Arusha: Wananchi walia na kituo cha mabasi makubwa ya abiria ya kwenda mikoani


 
tumekusikia binamu ila hilo sahau kabisa
 
dar kuna stendi ngapi ndugu za mikoani??
 
Watajenga wapi stand mji umejaa migomba ya ndizi na mapori
 
Arusha ndio mnataka kuifananisha na Mwanza kweli?

Arusha inapambana na miji kama Musoma, Geita, Katoro, nk. Kahama sasa sio level za Arusha tena.

Soon senta kama Kagongwa ama Runzewe zinaipita Arusha.
acha kujilisha ujinga
 
Sasa maana ya stendi kuu Ni nini. Kwahiyo nashuka oljoro napanda daladala kwenda kisongo ili niende karatu, nashuka USA napanda daladala hadi kisongo ili niweze kwenda karatu.

Wazo zuri lisilofaa na lisilo na maana ya stendi kuu.

Stendi kuu maana yake inakonekti gari zote zinazoingia na kutoka.
 
dah ni bonge la akili pia mji utatanuka pande zote...ngara itatanuka kuelekea oldonyo sambu,usa itatanuka kwenda kikatiti ,kisongo itatanuka sana kuelekea duka bovu pia oljoro itatanuka kuelekea mirongoine pia si mbaya wakiweka stand maeneo ya kiserian ili kutanua mji zaidi na zaidi
 
Mchakato wa stend mpya uliishia wapi
Tatizo la viongozi wetu huwa wanafanya maamuzi kwa maslahi yao.

Awali stand ilikuwa ijengwe eneo la SADC baada ya kutoka Tengeru kuelekea Moshi, wajanja wakapiga pini....mara inapelekwa kwenye eneo linalomilikiwa na CCM, Magu akakataa, mwishoni mpango ukawa sijui iende huko moshono au kwa morombo!!
 
Ukweli stand ya Arusha ni ndogo sn
 
Bora iwekwe Kisongo
 
Kweli kabisa. Gambo alitutendea uhuni kuhamisha stendi kutoka Kiserian kupeleka kwa Mhindi huko!
2025 atajua kuwa hajui

Arusha haina stendi wala masoko ya hadhi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…