Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Screenshot_2024-02-27-15-34-19-1.png
 
Jogging linaendelea arusha yaani wananyoosha tu viungo maandamano hayana effect yeyote kijamii wala kisiasa ukiiuliza wanasema tunafikisha ujumbe

Yaani ujumbe afu hakuna kusikilizwa ni lijogging tu
Huwezi kuelewa ukiwa ndezi, wenye akili tunaona mbali.
 
Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.

Usiondoke JF.

View attachment 2918030View attachment 2918031
View attachment 2918101View attachment 2918106View attachment 2918107View attachment 2918108
View attachment 2918167
Mkitoka hapo mnakwenda wapi?
 
Kama Umechelewa kuja Viwanja vya reli , Usije tena hakuna nafasi

View attachment 2918241

Nguvu ya Umma inapeleka ujumbe kwa serikali ya chama dola kongwe CCM iliyojiweka mamlakani kupitia uchaguzi walioupora 2020 ngazi zote mitaa, vijiji, udiwani, ubunge na urais pia kuwaweka makada wa CCM katika nafasi za uDAS, uDED, uDC, uRAS, uRC kama hisani kwa kushiriki katika uchafuzi na uporaji wa uchaguzi
 
Nguvu ya Umma inapeleka ujumbe kwa serikali ya chama dola kongwe CCM iliyojiweka mamlakani kupitia uchaguzi walioupora 2020 ngazi zote mitaa, vijiji, udiwani, ubunge na urais pia kuwaweka makada wa CCM katika nafasi za uDAS, uDED, uDC, uRAS, uRC kama hisani kwa kushiriki katika uchafuzi na uporaji wa uchaguzi
Mwisho wa ccm umefika Rasmi
 
Back
Top Bottom