Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
$30,000 mkuu 😀,pesa yote hiyo kwa ajili ya kuvushwa boda la south,hii ni chai 😀Wauza Unga wengi wameacha hiyo biashara maana kifungo ni kirefu sana
Ila kuvusha wakimbizi ni
a slap on the wrist
Na inalipa kweli
Kuna wanaolipa safari moja mpaka $30,000
Kimekuwa chama cha Human Trafficking😂😂😂CCM Oyeeeee !!!
Inawezekana sana tu. Hiyo ni Milioni 70 tu. Na anawavusha hadi South.$30,000 mkuu 😀,pesa yote hiyo kwa ajili ya kuvushwa boda la south,hii ni chai 😀
Alikuwa anawarudishwa kwao baada CDF kuonya juu ya WageniMtanzania Edward Erihard (31) Mkazi wa Dodoma anashikiliwa na Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kusafirisha kinyume na sheria Wahamiaji 20 Raia wa Ethiopia.
Akiongea Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Manyara ACP Lucas Mwakatundu amesema tukio hilo limetokea March 23 2024 ambapo gari hilo limekamatwa katika kizuizi barabara ya Arusha Babati eneo la Minjingu likiwa na Wahamiaji ishirini Raia wa Ethiopia kwenye gari namba T.774 BDL Land Cruiser likiwa na bendera ya Chama cha Mapinduzi CCM.
“Gari hili V8 lilikuwa na Bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenye upekuzi tulipoona sura tofauti na Watanzania ilibidi tuweke gari pembeni na baadae kuwashusha tukakuta wapo Wahamiaji 20 kwenye gari V8 na wote uelekeo wao ni kusini mwa Afrika wakitokea usawa wa Arusha, Dereva wa gari hili ni Mkazi wa Dodoma tunamshikilia mpaka sasa na kesho tunatarajia kuwakabidhi Uhamiaji”
Chanzo: Ayo TV
Tatizo Uchawa.....yaani Chawa anafanya maovu makubwa na anaachwa sasa na wengine wanafata.
Hili ni jema sana, ni vizuri sana ili viongozi wa vyombo vyote vya ulinzi wajitafakari ni wapi wanakosea!
Utekelezaji wa sheria kwa vyombo vyetu umekuwa sio mzuri, tunaangalia huyu ni nani. Sasa watu waovu mara nyingi hutumia udhaifu huo wa vyombo vyetu kufunya maovu.
HahahAlikuwa anawarudishwa kwao baada CDF kuonya juu ya Wageni
Wanasema akishavuka Tz huko Kwingine ni kuteleza tu.hadi Mozambique ni mbali sana. also ni very hard kufika bila kukamatwa. tz ni ngumu sana. ila he could travel at night. angesave shida nyingi sana
Sio walidhani........Walidhani wakiwa na bendera ya chama hawatasimamishwa
bali...Sio walidhani........
Malizie mwenyewe...hahaabali...
zimbabwe ni rushwa tu same as Mozambique. tz ukitoa rushwa wanapigiana simu gari yako ina rushwa. utatoa rushwa kila mkoa twice 😂😂. and it must be equal.Wanasema akishavuka Tz huko Kwingine ni kuteleza tu.
Ukikosea tu wanakudaka.......usipowapa wa mwisho.zimbabwe ni rushwa tu same as Mozambique. tz ukitoa rushwa wanapigiana simu gari yako ina rushwa. utatoa rushwa kila mkoa twice 😂😂. and it must be equal.
Unataka uingie kazini na v8 yenye namba ya jeshi kabisa ama sioUna uhakika hujakosea lkn
Sio huko boss ni kutoka Africa mpaka Ulaya$30,000 mkuu 😀,pesa yote hiyo kwa ajili ya kuvushwa boda la south,hii ni chai 😀
Kweli mkuu ajali kaziniItakuwa amechomewa. Halafu kuwapeleka uhamiaji nako ni kuwapelekea tu ulaji.
Kwasababu hao kwanza hawana nia ya kuishi Tanzania.
Hapana mkuu sio huko sorryDuuh dau refu sana.
Siku tutakuta Toyota Passo zimebeba wahamiaji
Samahani mkuu sio Namanga bali safari ya kuwatoa nje mpaka Ulaya ndio inaanzaUna uhakika hujakosea lkn
Kwa kuwaleta Ulaya ndio ni hela ndefu ila sio hapo borderDuh mpunga wa maana kumbe
Ukute na kadi za CCM wanazo hapo CCM ni janga la TaifaMtanzania Edward Erihard (31) Mkazi wa Dodoma anashikiliwa na Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kusafirisha kinyume na sheria Wahamiaji 20 Raia wa Ethiopia.
Akiongea Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Manyara ACP Lucas Mwakatundu amesema tukio hilo limetokea March 23 2024 ambapo gari hilo limekamatwa katika kizuizi barabara ya Arusha Babati eneo la Minjingu likiwa na Wahamiaji ishirini Raia wa Ethiopia kwenye gari namba T.774 BDL Land Cruiser likiwa na bendera ya Chama cha Mapinduzi CCM.
“Gari hili V8 lilikuwa na Bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenye upekuzi tulipoona sura tofauti na Watanzania ilibidi tuweke gari pembeni na baadae kuwashusha tukakuta wapo Wahamiaji 20 kwenye gari V8 na wote uelekeo wao ni kusini mwa Afrika wakitokea usawa wa Arusha, Dereva wa gari hili ni Mkazi wa Dodoma tunamshikilia mpaka sasa na kesho tunatarajia kuwakabidhi Uhamiaji”
Chanzo: Ayo TV
Imo ukute hata Lucas Mwashambwa muhamiaji haramuKwani na hii kwenye ilani imo!