Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuelewa ukiwa ndezi, wenye akili tunaona mbali.Jogging linaendelea arusha yaani wananyoosha tu viungo maandamano hayana effect yeyote kijamii wala kisiasa ukiiuliza wanasema tunafikisha ujumbe
Yaani ujumbe afu hakuna kusikilizwa ni lijogging tu
🤣🤣🤣Unateseka ukiwa wapi jini maimuna !!!!
Mkitoka hapo mnakwenda wapi?Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.
Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.
Usiondoke JF.
View attachment 2918030View attachment 2918031
View attachment 2918101View attachment 2918106View attachment 2918107View attachment 2918108
View attachment 2918167
Viwanja vya Reli , Mkutano wa hadharaMkitoka hapo mnakwenda wapi?
Wewe Bibie unatokea kipande gani !.Ngalelow,Olturoto,Okerian......Leo maandamano yako nyumbani, ngoja nipige simu huko nipate taarifa za uhakika za kinachojiri.
Watu wapo kibao, ww subiri hizo za juu za wapotoshaji. Waliweka msiba hapo uwanja wa sheikh amri Abeid, hata kuleta taarifa za huo msiba wanaona aibu. Walitarajia kuvuruga maandamano ya cdm, lakini wameona ukweli unaowauma.Nasubiria zile picha za juu [emoji3][emoji3]. Hongereni Arusha
Ngongo ww ni mkazi wa hapo Arusha, hata picha ya msiba hapo uwanjani umeshibdwa kuweka? Au msiba wa hila umebuma?Wewe Bibie unatokea kipande gani !.Ngalelow,Olturoto,Okerian......
Maandamano ya Wananchi Arusha yapeleka jumbe nzito kwa serikali ya CCM,
View: https://m.youtube.com/watch?v=4AJl1jriaCU
Hali ngumu ya Maisha, Katiba Mpya, Umeme, Maji, Tume Huru, Uchaguzi Huru wa Viongozi, Wakurugenzi DED wasiwe wasimamizi wa chaguzi, matumizi ya anasa ya serikali ..
kinachoendelea hapa ni mambo ya hovyo hayajawahi kushuhudiwa kisiasa popote pale
Mwisho wa ccm umefika RasmiNguvu ya Umma inapeleka ujumbe kwa serikali ya chama dola kongwe CCM iliyojiweka mamlakani kupitia uchaguzi walioupora 2020 ngazi zote mitaa, vijiji, udiwani, ubunge na urais pia kuwaweka makada wa CCM katika nafasi za uDAS, uDED, uDC, uRAS, uRC kama hisani kwa kushiriki katika uchafuzi na uporaji wa uchaguzi
Msiba wa kitaifa umeendeleaje hapo Arusha? Wivu unaruhusiwa kwenye siasa.Jogging linaendelea arusha yaani wananyoosha tu viungo maandamano hayana effect yeyote kijamii wala kisiasa ukiiuliza wanasema tunafikisha ujumbe
Yaani ujumbe afu hakuna kusikilizwa ni lijogging tu
Msiba umebuma,baadhi ya familia za wafiwa zimegoma kutumika kisiasa.Ngongo ww ni mkazi wa hapo Arusha, hata picha ya msiba hapo uwanjani umeshibdwa kuweka? Au msiba wa hila umebuma?
Wewe endelea na ajira yako kitengo Cha propaganda hapo ufipamacho kama huna basi jaribu kupapasa
Picha pleaseNipo Live hapa relini Mji ni Mafuriko jomba...