Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Leo Arusha mvua ilikuwa kubwa lakini wafu nyoni sana.
Watu hawataki ujinga kwenye maisha yao.
Watu hawataki ujinga kwenye maisha yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala ya kuchapa kazi, wanaandamana, ujinga mzito huu.Leo Arusha mvua ilikuwa kubwa lakini wafu nyoni sana.
Watu hawataki ujinga kwenye maisha yao.View attachment 2918387
Kwa mujibu wa kura, 20/FEB, Mbeya wanaongoza, Tusubirie update ikiwemo Arusha.Mwanza Bado inaongoza,
Baada ya Maziko uliungana na waandamanaji?Railaphobia ilifanyiwa Rutonation mnaiga sio? ni jambo ziri sana kujifuza kwa waliofeli
si mmeona hayana maana ni kupoteza muda....Baada ya Maziko uliungana na waandamanaji?
acha tubembee kwenye ndege tu , sis na ndege , ndege na sisi....... si tutaiba kura, kwani kuna shida?Mwenye macho haambiwi tazama
Mlale Unono 😀
Hali ilikuwa Mbayaaa Machalii WamegomaMbona hujatupia picha ndugu? Tupia picha kadhaa chap chap kuwatia moyo na wengine.
CCM haitegemei kura kwani walikwisha sema wanazo mbinu nyingi za kupata ushindi.Mwenye macho haambiwi tazama
Mlale Unono 😀
Dunia inabadilika kwa kasi Sana bwasheeChadema wataendelea kuangushwa na hii Katiba mbovu iliyopo, na Tume feki ya uchaguzi iliyopo, siku hivyo viwili vikiondolewa Chadema wakawa huru kutegemea kura za watanganyika, hapo ndio naamini CCM itaondoka kwenye utawala wa nchi hii.
Lakini mpaka sasa CCM hawawezi kutishika na nguvu ya maandamano inayoonekana kuwa nayo Chadema, wanajua watawaachia ubunge wa hapo Arusha Mjini, then serikali kuu wataendelea kuishikilia wao.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Jo ungana nasi okoa taifa lako🤓.Mwambie na Lucas Mwashambwa,Nigranteagrant,cocochanel,stroke na marafiki wao wooote wa hapo korido kijani🤓Mwenye macho haambiwi tazama
Mlale Unono 😀
Sisi wazee yetu ni CCM bwashee 😂Jo ungana nasi okoa taifa lako🤓
Mwenye macho haambiwi tazama
Mlale Unono [emoji3]
CCM ijue kwamba kwa kuendelea kutuibia Kura mwishowe Taifa litaingia kwenye migogoro isiyokuwa ya LAZIMA Mwacheni Mwananchi aamue ni Kiongozi gani anayemtaka Siasa ni Nguvu ya USHAWISHI angalieni CHADEMA kiavyopendwa kwa Moyo wa DHATI na Mtanzania.
[emoji3577][emoji173][emoji118]🫡
Ime miangusheni hata wazee wa hapo kijani au unahofia pension kuzuiliwa,hiyo ni haki yako,ni jasho lako atayethubutu atawalipa hadi vitukuu wako baada ya maisha yako ya duniani🤓Sisi wazee yetu ni CCM bwashee 😂
Hawajawahi kutoka mioyoni mwa watu, au siasa za dhalimu ziliwadanganya Nini? Ama umesahau kuwa kipindi chote Cha dhalimu aligoma cdm kufanya siasa, na akaishia kupora uchaguzi ili kukwepa matokeo ya kweli? Ni hivi, ccm sio chama Cha kizazi hiki, na hakitakaa kishinde tena kwa kiwango itakacho kwenye uchaguzi halali.Mwenye macho haambiwi tazama
Mlale Unono 😀
Cc.LucasHawajawahi kutoka mioyoni mwa watu, au siasa za dhalimu ziliwadanganya Nini? Ama umesahau kuwa kipindi chote Cha dhalimu aligoma cdm kufanya siasa, na akaishia kupora uchaguzi ili kukwepa matokeo ya kweli? Ni hivi, ccm sio chama Cha kizazi hiki, na hakitakaa kishinde tena kwa kiwango itakacho kwenye uchaguzi halali.