Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Nami nashangaa. Hili lilikuwa tukio la msiba wa Magufuli bhana. Waache kutupangawanasema eti leo ya Lema, leo ndio nimeamini watu ni waongo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nashangaa. Hili lilikuwa tukio la msiba wa Magufuli bhana. Waache kutupangawanasema eti leo ya Lema, leo ndio nimeamini watu ni waongo sana
Anakuja kutoa unabii .Mwamba hajawahi fail on thatTungependa kufahamu Lema anakuja na agenda gani mpya , au akishapokelewa ndiyo imekwisha
Mwanaume mwenye kende zake unaacha kazi zako unaenda kumpokea mwanaume mwezako?
Ndio hivyo wanawadanganay mambo mengi sana hawa vijana na hawaoni aibuYaani huu ni umati wa magufuli nimeufuatilia YouTube!
Jamaa huyu erythromycin ni tapeli kweli kweli walahi
Aibu sana [emoji13]
Alafu kijana Erythrocyte usitufanye wengine humu ni vijana wenzako.
Unaposema utatuletea live coverage, you mean kila kinachojiri basi iwe hivyo na siyo waje JF wakaweka LIVE ndipo uzi wako upate heading NO.
Unaposema wananchi wanapeperusha bendera na matawi ya miti, hebu simu yako itumike kuonyesha hao watu, usisubiri JF iweke LIVE ili uzi wako upate heading NO.
Nowadays simu ni kila kitu, hata live ya 10sec kwa eneo ulipo itakupa credit kubwa kuliko kuhadaa watu wazima hapa!.
Una uhakika hiyo video nimeweka mimi ? usichume dhambi za kujitakia mkuu , hizo ulizonazo zinakutoshaYaani huu ni umati wa magufuli nimeufuatilia YouTube!
Jamaa huyu erythromycin ni tapeli kweli kweli walahi
Aibu sana [emoji13]
Yaani niingie mitini kwa ajili ya hoja zako hizo duni [emoji38][emoji38][emoji38] , itakuwa ajabu sana !Ndiyo maana kaingia mitini, hata picha ya simu kachemka anataka kusema anatumia kiswaswadu!.
PoleNi jambo jema
Nafahamu mmeunda vikundi kunichafua , sababu ni ile ziara kabambe ya Kanda ya Nyasa , lakini waulizeni wanaowatuma , ukitaka kunifahamu zaidi mtafute Mwakyembe akusimulie , dagaa kama nyinyi hamniwezi hata kwa kuloga , Wajinga sana nyie !Leo manka umechefukwa?
mwenzetu unaangalia taarifa ya habari!Leo mmejionea jinsi hawa watu walivyo waongo, walisema Magu anaua watu sijui viroba coco beach, na sasa nani anawaua watu kilasiku mauaji nchini. Ukiangalia taarifa ya habari ya kwanza had ya tano ni ya mauaji tuu, acheni uongo nyie vijana
Angalia hayo mauaji yanafanyika mkoa gani .Leo mmejionea jinsi hawa watu walivyo waongo, walisema Magu anaua watu sijui viroba coco beach, na sasa nani anawaua watu kilasiku mauaji nchini. Ukiangalia taarifa ya habari ya kwanza had ya tano ni ya mauaji tuu, acheni uongo nyie vijana
Kwani aliyeka video ya Magufuli si ni mwenzenu ili kuvuruga uzi?Thank you!
Leo tume tumegundua uwongo wao walahi!
Chadema hamna kitu aisee[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Lgbt frontliners
Mkuu kuingia mitini siyo kukimbia mada au kutoandika jambo.Yaani niingie mitini kwa ajili ya hoja zako hizo duni [emoji38][emoji38][emoji38] , itakuwa ajabu sana !
Jiongeze kidoogo!!uwe na subira na sitaha pia.Tungependa kufahamu Lema anakuja na agenda gani mpya , au akishapokelewa ndiyo imekwisha
Hasa ukirejea wajenga "Mkataa kwao ni Mtumwa"Ni jambo jema
Mikoa yote, hata huko kwenu mbeya mwezi uliopita wamemnyoonga muhasibu wa TANESCOAngalia hayo mauaji yanafanyika mkoa gani .