Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sugu kazini

Screenshot_2024-02-27-17-32-12-1.png
Screenshot_2024-02-27-17-31-59-1.png
 
Mwanza Bado inaongoza,

Ila mwitikio na hamasa imeongezeka sana Kila hatua ya maandamano.

Kwa tulipofikia, lazima sauti ya umma isikizwe.
kwa hapo ndio hamasa imeongezeka mara dufu sio...
 
Maandamano yamekwisha, siku imeenda, viongozi chadema wapo mahotelini, wakipata 2,3 kwa fedha za ruzuku raha mustarehe, enyi nyumbu baada ya maandamano mu hali gani?
 
..kama hakuna kilichobadilika baada ya maandamano maana yake Rais Samia na serikali wameshindwa kazi, au kuja na majawabu ya kinacholalamikiwa.

..yaani ni sawa Mama mwenye katoto kachanga kanakolia halafu Mama huyo ashindwe kukapatia katoto hitaji lake, au hata ashindwe kujua kanahitaji nini.
Kuna watoto wengine huwa wamezaliwa na usonji au utaahira, hivyo anaweza kulia hata kama ameshiba. Hao unawaacha waendelee kulia kwa kuwa kulia kwao ndiyo tiba yenyewe
 
Back
Top Bottom