Arusha: Wazazi Shule ya St. Jude waandamana kwa RC, TRA yakausha akaunti ya shule

Arusha: Wazazi Shule ya St. Jude waandamana kwa RC, TRA yakausha akaunti ya shule

Huyu c ndo alikataa kuvalisha uniform za chama wafanyakazi wake kwenda kujaza mikutano wakati wa campaign sasa anaendesha shule kwenye nchi ya nani.
 
Hii shule ni Kama NGO inachukua watoto maskini sanawanasomeshwa happy mpaka form six na wengine mpaka chuo. Kama kungekua na shida Serikali ingekaa nao Kwanza kujua tatizo liko wapi.tunakoelekea Hali itakua tete sana.
kwel hii shule inasaidia sanaa, kuna wadau leo tupo nao makazini walilelewa kwenye hiyo shule!
 
Hiyo shule ni ya msaada kwa wanafunzi wenye vipaji na wazazi wao hawana uwezo wa kuwasomesha kwenye shule za vipaji maalumu.

Wanafunzi hao hulipa zero school fees.

Body ya shule hiyo iliyoanzishwa. na mama raia wa Australia Gemma na mumewe Bob Rich ndio hutafuta ufadhili huko nje na pesa hizo hulipia gharama kama umeme, chakula, mishahara, vitabu vyote, madaftri, vifaa vya maabara ya kufundishia, usafiri na kadhalika.

Sasa kodi ipi inayopaswa kulipiwa?

Mtu anakusaidia kazi ya kufuta ujinga kwako for free then unamdai kodi?

Hata kama ni mimba inayotaka kodi ila hali hii imekuwa too much.

Kodi kodi kodi mpaka aibu.

Keshokutwa usishangae ukiona wamwfungasha na kuhamia nchi ingine ambayo iko willing and able kusaidiwa bila masharti kama hayo.


Kisa cha yote haya ni siku ya kampeni jijini Arusha, shule zote ziliambiwa zitoe watoto wavalishwe mavazi ya CCM na kwenda kwenye mkutano aliokuwa anagutubia JPM hiyo shule pekee ikakataa kwa kigezo kuwa wanafunzi walikuwa wanaendelea na masomo.

Kauli iliyofuata ni kuwa tutawaonesha!

Na kweli wamewaonesha
Elimu inatolewa bila malipo nchi nzima iweje Leo mnajidai 'superior' kuliko shule za kata? Huyi shule ilipe Kodi stahiki
 
Elimu inatolewa bila malipo nchi nzima iweje Leo mnajidai 'superior' kuliko shule za kata? Huyi shule ilipe Kodi stahiki
Mkuu wewe tulia shule ya kata mpeleke mwanao na nduguzo.
 
acaha tunyoshwe tu maana TEC walionesha kuiamini tume ya uchaguzi pamoja na irregulaties Fr. Kitima alisema walipe kodi sasa TEC kila mtu ataguswa utawala wa sheria ni muhimu sana unachotaje hela kutoka kwenye account watoto wanasoma bure si waliomba msamaha siku ya kusimikwa Amani kwani hawajapewa msamaha tu?
Acheni ujinga TEC na St Jude wapi na wapi? hii sio shule ya kanisa ni makosa kuandika bila kuwa na fact
 
hii shule mgogoro na TRA ulianza wakat ule magufuli amekuja arusha kuhudhuria kusimikwa kwa Askofu wa Katoliki..askofu aliomba shule ifutiwe madeni..magufuli akasema nimeambiwa kuna kesi kwa hiyo sowwz ingilia mahakama..magakama ikaamua pesa ilipwe..nasikia shule ikalipa..bado wakaendelea kudaiwa mikodi kibao..had kufunga akaunt na mwisho wamezihamisha..watoto wote wanasoma bure asilimia 100..serikali ikae na uongoz wa shule waone namna ya kuwasaidia watoto..
Narudia kusema shule hii haina mahusiano na kabisa katoliki ,tafuta fact au kuona st Jude unafikiri ni shule ya kanisa nenda kwenye website kaangalie "stjudeschools-moshono "
 
Kuna wanaijilipia, I know for a fact
Mwanzoni walivyoanzisha shule ndivyo ilivyokuwa lkn baadae walikuja kuondoa huo utaratibu. Hivyo kwa sasa wote waliopo pale wamefadhiliwa na raia wa Australia.
 
Elimu inatolewa bila malipo nchi nzima iweje Leo mnajidai 'superior' kuliko shule za kata? Huyi shule ilipe Kodi stahiki
Ukishakua utafahamu kwanini mama yako alikuwa akikunyoa kwa mkasi huku vinyozi wakiwa wametapakaa mtaani kwenu.
 
Back
Top Bottom