kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Muone alivyojawa na hasirašš¤£View attachment 2918307
Maisha bora kwa kila Mtanzania ndani ya utawala BORA - ukiongozwa na KATIBA ya wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muone alivyojawa na hasirašš¤£View attachment 2918307
Maisha bora kwa kila Mtanzania ndani ya utawala BORA - ukiongozwa na KATIBA ya wananchi
Tangu maandamano yaanze nini kimebadilika
Kuoga ni tofauti na kutembea na kombati zilizoloaHuwa unaoga na majivu, au wakati ww kuoga na hata kutawaza huwa huguswi na maji? Unaongea utoto gani dogo?
Mungu haangalii Wingi bwashee šMy question was ni Kweli maandamano siyo lazima yapimwe na uwingi wa watu?
AmenMungu Ibariki CHADEMA
Simba mwepesi sanaa na ukali wake anazalishwa.DHIKI na SIMBA mkali nani? DHIKI
27 February 2024
Arusha, Tanzania
HOTUBA
Tundu Lissu, Freeman Mbowe akishambulia kwa hoja Arusha leo umuhimu wa kuweka shindikizo kupitia maandamano ya wananchi hadi kieleweke
View: https://m.youtube.com/watch?v=2CGuQTQAl3c
Makamu wa mwenyekiti CHADEMA ageukia wasomi kina Prof. Kabudi Palamagamba wanaosema rais ni mungu mtu.
Katiba ya nchi imetengeneza mungu wa nchi yaani ardhi, ardhi yote ni mali ya umma chini ya uangalizi wa rais.
Watu wanaporwa adhi kona zote za nchi kuanzia Mbarali kusini hadi kaskazini Ngorongoro
Madini ya dhahabu, tanzanite, gesi asilia ardhini na baharini ipo chini ya udhamini wa rais mungu kukodhi mali zetu ndiyo maana watanzania hawana haki na mali zao vijijini, walizorithishwa na wazazi au kununua kihalali .....
Wanyama 10,000 wapo Sharjah katika zoo kwa amri ya mungu aliyepo ikulu
Misitu, bandari vyote vimegawiwa kwa wageni kwa marafiki zake uarabuni hectare milioni 8 zimekabidhiwa kampuni ya Uarabuni ili kuuza hewa ya carboni / ukaa pia hectare milioni 6 za Mwiba Holding Serengeti amepewa mzungu na yote hii ni kutokana na katiba ya rais mungu.
Sasa wewe mwananchi umebakiwa na nini? Umasikini na kutimuliwa kutoka katika ardhi yenu ya urithi yenye mali nyingi na mazao
Tozo, kodi zote zimeanzishwa na mungu rais Samia Hassan ambaye katiba iliyopo imempa mamlaka ya kuanzisha na kukataa kodi, tozo zote ili kuneemesha wateule wa rais ili fedha hizi wale kupitia V8 kwa viongozi wateule lakini hakuna ambulance.
Juzi eneo la ajali majeruhi waliondolewa na guta, canter kwa kutumia raia wema kwa sababu fedha zote zimenunua V8 mashangingi kila kona huku hakuna ambulance, gari za zimamoto, na huduma za paramedical hakuna
Biashara ya kodi na tozo huanzia kupangwa ikulu kisha kupelekwa bungeni. Hivyo kodi hizo ni za rais Samia katiba iliyopo inasema hayo.
Hivyo hakuna namna ya mungu rais kujinasua na lawama za kodi kubwa na matumizi mabaya yaliyo ya anasa.
Wafanyakazi wamebaki kuwa masikini wana mishahara midogo wanashindwa kugoma na kila Mei Mosi wanatembeza bakuli yallah masikini rais mungu tuongezee mshahara. Katiba iliyopo inasema rais mungu ndiyo aliye na mamlaka ya kuongeza mshahara..
Hivyo haki inatafutwa kwa maandamano, migomo na katiba mpya ili kuondoa mungu rais na vimiungu wake wateuliwa
Makamu mwenyekiti CHADEMA amaliza hotuba yake na sasa kumkaribisha mwenyekiti wa CHADEMA taifa kamanda Freeman Mbowe ahutubie mamia ya wananchi wa Arusha waliojitokeza kwa wingi na watanzania popote nchini na ulimwenguni wanaotusikiliza kuhusu mustakhabali wa nchi na namna bora ya kwenda mbele.
Mh. Freeman Mbowe anasema leo tumehitimisha raundi ya kwanza ya maandamano katika majiji manne ya nchini Tanzania
Mh. Mbowe anaongeza kamati kuu ya CHADEMA imejiridhisha CCM haina nia njema bali inafanya ulaghai mtupu kwa wananchi na jumuiya ya kimataifa.
Dar es Salaam kilometa 50, kule Mbeya kilometa 42 Arusha leo kilometa 30 kuanzia eneo la KwaMrefu na kukutana na wananchi waliotueleza kero na taabu za maisha.
Tunakwenda kule Mtwara kutengeneza Azimio la Mtwara kwa mkutano wa kamati kuu na kuwapa taarifa ya maandamano haya ya majiji manne ambapo tumetembea jumla ya kilomita 160 kwa miguu kukutana na wananchi wa kada zote, vyama vyote ...
c.c Erythrocyte
Yes mkuuMy question was ni Kweli maandamano siyo lazima yapimwe na uwingi wa watu?
Hawa Viongozi waje huku Kitaa waje wajionee DHIKI ilivyo Watanzania wanateseka sana.Simba mwepesi sanaa na ukali wake anazalishwa.