Arusha: Wanne wadaiwa kufariki dunia baada ya Noah kusombwa na maji ikijaribu kuvuka barabara iliyofunikwa na maji

Wapumzike kwa amani, majeruhi wapone haraka. Ila hizi ajali za magari kusombwa na maji huwa zinatokea lakini hatujifunzi. sijui kwa nini.
 
Sio Noah, si tulikua na land rover 110 mkuu hiyo gari ni nzito na ilipigwa kikumbo na maji mpk pembeni huko porini.
Itakua Noah
Ni kweli ndugu yangu Kwani ukifunga vioo tayari unakuwa umetengeneza meli (air balloon) na flooting balloon ni matairi ya Gari, hivyo lazima ubebwe na maji
 
Usalama wowote unaanzia na wewe mwenyewe

Ova
Leo nimekukubali kwenye argument zako, watu wanafikiri Serikali inaweza kulinda ujinga wa kila mtu. Haimaanishi kwamba hatari isipoweza kumkumba mmoja wengine watakuwa salama pia. Mungu awapumzishe kwa amani, roho za watu wasio na hatia zimedhulumiwa na dereva
 
Uzembe wa dereva. Hayo ndo madhara ya kujifunzia udereva mtaani kisha unahonga pesa kupata leseni.
 
Bonge akajisahau kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa huyu nae ki gari cha kilo 1500 ana kupitisha kwenye maji yanayo enda kwa speed ..afu kwenye iyo video ina onesha Ali enda kwenye kingo kabsa
Na hapo ndipo alipofeli, alifata kingo ya daraja kabisa. Kiufupi uzembe ndio chanzo cha ajali, hayo maji hayakuwa na kasi sana.
 
Bonge akajisahau kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aliposhiba tu yule bwege kavuta mkeka kalala😅😅😅
Kaniachia msala nirudi mwenyewe.
Na ni mbali pori tupu giza balaa
 
KILA siku hawasikii hawajifunzi kwamba usivuke bila kuona barabara hawasikii
 
Kama ndo dereva alikuwa baba hiyo ajali nliiona ni mshenzi flani tu hata hakuna haja ya kumpa pole mpumbavu kabisa. Ninapokuwa nimebeba familia yangu huwa sikubali kufanya uzembe wowote wa kijinga.
Kamwe nisingetumbukiza noah kwenye yale maji ni utahira wa sgr. Inamaana katekekteza familia yake
 
Usiombe Sir Izrael akiwa anaitaka roho yako! ... anything can happen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…