Nyie si mnajiita Geneva of Africa na stand ya ajabu namna ile yani ile standa ni ndogo haifiki hata acre moja kwa eneo zima😅Aisee chugastan tumesahaulika kabisa yaani wametusahau.
Hahahahah itakuwa kama Dodoma stand zimekaa nje ya mji😅Sasa hapa ndio itakuwa umetesa wananchi mpaka wataonja joto ya uwezi tawanya tawanya stend namna hiyo kwani uhalisisia utakuwa umeuondoa. Stend inatakiwa ikae sehem ambaya ni centre. Yaan ukienda stend unakuwa gari za kila Mahali. Wewe ulizosema hapo stend zaid ya tatu na zote hayo maeneo uliotaja yako zaidi ya umbali wa kilometer tano.
Nani aliwaambia stendi ya mabasi ya mkoani ni lazima ikae katikati ya mji? Stendi kuu inapaswa kukaa nje ya mji kupunguza msongamano katikati ya mji, kupanua ukuaji wa mji nk.Sasa hapa ndio itakuwa umetesa wananchi mpaka wataonja joto ya uwezi tawanya tawanya stend namna hiyo kwani uhalisisia utakuwa umeuondoa. Stend inatakiwa ikae sehem ambaya ni centre. Yaan ukienda stend unakuwa gari za kila Mahali. Wewe ulizosema hapo stend zaid ya tatu na zote hayo maeneo uliotaja yako zaidi ya umbali wa kilometer tano.
Umeongea kwa weled sana changamoto ni waTu hasa matajiri wakisikia stend inajengwa mahali hukimbilia huko kwenda kununua maeneo hayo ili fidia iangukie mikononi mwaoIli mji wa Arusha upanuke na ukue kwa haraka wahusika wazingatie yafuatayo:
1. Ondoa stendi na masoko yale pale mjini kati.
2. Stendi mabasi ya kutoka Dodoma road inatakiwa iwe Kisongo. Weka soko huko.
3. Stendi mabasi kutoka Moshi road iwe USA au Chekereni. Weka soko huko.
4. Stendi magari kutoka Nairobi iwe Ngaramtoni ya Juu. Weka soko huko.
5. Stendi magari kutoka Simanjiro/Kiteto iwe Oljoro. Weka soko huko.
NB: Lakini msije mkalalamika kuwa stendi na masoko yako mbali!
Utakuwa na stendi ngapi? Na wale ambao wanaunganisha safari itakuwaje? Ashuke apande daldala then aende stendi nyingine?Ili mji wa Arusha upanuke na ukue kwa haraka wahusika wazingatie yafuatayo:
1. Ondoa stendi na masoko yale pale mjini kati.
2. Stendi mabasi ya kutoka Dodoma road inatakiwa iwe Kisongo. Weka soko huko.
3. Stendi mabasi kutoka Moshi road iwe USA au Chekereni. Weka soko huko.
4. Stendi magari kutoka Nairobi iwe Ngaramtoni ya Juu. Weka soko huko.
5. Stendi magari kutoka Simanjiro/Kiteto iwe Oljoro. Weka soko huko.
NB: Lakini msije mkalalamika kuwa stendi na masoko yako mbali!
Kwamba hata huyu jamaa STROKE ni wa upinzani au sio wa chuga huyu nini?Huko ni kwa wapinzani, wacha wateseke
Ili mji wa Arusha upanuke na ukue kwa haraka wahusika wazingatie yafuatayo:
1. Ondoa stendi na masoko yale pale mjini kati.
2. Stendi mabasi ya kutoka Dodoma road inatakiwa iwe Kisongo. Weka soko huko.
3. Stendi mabasi kutoka Moshi road iwe USA au Chekereni. Weka soko huko.
4. Stendi magari kutoka Nairobi iwe Ngaramtoni ya Juu. Weka soko huko.
5. Stendi magari kutoka Simanjiro/Kiteto iwe Oljoro. Weka soko huko.
NB: Lakini msije mkalalamika kuwa stendi na masoko yako mbali!
Nilimaanisha Moshi road... yanaweza kuwa yametoka Tanga, Dar, Mombasa, nk.Ushauri mbovu sana huu. Kwa hiyo mtu anayetoka moshi kwrnda karatu, ashukie USA apande dala dala mbili hadi kisongo ili apande gari la kwenda karatu? Maana kubwa ya kuwa na stand kuu ni kurahisisha pia connection.
Kwanza lile eneo la azimio lilikua makazi ya wanajeshi linamilikiwa na nani?na lina matumizi gani?pale pangefaa kujengwa stendi kubwa ya kisasa ambayo ingehudumia mabasi ya njia zote.
Lengo ni kurahishisha ukuaji wa mji.Sasa hapa ndio itakuwa umetesa wananchi mpaka wataonja joto ya uwezi tawanya tawanya stend namna hiyo kwani uhalisisia utakuwa umeuondoa. Stend inatakiwa ikae sehem ambaya ni centre. Yaan ukienda stend unakuwa gari za kila Mahali. Wewe ulizosema hapo stend zaid ya tatu na zote hayo maeneo uliotaja yako zaidi ya umbali wa kilometer tano.
Arusha ndio mnataka kuifananisha na Mwanza kweli?
Arusha inapambana na miji kama Musoma, Geita, Katoro, nk. Kahama sasa sio level za Arusha tena.
Soon senta kama Kagongwa ama Runzewe zinaipita Arusha.
Kwa akili za wenyeji wa ule mji ni ngumu sana kupata muafaka wa maendeleo yahusuyo ardhi.Swala la stand kubwa hadi leo imekuwa ni dana dana isioisha
Mkuu idadi ya stendi si hoja!Utakuwa na stendi ngapi? Na wale ambao wanaunganisha safari itakuwaje? Ashuke apande daldala then aende stendi nyingine?
Salute Mingi sana Mkuu...Ili mji wa Arusha upanuke na ukue kwa haraka wahusika wazingatie yafuatayo:
1. Ondoa stendi na masoko yale pale mjini kati.
2. Stendi mabasi ya kutoka Dodoma road inatakiwa iwe Kisongo. Weka soko huko.
3. Stendi mabasi kutoka Moshi road iwe USA au Chekereni. Weka soko huko.
4. Stendi magari kutoka Nairobi iwe Ngaramtoni ya Juu. Weka soko huko.
5. Stendi magari kutoka Simanjiro/Kiteto iwe Oljoro. Weka soko huko.
NB: Lakini msije mkalalamika kuwa stendi na masoko yako mbali!
HahahhahahahaHuko ni kwa wapinzani, wacha wateseke
Hiyo stand ya mabasi ni ndogo sana, isitoshe Costa za Moshi zinapaki hapo hapo na bado hazitoshi.Hpn ibaki tu Apo Sana Sana ipelekwe tengeru kwa zinazokwenda dar na zinazokwenda ddm ziwe kisongo
Standi isiwe mbali na mjini Kama ya iringa na ddm stand
Ila ya zamani ibaki pia Kam reserve paking