Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ndugu yangu Kwani ukifunga vioo tayari unakuwa umetengeneza meli (air balloon) na flooting balloon ni matairi ya Gari, hivyo lazima ubebwe na majiSio Noah, si tulikua na land rover 110 mkuu hiyo gari ni nzito na ilipigwa kikumbo na maji mpk pembeni huko porini.
Itakua Noah
Leo nimekukubali kwenye argument zako, watu wanafikiri Serikali inaweza kulinda ujinga wa kila mtu. Haimaanishi kwamba hatari isipoweza kumkumba mmoja wengine watakuwa salama pia. Mungu awapumzishe kwa amani, roho za watu wasio na hatia zimedhulumiwa na derevaUsalama wowote unaanzia na wewe mwenyewe
Ova
Bonge akajisahau kabisa.Tuliwai kukutwa na same scenario kipindi cha el- ninyo.
Safarini Shinyanga.
Dom bahi daraja limevunjika mto maji km yale tukaona huko hatutoboi,ikabidi kukunja kwamtoro,
Dereva mbishi anawai kupeleka zawadi za sikukuu kwa wanae.
Tukakunja huko
Ilikua 110 londo, tumesota sana njiani mpk tukafika hapo kati kwa wasandawe.
Hapo tukakuta daraja nalo limesombwa ikabidi tutafanyaje.
Jamaa kadai tukae ndani gari iwe nzito tutapita.
Nikamwambia tujaze mawe iwe nzito upite nayo mi sikai humo ndani wala ndugu yangu.
Akagima.
Bahati nzuri wakatokea wanajeshi toka Singida na roli lao.
Walivyokuta pale hapapitiki.
Wakaingia shamba jaza miti pale mtoni mpk pakajaa wakasema nyie piteni kwanza si tutapita tu baada yenu.
Sijui ilikua mtego[emoji16],
Tukapita fresh na wao wakavuka wakapunga mkono haoo.
Tumefika mbele kidogo gari ikateleza ndani ya maji tena.
Hapo katikati ya pori ni milio ya simba na chui tu.
Ikabidi kujifungia tulale humo ndani.
Kesho kukakucha wakaja hao wasandawi(hadzabe)
Sukuma gari wapi wanadai hela tunawapa sukuma tena wapi wanadai hela iongezwa tunawapa.
Mpk usiku hola.
Hapo njaa balaa.
Katokea mwl mmoja ndio kasema twende home nikatengeneze ugali japo mle.
Tukaongozana toka pale porini mpk kwake.
Buku 5 kachinja jogoo na dona la kutosha.
Tulikua tumeenda na muhaya mmoja bonge kufika kule kashiba kagoma kurudi pale tumekwama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ikabidi nigeuze mwenyewe maana nikifkiria wenzangu hawajala siku 2 na hasa bwa mdogo.
Aisee ningeliwa na wanyama siku hiyo.
Nilikutana nao wawili wakaniangalia tu.
Nikapita mwenyewe nikafika salama na ugali kuku.
Wale wengine wakafurahi sana kupata chochote.
Tulikua sita pia.
Kesho wasandawi wakaja rundo tukakomaa gari ikatoka.
Tukampitia yule mpuuzi pale kwa mwalimu amelala, tukaendelea na safari.
Tulifika salama.
Na hapo ndipo alipofeli, alifata kingo ya daraja kabisa. Kiufupi uzembe ndio chanzo cha ajali, hayo maji hayakuwa na kasi sana.Sasa huyu nae ki gari cha kilo 1500 ana kupitisha kwenye maji yanayo enda kwa speed ..afu kwenye iyo video ina onesha Ali enda kwenye kingo kabsa
Aliposhiba tu yule bwege kavuta mkeka kalala😅😅😅Bonge akajisahau kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana mkuuNoah ni light vehicle, maji yakishaizisi urefi kidogo inapelekwa mtoni.
Imewahi nitoa hapa hapa Dsm
Afu nayo ilikuwa noahWatu hawajifunzi?? Haya mahafali yatapoteza wengiii... Walishasahau ya yule wa handeni ambye aliua familia nzima Kwa ujinga wake.. na kumuacha binti yatima
Dereva hajafaWabongo kama kawaida yetu, hatuna muda wa kujifunza...
Marehemu dereva angeweza kabisa kuliepuka hili...
Kaka watu hawajifunzi, kwani hii ni mara ya kwanza kutokea?Acha wafe ili wengine wajifunze
Kama ndo dereva alikuwa baba hiyo ajali nliiona ni mshenzi flani tu hata hakuna haja ya kumpa pole mpumbavu kabisa. Ninapokuwa nimebeba familia yangu huwa sikubali kufanya uzembe wowote wa kijinga.
Hii ni ile noah iliyozama ilikuwa na watu sita wawili wamepona, watatu wamepatikana wamefariki, mtoto mmoja hajaonekana sijui kapelekwa na maji hadi wapi
=======
Watu wanne wamepoteza Maisha na wengine wawili kunusurika kufa baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya NOAH T 499 DMY kusombwa na waji katika eneo la Malalula Kata ya King'ori wilayani Arumeru wakitokea Arusha kuelekea Kilimanjaro.
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Emmanuela Kaganda amewaambia waandishi wa habari waliofika katika eneo hilo kuwa ajali hiyo imetokea majira ya saa mbili na dakika arobaini asubuhi wakati dereva wa gari hilo Naimani Metili ambae ndio baba akiwa na abiria watano wakielekea katika mahafali ya mtoto wao Moshi.
Dereva hajakata moto, yupo hospitaliWabongo kama kawaida yetu, hatuna muda wa kujifunza...
Marehemu dereva angeweza kabisa kuliepuka hili...
WammalizieDereva hajakata moto, yupo hospitali
Hata ukipunguza maji yanakosomba kwasababu matairi yanakuwa ni kama boya Kwa muogeleaji ndio mana yanasombwa na majiUnapopita juu ya maji hakikisha unapunguza upepo kwenye magurudumu
Dereva hajakata moto, yupo hospitali
Dereva hajafa
Usiombe Sir Izrael akiwa anaitaka roho yako! ... anything can happenKama ndo dereva alikuwa baba hiyo ajali nliiona ni mshenzi flani tu hata hakuna haja ya kumpa pole mpumbavu kabisa. Ninapokuwa nimebeba familia yangu huwa sikubali kufanya uzembe wowote wa kijinga.
Kamwe nisingetumbukiza noah kwenye yale maji ni utahira wa sgr. Inamaana katekekteza familia yake
Na angekuwepo DC Sabaya angesema ni njama za CHADEMA hadi Noah imezama na angesema Wasakwe popote walipo wakajibu mashitakaHapo italaumiwa Serikali ,siasa za upinzani ngumu sana
Hata kesho inaweza tokea tenaKaka watu hawajifunzi, kwani hii ni mara ya kwanza kutokea?