Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Punguza frustrations
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza utoto dogo.Kuoga ni tofauti na kutembea na kombati zilizoloa
Kenge wa cdm zaidi ya matusi wanajua nini?ndio maana wanaitwa misukule ya mzee MboweMkuu Makupa Umeyataka mwenyewe matusi....na yameshaanza!
Mmpelekeni shule huyu Lema walau apate mbinu za kuongea na hadharaPunguza frustrations
safi sanaTuko pamoja mkuu....Niko uwanjani hapa baada ya maandamano
Arusha mmetisha,Wamepora mpaka wafiwa wamegoma kwenda uwanjani....
Picha ya siku hiyo.Nguvu ya ummaView attachment 2918348
No one can stop reggae.Mwisho wa ccm umefika Rasmi
Mwanza Bado inaongoza,Mwanza bado imewafunika?
maandamano yamegoma...
Railaphobia ilifanyiwa Rutonation mnaiga sio? ni jambo ziri sana kujifuza kwa waliofeliNo one can stop reggae.
kwa hapo ndio hamasa imeongezeka mara dufu sio...Mwanza Bado inaongoza,
Ila mwitikio na hamasa imeongezeka sana Kila hatua ya maandamano.
Kwa tulipofikia, lazima sauti ya umma isikizwe.
Kuna watoto wengine huwa wamezaliwa na usonji au utaahira, hivyo anaweza kulia hata kama ameshiba. Hao unawaacha waendelee kulia kwa kuwa kulia kwao ndiyo tiba yenyewe..kama hakuna kilichobadilika baada ya maandamano maana yake Rais Samia na serikali wameshindwa kazi, au kuja na majawabu ya kinacholalamikiwa.
..yaani ni sawa Mama mwenye katoto kachanga kanakolia halafu Mama huyo ashindwe kukapatia katoto hitaji lake, au hata ashindwe kujua kanahitaji nini.