Arusha: Wananchi walia na kituo cha mabasi makubwa ya abiria ya kwenda mikoani

Arusha: Wananchi walia na kituo cha mabasi makubwa ya abiria ya kwenda mikoani

Wananchi jijini Arusha pamoja na abiria wanaotumia stand kubwa ya mabasi wamailalamikia uongozi wa jiji la Arusha kuwa wameshindwa kuwaletea mabadiliko kwa kuwajengea stand nyingine mpya ya kisasa tofauti na iliyopo sasa ambayo ipo tangu kabla ya uhuru hadi sasa.

Kutokana na udogo wa kituo hicho cha Mabasi umefanya baadhi ya makampuni kushusha na Kupakia abiria katika sehemu mbalimbali na wengine katika ofisi zao zilizopo sehemu tofauti tofauti jijini hapo na hivyo kuleta usumbufu kwa abiria na wageni kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi.

Mfano gari za kwenda Namanga kuna ambazo zinapaki stand kubwa na. Nyingine nje ya uwanja wa mpira wa. Abeid karume.

Magari ya Kwenda Dar es Salaam kuna machache yanapaki ndani ya kituo hicho, mengine stand ndogo na. Mengine yamekuwa yakipakiza na kushusha abiria katika ofisi zao

Za kwenda karatu nazo kuna ambazo zinapaki ndani ya kituo na nyingine mbali na kituo hicho maeneo ya Sabena

Kituo hicho kikubwa cha mabasi hakina sehemu ya kusubiri abiria wala Wasindikizaji.

Hakuna sehemu ya kuwakinga na Mvua wala jua.

Na. Pia Usalama ni mdogo usiku na. Mchana kutokana na miundombinu ya kituo hicho cha mabasi na hivyo Kuwa na. Idadi kubwa ya vibaka, wezi, wavutaji wa madawa yote na vijana wa mitaani ambao ni tishio kwa wageni na abiria.

Wananchi wa jiji la Arusha wamekuwa wakilalamika miaka Nenda miaka rudi lakini hawaoni mabadiliko yoyote hadi sasa,kituo cha mabasi kilichopo hakiendani na hadhi ya jiji kwani jiji hili limekuwa likipokea wageni wengi ndani Na Nje ya nchi hivyo kituo hicho ambacho hakina uwezo hata wa kupaki mabasi (10)kumi kwa wakati mmoja, kinaharibu taswira ya jiji.
Kiufupi Arusha hakuna stendi, kale ka uwanja hakana Hadhi ya kuitwa Stendi kwa Jiji kubwa kama Arusha
 
Wananchi jijini Arusha pamoja na abiria wanaotumia stand kubwa ya mabasi wamailalamikia uongozi wa jiji la Arusha kuwa wameshindwa kuwaletea mabadiliko kwa kuwajengea stand nyingine mpya ya kisasa tofauti na iliyopo sasa ambayo ipo tangu kabla ya uhuru hadi sasa.

Kutokana na udogo wa kituo hicho cha Mabasi umefanya baadhi ya makampuni kushusha na Kupakia abiria katika sehemu mbalimbali na wengine katika ofisi zao zilizopo sehemu tofauti tofauti jijini hapo na hivyo kuleta usumbufu kwa abiria na wageni kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi.

Mfano gari za kwenda Namanga kuna ambazo zinapaki stand kubwa na. Nyingine nje ya uwanja wa mpira wa. Abeid karume.

Magari ya Kwenda Dar es Salaam kuna machache yanapaki ndani ya kituo hicho, mengine stand ndogo na. Mengine yamekuwa yakipakiza na kushusha abiria katika ofisi zao

Za kwenda karatu nazo kuna ambazo zinapaki ndani ya kituo na nyingine mbali na kituo hicho maeneo ya Sabena

Kituo hicho kikubwa cha mabasi hakina sehemu ya kusubiri abiria wala Wasindikizaji.

Hakuna sehemu ya kuwakinga na Mvua wala jua.

Na. Pia Usalama ni mdogo usiku na. Mchana kutokana na miundombinu ya kituo hicho cha mabasi na hivyo Kuwa na. Idadi kubwa ya vibaka, wezi, wavutaji wa madawa yote na vijana wa mitaani ambao ni tishio kwa wageni na abiria.

Wananchi wa jiji la Arusha wamekuwa wakilalamika miaka Nenda miaka rudi lakini hawaoni mabadiliko yoyote hadi sasa,kituo cha mabasi kilichopo hakiendani na hadhi ya jiji kwani jiji hili limekuwa likipokea wageni wengi ndani Na Nje ya nchi hivyo kituo hicho ambacho hakina uwezo hata wa kupaki mabasi (10)kumi kwa wakati mmoja, kinaharibu taswira ya jiji.
Acha uongo, hakuna basi la mikoani linaloshusha abiria stendi ndogo! Mbona Dar mabasi mengine yanashusha abiria ktk ofisi zao? Umbea umekuzidi sana utadhani msemaji wa Simba.
 
Sasa maana ya stendi kuu Ni nini. Kwahiyo nashuka oljoro napanda daladala kwenda kisongo ili niende karatu, nashuka USA napanda daladala hadi kisongo ili niweze kwenda karatu.

Wazo zuri lisilofaa na lisilo na maana ya stendi kuu.

Stendi kuu maana yake inakonekti gari zote zinazoingia na kutoka.
Ukishuka Ubungo au mbagala kule unakosa usafiri wa kwenda kokote unakotoka? Ukishuka Usagara au Nyegezi pale au Buzuruga kule unakosa magari ya kuunganisha unakotaka?
Wenzetu wamefanikiwa kutanua miji yao kwa kuyeyusha akili zao. Sie tunazigandisha kwa kulazimisha mepesi yanayowezekana yasiwezekane!
Hivi Arusha tunakwama wapi mji wenye jina kubwa duniani kwamba huduma muhimu zote zimejikusanya sehemu moja??
Madini yanaisha na utalii utaisha. Tutumie hizo rasilimali kutanua miji yetu!
 
dah ni bonge la akili pia mji utatanuka pande zote...ngara itatanuka kuelekea oldonyo sambu,usa itatanuka kwenda kikatiti ,kisongo itatanuka sana kuelekea duka bovu pia oljoro itatanuka kuelekea mirongoine pia si mbaya wakiweka stand maeneo ya kiserian ili kutanua mji zaidi na zaidi
Maendeleo ya watu na makazi yanahitaji akili tu wala si siasa za majitaka!
Yaani Arusha ni mji lakini ugumu wa kusafiri unasababisha mji kulazimika kulala mapema na kuchelewa kuamka!
Niliwahi kumsikia mwenyeji akilalamika kwanini AUWASA, NIDA na Safari City wamepeleka huduma/miradi yao maporini kuleee Mateves/Kisongo!!
Kwa uzoefu wangu wa Dar na Mwanza nilipata taabu sana kumuelewa!
#Shame
 
Tatizo la viongozi wetu huwa wanafanya maamuzi kwa maslahi yao.

Awali stand ilikuwa ijengwe eneo la SADC baada ya kutoka Tengeru kuelekea Moshi, wajanja wakapiga pini....mara inapelekwa kwenye eneo linalomilikiwa na CCM, Magu akakataa, mwishoni mpango ukawa sijui iende huko moshono au kwa morombo!!
Kwa ramani ya mji wa Arusha ulivyo kituo kimoja tu cha mabasi hakitoshi bila kujali kitawekwa wapi!
 
Stendi iimarishwe iwe na ghorofa juu kwa ajili ya abiria na chini ndio parking ya mabasi.Hii iwe kwa mabasi yanayoenda mbali kama dar, nairobi, mwanza, tabora, mbeya nk. Yale ya maeneo ya karibu yatumie stendi ndogo. Hata hivyo kampuni zingine zina ofisi karibu na stendi na hupaki gari zao huko. Kuhamisha stendi ni jambo si jema maana miaka mingi imekuwepo na hivyo mahoteli na maeneo yenye mahitaji ya jamij yanaizunguka. Kuna stendi inaitwa VICTORIA STATION LONDON UINGERZA. ipo katikati ya jiji hilo ina makarne ipo hapo hapo. Kuna siku ile stendi ya Magufuli iliyohamishwa kwanz toka kisutu , halafu ubungo ITAKUJA KUJoNGEA MLANDIZI AU MBELE ZAIDI HUKO DAR.
 
Stendi iimarishwe iwe na ghorofa juu kwa ajili ya abiria na chini ndio parking ya mabasi.Hii iwe kwa mabasi yanayoenda mbali kama dar, nairobi, mwanza, tabora, mbeya nk. Yale ya maeneo ya karibu yatumie stendi ndogo. Hata hivyo kampuni zingine zina ofisi karibu na stendi na hupaki gari zao huko. Kuhamisha stendi ni jambo si jema maana miaka mingi imekuwepo na hivyo mahoteli na maeneo yenye mahitaji ya jamij yanaizunguka. Kuna stendi inaitwa VICTORIA STATION LONDON UINGERZA. ipo katikati ya jiji hilo ina makarne ipo hapo hapo. Kuna siku ile stendi ya Magufuli iliyohamishwa kwanz toka kisutu , halafu ubungo ITAKUJA KUJoNGEA MLANDIZI AU MBELE ZAIDI HUKO DAR.
stendi ya sasa haina eneo, pia ujue Arusha haina barabara, yaani Ni finyu sana.
 
Ili mji wa Arusha upanuke na ukue kwa haraka wahusika wazingatie yafuatayo:
1. Ondoa stendi na masoko yale pale mjini kati.
2. Stendi mabasi ya kutoka Dodoma road inatakiwa iwe Kisongo. Weka soko huko.
3. Stendi mabasi kutoka Moshi road iwe USA au Chekereni. Weka soko huko.
4. Stendi magari kutoka Nairobi iwe Ngaramtoni ya Juu. Weka soko huko.
5. Stendi magari kutoka Simanjiro/Kiteto iwe Oljoro. Weka soko huko.

NB: Lakini msije mkalalamika kuwa stendi na masoko yako mbali!
Kuna miji inastahili kuwa na stand zaidi ya moja ila Halmashauri hawajaliona hilo, ile ya Arusha ((kama ndio ile ile nayoijua mie ukitokea Sheikh Amri Abeid kwenda Jogoo House maana nilitoka Arusha kitambo) inatakiwa ibaki pale pale na ikajengwa nyingine na ile ikawa ni ya kupita tu hasa magari yanapoingia usiku yaani yanashusha stand hizo za mbali alafu yanamalizia hapo yanaenda ku-park na kujaza mafuta vivyo hivyo asubuhi wakati yanaenda stand kuu yanapita pale yanakula vichwa alafu linaenda stand kuu ila hasara yake abiria wa pale ni kama hisani maana kama gari linaondoka saa 12 alfajiri basi pale linapita mapema zaidi maana safari inahesabiwa kuanzia stand kuu.

Mwanza waliliona hili kitambo sana zaidi ya miaka 15 kwa kuwa na stand ya Nyegezi na Buzuruga yaani hapo gari zinazotokea Nairobi au Musoma zinaishia Buzuruga ila kama zipo zinazounganisha Dar zinashusha hapo na kula vichwa kisha zinakwenda Nyegezi na zinaendelea na safari na gari zikiingia usiku hata jioni zinashusha Nyegezi alafu zinawasogeza abiria Natta (mjini kati) na zingine mpaka Buzuruga. Na katika utaratibu huu wa kujenga stand mpya na zote zinajengwa ila hii ya Buzuruga wametafuta eneo lingine na imeshakamilika bado kuizindua ambapo hii ya zamani inaweza ikatafutiwa matumizi mengine hata kuwa ya daladala au magari ya kwenda vijijini / wilayani.

Mikoa ya Dar, Mwanza, Arusha na Dodoma zinahitaji stand kuu zaidi ya moja, wenzao Mwanza walishaonyesha mfano tangu kitambo na sasa wanakamilisha stand kubwa 2
 
Arusha mipango miji bado sana too much ufisadi
Hata hivyo Arusha ni mji mkubwa wenye eneo finyu angalau sasa hivi watakuwa wameongeza mipaka ya jiji na mbaya zaidi kule maeneo mengi yanamilikiwa na watu tangu enzi hizo na wanajua thamani ya ardhi hivyo hata serikali inapata wakati mgumu wa kupata maeneo ya shughuli za maendeleo zaidi ya kwenda pembezoni nako lazima walipe fidia ndefu
 
Wananchi jijini Arusha pamoja na abiria wanaotumia stand kubwa ya mabasi wamailalamikia uongozi wa jiji la Arusha kuwa wameshindwa kuwaletea mabadiliko kwa kuwajengea stand nyingine mpya ya kisasa tofauti na iliyopo sasa ambayo ipo tangu kabla ya uhuru hadi sasa.

Kutokana na udogo wa kituo hicho cha Mabasi umefanya baadhi ya makampuni kushusha na Kupakia abiria katika sehemu mbalimbali na wengine katika ofisi zao zilizopo sehemu tofauti tofauti jijini hapo na hivyo kuleta usumbufu kwa abiria na wageni kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi.

Mfano gari za kwenda Namanga kuna ambazo zinapaki stand kubwa na. Nyingine nje ya uwanja wa mpira wa. Abeid karume.

Magari ya Kwenda Dar es Salaam kuna machache yanapaki ndani ya kituo hicho, mengine stand ndogo na. Mengine yamekuwa yakipakiza na kushusha abiria katika ofisi zao

Za kwenda karatu nazo kuna ambazo zinapaki ndani ya kituo na nyingine mbali na kituo hicho maeneo ya Sabena

Kituo hicho kikubwa cha mabasi hakina sehemu ya kusubiri abiria wala Wasindikizaji.

Hakuna sehemu ya kuwakinga na Mvua wala jua.

Na. Pia Usalama ni mdogo usiku na. Mchana kutokana na miundombinu ya kituo hicho cha mabasi na hivyo Kuwa na. Idadi kubwa ya vibaka, wezi, wavutaji wa madawa yote na vijana wa mitaani ambao ni tishio kwa wageni na abiria.

Wananchi wa jiji la Arusha wamekuwa wakilalamika miaka Nenda miaka rudi lakini hawaoni mabadiliko yoyote hadi sasa,kituo cha mabasi kilichopo hakiendani na hadhi ya jiji kwani jiji hili limekuwa likipokea wageni wengi ndani Na Nje ya nchi hivyo kituo hicho ambacho hakina uwezo hata wa kupaki mabasi (10)kumi kwa wakati mmoja, kinaharibu taswira ya jiji.
Hapoa Arusha wanaweza wakafanya mpango wakahamisha hayo makaburi nyuma ya stendi Ndogo kisha eneo lote mpaka huku stendi ndogo likiwa stendi kubwa ya mabasi.Yaani kuanzia hapo stadium kote kunakuwa ni STAND.Inawezekana kabisa
 
Hata wakiamisha bado pata kuwa padogo kwa jinsi miji inavyopanuka na wingi wa mabasi
Hapoa Arusha wanaweza wakafanya mpango wakahamisha hayo makaburi nyuma ya stendi Ndogo kisha eneo lote mpaka huku stendi ndogo likiwa stendi kubwa ya mabasi.Yaani kuanzia hapo stadium kote kunakuwa ni STAND.Inawezekana kabisa
 
Hata hivyo Arusha ni mji mkubwa wenye eneo finyu angalau sasa hivi watakuwa wameongeza mipaka ya jiji na mbaya zaidi kule maeneo mengi yanamilikiwa na watu tangu enzi hizo na wanajua thamani ya ardhi hivyo hata serikali inapata wakati mgumu wa kupata maeneo ya shughuli za maendeleo zaidi ya kwenda pembezoni nako lazima walipe fidia ndefu
Kweli kabisa
 
Arusha hakuna kituo kikuu chenye hadhi kwakweli
 
Back
Top Bottom