Asafirisha wahamiaji 20 kwa V8 yenye bendera ya CCM

Alikuwa anawarudishwa kwao baada CDF kuonya juu ya Wageni
 
Tatizo Uchawa.....yaani Chawa anafanya maovu makubwa na anaachwa sasa na wengine wanafata.

Ndio maana kila anayekuwa Chawa anatoboa. Unajiuliza anatoboaje?

Hii ni moja ya mbinu zao. Huenda ziko nyingi na mbaya zaidi ya hii.
 
Itakuwa amechomewa. Halafu kuwapeleka uhamiaji nako ni kuwapelekea tu ulaji.

Kwasababu hao kwanza hawana nia ya kuishi Tanzania.
Kweli mkuu ajali kazini
Hao vijana nawaona sana 🇬🇧 tena unaona kabisa ni fresh wanavyozubaa zubaa
Wakifanikiwa wao mwisho wa safari ni Ulaya

Ila wakishikwa wanarudishwa halafu wanaanza upya tena
Ni majaaliwa kufika ila wapo wanaofika huku na kuwasaidia wenzao waje pia
Jamaa sio kachomwa ila kabeba wengi sana lakini pia kwa waswahili linawezekana
 
Ukute na kadi za CCM wanazo hapo CCM ni janga la Taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…