Asali, samli, kitunguu maji ni tiba ya nguvu za kiume- mrejesho

Jameni hii kitu kuna mwingine kajaribisha? Leteni ushuhuda zaidi ili sasa na sisi tuanze rasmi...
 

kaka naomba hiyo link ya hiyo doze fasta.........pleaseeee
 
Ngoja niende kariakoo maana kuna kabinti kamekula sana hela zangu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Hahahahag keimamae.... Yani nguvu za kiume zimekuwa janga namna hii????
 
Jamani kuna mtu kauliza hii juice ya kitunguu, inakuwaje
 
mpango mzima ni ile dawa inaitwa LIFE. inatangazwa star tv na jamaa anaitwa dr buberwa. ile ni kiboko, uchovu wote kwisha na unakuwa active masaa yote. kisukari, pressure, vidonda vya tumbo utavisikia kwenye bomba tu. nimeitumia na imezaa matunda..
 
mpango mzima ni ile dawa inaitwa LIFE. inatangazwa star tv na jamaa anaitwa dr buberwa. ile ni kiboko, uchovu wote kwisha na unakuwa active masaa yote. kisukari, pressure, vidonda vya tumbo utavisikia kwenye bomba tu. nimeitumia na imezaa matunda..

tutaipataje tusaidie contact
 

Haiwezekani kututafuna kituunguu maji, kunywa kijiko cha samli na kunywa asali tu bila kutengeneza juice ya kitunguu?
 
mpango mzima ni ile dawa inaitwa LIFE. inatangazwa star tv na jamaa anaitwa dr buberwa. ile ni kiboko, uchovu wote kwisha na unakuwa active masaa yote. kisukari, pressure, vidonda vya tumbo utavisikia kwenye bomba tu. nimeitumia na imezaa matunda..

Mkuu hebu funguka zaidi, hii dawa inachanganywa miti shamba au inakuja ishatengenezwa??
 
Inasaidia u.u.m.e kusimama kila unapomaliza kugegeda au inakufanya usikie hamu ya tendo kila wakati?Maana hvy ni vitu viwili tofauti.
 
Ndo maana siku hizi ndoa zetu ni za muda, poa ntaitafuta hiyo dawa.
 
wakuu mimi baada ya hii post kuja kwa mara ya kwanza nilijaribu hii dawa lakini sikuonw mabadiliko yoyote
 
Mkuu hebu funguka zaidi, hii dawa inachanganywa miti shamba au inakuja ishatengenezwa??
inatengenezwa kwa miti shamba, ishatengenezwa we unatumia tu kwa dozi utakayoelekezwa, yupo pale ubungo plaza piga 0753-185543
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…