Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimeumana. [emoji23][emoji23][emoji23]NIMEUZA mechi kwa Watu 3 tofauti nasubiri nimpime mmoja wao, hao wengine siwezi kuambukizwa ila huyu fala mmoja kama atakuwa nao ninao
Heheheh huwa sikamii gemu atiKimeumana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza kukuta hao unaowaamini ndio wakakusogezea hili tatizo huyo uliye na mashaka naye akawa poa kabisa.NIMEUZA mechi kwa Watu 3 tofauti nasubiri nimpime mmoja wao, hao wengine siwezi kuambukizwa ila huyu fala mmoja kama atakuwa nao ninao
Najua kwanini namhisi huyo 1Unaweza kukuta hao unaowaamini ndio wakakusogezea hili tatizo huyo uliye na mashaka naye akawa poa kabisa.
Ok.Najua kwanini namhisi huyo 1
Ukinywaga uniite nikusaidieUko kama mimi...madonge uwii nikiviona nalia[emoji22]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
NIMEUZA mechi kwa Watu 3 tofauti nasubiri nimpime mmoja wao, hao wengine siwezi kuambukizwa ila huyu fala mmoja kama atakuwa nao ninao
Hata siogopi, nitaenda pima mwisho wa mweziKwanin uuze mechi kama nakuona unavyoogopa kupima
Huyu mmoja ndo nimeuza kabisa zaidi ya 4 ndo maana namhofia.Kwanin uuze mechi kama nakuona unavyoogopa kupima
Huwezi kaa na mmoja?mkawa mnapima baada miezi kadhaaHuyu mmoja ndo nimeuza kabisa zaidi ya 4 ndo maana namhofia.
Hao wengine zilipasuka
Haya sema KIMEUMANAAHata siogopi, nitaenda pima mwisho wa mwezi
We acha tu. Nitamlaumu shetani bure kumbe mie ndo chanzo...Huwezi kaa na mmoja?mkawa mnapima baada miezi kadhaa
Sahivi wanachomwa sindano kwa mwezi Mara mojaWakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu.
UPDATE
Kama umeoa Bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
Vipo badoVidonge je?
😂😂😂 bado unawatakia nini unataka bado ukauze mechi?We acha tu. Nitamlaumu shetani bure kumbe mie ndo chanzo...
Afu ubaya sasa wapuuzi wote watatu simu zao hazipatikani..
Poleeeh unalo hilo. [emoji23][emoji23][emoji23]Heheheh huwa sikamii gemu ati