ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu
Kwa Sisi wenye Pumu za Kurithi na Damu zetu ni Group O+ huu Uzi na Ushauri wako wala hautuhusu kwani Sisi ' Kitabibu ' ni kwamba hatuwezi kamwe Kuambukizwa huo UKIMWI na Binafsi nimeshalifanyia Majaribio mwaka 2008 tena mwaka 2011 na mwaka 2014 kwa Makusudi na kujua kabisa ' ninaowabandua ' wameshaathirika ( tena niliuza Mechi namaanisha sikutumia kabisa Condom ) ila sijaipata na kupima Hospitali zote Kubwa zenye Wataalam na Madaktari Bingwa sijakutwa nao.

Sasa msio na Pumu za Kurithi na Damu Group O+ niigeni GENTAMYCINE muanze Kulipiga vizuri Gitaa la Solo la Dally Kimoko na ' mpukutike ' mkayaanze Maisha yenu mapya Udongoni hapa Mjini au huko Vijijini Kwenu ( Mwenu )
 
Mdharau K……. Tusi kubwa 😜😜😜😜
 
Njia nzuri ni direct injection. Sindano yenye damu hiv+ jidunge leta majibu in 4 to 6month.
 
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu
Pole sana mkuu sema lifestyle yako nilijua tu lazima uungue maana nyuzi zote za machimbo ya makahaba Dar lazima uwe main participant wa kutoa ushuhuda jinsi ulivyovuruga malaya wa Dar ....sema pole sana mkuu
 
Tatizo lako humezi vizuri za mchana unameza usiku na za usiku unameza mchana ndio shida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eleza vizuri mkuu kilichokupata,lini uligundulika na grid ya taifa? Walinde pia madada wa JF usiwaambukize makusudi.
Tena atakua anapiga counter tack ya usambazaji kwa ID yake nyingine. Daaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…