ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

NIMEUZA mechi kwa Watu 3 tofauti nasubiri nimpime mmoja wao, hao wengine siwezi kuambukizwa ila huyu fala mmoja kama atakuwa nao ninao
Kimeumana. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
NIMEUZA mechi kwa Watu 3 tofauti nasubiri nimpime mmoja wao, hao wengine siwezi kuambukizwa ila huyu fala mmoja kama atakuwa nao ninao
Unaweza kukuta hao unaowaamini ndio wakakusogezea hili tatizo huyo uliye na mashaka naye akawa poa kabisa.
 
NIMEUZA mechi kwa Watu 3 tofauti nasubiri nimpime mmoja wao, hao wengine siwezi kuambukizwa ila huyu fala mmoja kama atakuwa nao ninao

Kwanin uuze mechi kama nakuona unavyoogopa kupima
 
Sahivi wanachomwa sindano kwa mwezi Mara moja
 
We acha tu. Nitamlaumu shetani bure kumbe mie ndo chanzo...

Afu ubaya sasa wapuuzi wote watatu simu zao hazipatikani..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ bado unawatakia nini unataka bado ukauze mechi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…