Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,377
- 1,861
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio walichobaki nacho CDM bana kila kitu ni kufanya editing tu kwenye mikutsno hola kwenye video nako wanaiba video za watu sijui wanakwama wapiYaani huu ni umati wa magufuli nimeufuatilia YouTube!
Jamaa huyu erythromycin ni tapeli kweli kweli walahi
Aibu sana [emoji13]
lete andiko linalozungumzia hilimaskofu na sheikh wamejumuika kwenye picha ya pamoja na mabinti waliovaa suruali.
Ndio kuishiwa hivyo hata hao bodaboda wapewa 10000 basi ili wwje kummunga mkono basiMBONA UMEWEKA VIDEO YA USAFIRISHAJI WA MWILI WA ALIYEKUWA RAISI (MAGUFULI?)
USIFANYE WATANZANIA HAWANA AKILI KAMA WEWE!
Kwi kwi kwi , umeamua kumwanika !Pamoja mkuu ila naomba nikutetee wanaokuhusisha na Nikki wa pili wanamkosea DC na kumfedhesha.
Childish🥒🥒🥒🥒utalishwaWake makini na magari yao maana jamaa karudi
wote hao na wewe ni wajinga na dawa ya mjinga ni kumpuuzaPamoja mkuu ila naomba nikutetee wanaokuhusisha na Nikki wa pili wanamkosea DC na kumfedhesha.
Wamechame wa kwa nronga
Watu wa CHADEMA huwa siku zote hamna adabu. Kila mtu kwenu kama sio wa kaskazini huwa rahisi sana kumtukana au kumzushia jambo.Intelligence ya Chadema ni kubwa mno. Wameshampekua Lissu wakammaliza. Lissu hayuko na Chadema kwenye nyuma ya camera Ila mbele ya Camera ni Chadema. Siku si nyingi utakuja kusoma ujumbe huu na utaunga mkono nilichokisema hapa. Muda ni mwalimu mzuri na utasema.
Baada ya kuzizima ndio watakuwa wameshiba ?Jiji la Arusha limezizima kwa shangwe!!!!
Kailete uiweke hapa, anayebisha anapaswa kuthibitishaMagufuli hiyo, acha uwongo ifuatie YouTube [emoji2957]
TBC wako liveJiji limesimama !!!
Ohoooooo !!!