount Meru ambapo Mume wawanamke huyo alipigiwa simu na kudai million 3 ndipo awaachanishe, .

Mashuhuuda sokoni hapo ambao ni wafanyabiashara wenzao wa naendelea kueleza kuwa baada ya jamaa kukubali kutoa hicho kiasi walifanikiwa kunasuana na kurudi katika hali ya kawaida.
 
Kwa wiki nzima imetokea hali ya taharuki katika jiji la Arusha liliwaacha watu midomo wazi ,Baada ya Mwanaume mmoja kufumwa akiwa amenasiana na mke watu wakiwa wanafanya mapenzi alfajiri katika soko kubwa la vyakula la kilombero lililopo katikati ya jiji.
Wafanyabiashara wa soko hilo wanaeleza ya Kuwa baada ya kushindwa kunasuana walipelekwa kituo cha afya cha levolosi iliyopo karibu na soko hilo lakini walishindwa na kupelekwa Mount Meru ambapo Mume wawanamke huyo alipigiwa simu na kudai million 3 ndipo awaachanishe, .
Mashuhuuda sokoni hapo ambao ni wafanyabiashara wenzao wa naendelea kueleza kuwa baada ya jamaa kukubali kutoa hicho kiasi walifanikiwa kunasuana na kurudi katika hali ya kawaida.
Mkewamtu siooo ndugu wacha wale wako usiombe wakufume wa mtu utashaa hakuna rangi utaacha kuiona...
 
Kwa wiki nzima imetokea hali ya taharuki katika jiji la Arusha liliwaacha watu midomo wazi ,Baada ya Mwanaume mmoja kufumwa akiwa amenasiana na mke watu wakiwa wanafanya mapenzi alfajiri katika soko kubwa la vyakula la kilombero lililopo katikati ya jiji.
Wafanyabiashara wa soko hilo wanaeleza ya Kuwa baada ya kushindwa kunasuana walipelekwa kituo cha afya cha levolosi iliyopo karibu na soko hilo lakini walishindwa na kupelekwa Mount Meru ambapo Mume wawanamke huyo alipigiwa simu na kudai million 3 ndipo awaachanishe, .
Mashuhuuda sokoni hapo ambao ni wafanyabiashara wenzao wa naendelea kueleza kuwa baada ya jamaa kukubali kutoa hicho kiasi walifanikiwa kunasuana na kurudi katika hali ya kawaida.
Hayaa yaoitokra temeke miaka ya nyumaa alafuu hawa wanaotombe... wanapenda sana hela yule ws temeke alitaka 5 wakaishia 3 alipoyumiwa akatuma mgangà nae akatak mil wakampa 500k akaenda fasta tukion akawamwagia maduduyake wakaachuana sijajua kama mganga akuomba mzigoo na yeye
 
Kwa wiki nzima imetokea hali ya taharuki katika jiji la Arusha liliwaacha watu midomo wazi ,Baada ya Mwanaume mmoja kufumwa akiwa amenasiana na mke watu wakiwa wanafanya mapenzi alfajiri katika soko kubwa la vyakula la kilombero lililopo katikati ya jiji.
Wafanyabiashara wa soko hilo wanaeleza ya Kuwa baada ya kushindwa kunasuana walipelekwa kituo cha afya cha levolosi iliyopo karibu na soko hilo lakini walishindwa na kupelekwa Mount Meru ambapo Mume wawanamke huyo alipigiwa simu na kudai million 3 ndipo awaachanishe, .
Mashuhuuda sokoni hapo ambao ni wafanyabiashara wenzao wa naendelea kueleza kuwa baada ya jamaa kukubali kutoa hicho kiasi walifanikiwa kunasuana na kurudi katika hali ya kawaida.
Huyo mwamba itabidi tuongee, kazi yake nimeielewa
 
Hii kitu niliwahi kuishuhudia kahama....btw, jamaa nimempa kongole...kachukua 3m nyeupeeee
 
Hayo ni matangazo ya mganga. Hakuna uhalisia wowote hapo.

Hiyo ni deal imepangwa vizuri kuwanasa wajinga na wapumbavu.
Niliwahi ona mwalimu(ke) alinasiana na jamaa. Lilikuwa tukio kubwa sana

Police watumia nguvu kubwa sana kuwazuia watu wasiende ona ila tuliowahi tulijaribu Hadi kuwavuta lkn wapii
 
Back
Top Bottom