Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Who are you? Nchi ya babako hii wewe mpuuzi? Ungekuwa Mungu Sawa lakini wewe ni mpuuzi tu Fulani unayetegemea fadhili za mwanadamu kuishi!
Wewe ni nani kuniita mpuuzi? Wapi nimesema mimi ni mungu? Wapi nimesema hii nchi ya baba yanguKwani wapi nimesema nategemea fadhili za mwanadamu kuishi?
Acha mambo ya kiwaki boss peleka huko makasiriko yako na ndoa yako huko🚮
Usidhani unaweza kumfokea Kila mtu humu, such an idiot😡
 
Kwa hiyo Hakuna shida kabisa wanaume wa chadema kuvaa baibui na Madera?
Kwa tukio maalum hakuna tabu...vita vya Kagera kunasimulizi watu walilala na maiti ili waokoe maisha yao. Sasa kwa zama zile za giza unatarajia nini? Tafuta cha kuandika
 
Kwa tukio maalum hakuna tabu...vita vya Kagera kunasimulizi watu walilala na maiti ili waokoe maisha yao. Sasa kwa zama zile za giza unatarajia nini? Tafuta cha kuandika
Kwani unafikiri hata wanawake wanavaa baibui kila sehemu? Si ni kwa matukio maalum, au unafikiri wakienda bar wanaenda na baibui?
 
Hawaendeshi, naamini kabisa Prof Mkumbo hataki kabisa watoto wake waendeshe bodaboda
Anaanzaje kimfano?

Mimi nimesoma na mtoto wa mkubwa fulani sitomtaja jina, sisi pangu pangua tunaingia kwa mguu na kugombea hostel yeye dogo anatinga Chuo akiwa na gari kaliiii hata ma-lecturers wenye kutembelea IST anawazidi km ofisa fulani vile yaan kamaliza Chuo kabla ya matokeo kutoka wakata anafanya Sup na mimi ndio aliniita nimpigishe msasa kabla ya pepa, yaan kabla ya matokeo dogo kashapata kazi Serikalini saaafi kabisa
 
Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..

Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.

Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?

Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?

Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Ukishajua itakusaidia nini ....? Suala is kuilinda uhai wake wewe unautakia nini ili iweje ? Au umetumwa?
 
Hili swali japo bado halijajibiwa na Prof Kitila Mkumbo lakini linafikirisha sana

Watoto wa Viongozi

Mungu wa mbinguni awabariki!
What kind of madness is this? Tanzania ni nchi huru, haibagui. Mkumbo hakupangiwa kuwa Kiongozi wala kuendelea kuongoza. Lema hakupangiwa kuwa Mbunge waka kuendelea. Iwapo Mzazi ana uwezo kwa njia yoyote ile, atamtunza mtoto wake. BABA yake Mkumbo sijui kama alikuwa Mbunge au Rais wa CCM, wala Waziri; lakini kamkuza mwanaye vizuri hadi PhD. Si hizi mali za kurithi za kina Mbowe anaenda Chuo Kikuu kuhonga watoto wa maskini kina Mkumbo, Zitto, Halima na yule Mbunge wa Mbozi juzi alimtukana hazarani kumwita Yuda eti alimnunulia chupi na suti akiwa Chuo Kikuu? Tuangalieni, wenzetu hawa bado hawajaamini sisi ni Nji moja. Kwenye kura tuwakatae, kama wakifanya fujo tumehuru wapigwetu, wakizidi CHADEMA ifutwe.
 
Ukishajua itakusaidia nini ....? Suala is kuilinda uhai wake wewe unautakia nini ili iweje ? Au umetumwa?
Mimi nimeuliza swali tu je sio doa kwa chadema? Kama mnaona wanaume kuvaa baibui na Madera sio shida basi sawa
 
Wavaa mabaibui tunaanda press ya kumkemea, sisi tunavaa kama vazi la kujistiri iweje yeye aingilie vazi letu? Vimini hakuviona? Tunaanda press kulaani vikali, vazi hili ni la staha, sio la kutumiwa na Watu wanaoichokoza serikali Kwa makusudi Ili kujificha.

NB, Vipi ndani alikuwa anavaa na kirinda au alikuwa anavaa baibui chukuchuku? Alikuwa anakumbuka kujifukiza na aloud na oud?
 
Lema ana hoja ata boda boda wenyewe ile kazi wanaifanya ni kwa vile maisha magumu. Mpatie boda 5 uone kama ataendesha ata tamani kupokea hesabu.

Ukweli useme hakuna mtu amepeleka mtoto shule anatamani aje kua boda boda. Ni hakuna. Mifumo yetu mibovu ya uongozi/ utawala ndio chanzo ya yote
 
Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..

Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.

Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?

Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?

Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Million 898
 
Back
Top Bottom