Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msiba umebuma,baadhi ya familia za wafiwa zimegoma kutumika kisiasa.
Safi sana, inafahamika ccm kuwa hawana utu huo, na walichotaka kufanya ni kugeuza marehemu wa wengine kama sehemu ya mtaji wa kisiasa. Bahati nzuri watu wanawajua ni wanafiki. Nawapongeza cdm kwa kuendelea na ratiba zao kama kawaida, na kuwaachia wanafiki huo msiba.
 
Kuloana sio mateso, labda kwako ww mtoto wa mama ndio unaona kuloana na mateso. Inshort umekata pumzi kwa kuona ukweli unaokuumiza.
Kwa hiyo kalio zinavosuguana na majimaji hapo,kwako siyo shida!?
 
Jemadari Lissu yuko Jukwaani anaeleza Jinsi Bashe na Super Doll wanavyopiga kwenye Sukari ya Wananchi.

I salute Lissu 🫡 huyu Jamaa ni mwisho wa maneno.
 
1709042478373.png

Maisha bora kwa kila Mtanzania ndani ya utawala BORA - ukiongozwa na KATIBA ya wananchi
 
Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.

Usiondoke JF.

View attachment 2918030View attachment 2918031
View attachment 2918101View attachment 2918106View attachment 2918107View attachment 2918108
View attachment 2918167
Lissu kazini

View attachment 2918222

=======

Viwanja vya reli vimejaa kabisa na hakuna nafasi tena , Kama umechelewa simama hapo hapo ulipo au rudi nyumbani , tafadhari sana

View attachment 2918245
Mwanza bado imewafunika?
 
Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.

Usiondoke JF.

View attachment 2918030View attachment 2918031
View attachment 2918101View attachment 2918106View attachment 2918107View attachment 2918108
View attachment 2918167
Lissu kazini

View attachment 2918222

=======

Viwanja vya reli vimejaa kabisa na hakuna nafasi tena , Kama umechelewa simama hapo hapo ulipo au rudi nyumbani , tafadhari sana

View attachment 2918245
Ataweka sahihi tu nani atawasikiliza nyie mliyojipa kazi ya kupinga chochote. Mumetumwa kutaka sheria ziweze kusababisha vurugu. Hii ndio kitu mnafanyia kazi.
 
Back
Top Bottom