Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Hapo kwa msomali ni tatizo la muda mrefu na Tanroad wanajua lakini kila mwaka utasikia magari yamezolewa na maji na watu wamekufa. Hii ndio Tanzania.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app