Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sanakinachoendelea hapa ni mambo ya hovyo hayajawahi kushuhudiwa kisiasa popote pale
Wanateseka waliovaa kombati,wameloa makalioni na mvua hii ya arushaUnateseka ukiwa wapi bwashee?
Safi sana, inafahamika ccm kuwa hawana utu huo, na walichotaka kufanya ni kugeuza marehemu wa wengine kama sehemu ya mtaji wa kisiasa. Bahati nzuri watu wanawajua ni wanafiki. Nawapongeza cdm kwa kuendelea na ratiba zao kama kawaida, na kuwaachia wanafiki huo msiba.Msiba umebuma,baadhi ya familia za wafiwa zimegoma kutumika kisiasa.
Moja kwa moja Marehemu wa familia hizo wamepokelewa peponiMsiba umebuma,baadhi ya familia za wafiwa zimegoma kutumika kisiasa.
Dhalimu hakupora uchaguzi kwa bahati mbaya, alijua matokeo ya kweli yakiachwa yatangazwe, wanaccm wenzake wangemziria kwa kuharibu mvuto wa chama chao. Ndio maana akaona apore uchaguzi ili ionekane ccm inakubalika, tofauti kabisa na ukweli ulivyo.Kweli Chadema kaskazini ipo mioyoni mwa watu
Kuloana sio mateso, labda kwako ww mtoto wa mama ndio unaona kuloana na mateso. Inshort umekata pumzi kwa kuona ukweli unaokuumiza.Wanateseka waliovaa kombati,wameloa makalioni na mvua hii ya arusha
Katibiwe Muhimbilikinachoendelea hapa ni mambo ya hovyo hayajawahi kushuhudiwa kisiasa popote pale
Leo tembeza kimini Shivaz watu watoe kibaridi cha mvuaWanateseka waliovaa kombati,wameloa makalioni na mvua hii ya arusha
johnthebaptist nambie nini kinaendelea. Hotuba zilikuwaje?Mmejitahidi 😂
Kwa hiyo kalio zinavosuguana na majimaji hapo,kwako siyo shida!?Kuloana sio mateso, labda kwako ww mtoto wa mama ndio unaona kuloana na mateso. Inshort umekata pumzi kwa kuona ukweli unaokuumiza.
Huwa unaoga na majivu, au wakati ww kuoga na hata kutawaza huwa huguswi na maji? Unaongea utoto gani dogo?Kwa hiyo kalio zinavosuguana na majimaji hapo,kwako siyo shida!?
My question was ni Kweli maandamano siyo lazima yapimwe na uwingi wa watu?Google Lady Godiva, statue yake ipo pale UK(C.city)
Mwanza bado imewafunika?Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.
Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.
Usiondoke JF.
View attachment 2918030View attachment 2918031
View attachment 2918101View attachment 2918106View attachment 2918107View attachment 2918108
View attachment 2918167
Lissu kazini
View attachment 2918222
=======
Viwanja vya reli vimejaa kabisa na hakuna nafasi tena , Kama umechelewa simama hapo hapo ulipo au rudi nyumbani , tafadhari sana
View attachment 2918245
Ataweka sahihi tu nani atawasikiliza nyie mliyojipa kazi ya kupinga chochote. Mumetumwa kutaka sheria ziweze kusababisha vurugu. Hii ndio kitu mnafanyia kazi.Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.
Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.
Usiondoke JF.
View attachment 2918030View attachment 2918031
View attachment 2918101View attachment 2918106View attachment 2918107View attachment 2918108
View attachment 2918167
Lissu kazini
View attachment 2918222
=======
Viwanja vya reli vimejaa kabisa na hakuna nafasi tena , Kama umechelewa simama hapo hapo ulipo au rudi nyumbani , tafadhari sana
View attachment 2918245