Arusha: wafanyabiashara waliofumwa sokoni wakiwa wamenasiana Mwanaume amlipa mwenye mke million 3 kunasuliwa

Tukio limetokea Arusha sehemu gani?

Yote kwa yote cha mtu mavi ..
 
Ndio maana halisi ya kuwa mke wa mtu ni sumu. Kuna mda wake ukipita bila kunasuliwa ni kifo. Hiyo ndiyo sumu, mwenye mke naomba hiyo dawa.
 
na hapo hatapona masikini, ndio iyo dawa ilivyo, hata ukilipa ukanasuka anakuhesabia siku tu. akimbilie kwa Yesu hataka, aliye karibu naye amwambie tafadhali.
 
na hapo hatapona masikini, ndio iyo dawa ilivyo, hata ukilipa ukanasuka anakuhesabia siku tu. akimbilie kwa Yesu hataka, aliye karibu naye amwambie tafadhali.
Mkuu unamaanisha Nini, hii story ni ya ukweli na pia nasikia huyo jamaa baada ya kulipa hela haikupita muda akaaga dunia...
 
Mkuu unamaanisha Nini, hii story ni ya ukweli na pia nasikia huyo jamaa baada ya kulipa hela haikupita muda akaaga dunia...
ndio mwisho wa hiyo dawa, ukinasa tu, ukiona bado unapumua, kimbia nenda kaokoke,mpe Yesu Maisha yako ukokoke ili akuponye, la sivyo, ukishanasa hata ukilipa lazima ufe. ndio tabia ya hiyo dawa. ulipe utakufa usipolipa utang'ang'ania palepale hadi ufe. ila hakuna jambo linaloshindikana kwa Mungu.

mtu anapookoka, Mungu sio tu hua anafuta dhambi zake, bali huwa anamponya na magonjwa yake na shida zake, anamkomboa mazima anakuwa kiumbe kipya sawa tu na kama vile hajawahi kuwa na dhambi, mauti haina nguvu kwake labda afungue mlango au wakati wa Bwana uwe umefika. ukiona ndugu yako kakamatika ivo, mwambie aokoke chap. ndio dawa. la sivyo hakuna dawa nyingine.
 
Huyo maza kafa... Ila jamaa ndio mzima. Unaambiwa jamaa alionywa zaidi ya Mara 3 aachane na huyo mwanamke haelewi kitu. Jamaa kaamua kumfanyizia mbaya mbaya..
 
Mkuu unamaanisha Nini, hii story ni ya ukweli na pia nasikia huyo jamaa baada ya kulipa hela haikupita muda akaaga dunia...
Aliyekufa ni mwanamke sio mwanaume.
 
Huyo maza kafa... Ila jamaa ndio mzima. Unaambiwa jamaa alionywa zaidi ya Mara 3 aachane na huyo mwanamke haelewi kitu. Jamaa kaamua kumfanyizia mbaya mbaya..
jamaa aende akaokoke haraka, hiyo dawa naijua. aliye kariu naye amshauri. wengi tulitoka huko misri tukaviacha vinyago vyote hivyo.
 
Ni kweli hata mm nimesikia toka kwa jirani yangu anayefanya biashara soko la Kilombero.
Watu wana nyege sana.
 
Ikitokea hizi dawa zikaambatanishwa na cheti cha ndoa kila anayeoa anakabidhiwa walengaji watateseka sana maana kila ukienda kulenga unaandaa na pesa za kunasuliwa mnato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…