Watakuambia walitengwa na utawala wa awamu ya tano! Wenzao kila kona stendi nzuri Morogoro,Dar,dodoma,singida,mwanza wanajenga mbili moja imekamilika na ya pili iko njiani kukamilika! Pia stendi ya Mabasi Mbeya ya ajabu ajabu hata siielewi! Hawa wana Mbeya wanamambo mengi vitendo zero!