Asante 2022, nilipata mil. 4.5 kimasihara

NILIWAHI RUSHIWA MIL 1.MIL
NKAITOA FASTA .AKANIPIGIA MDADA MMOJA.NIKAMWAMBIA USIHOFU ZIKO SALAMANTAKUPIGIA...

UKWELI SIKUWA NA MPANGO HUO.

JION NAENDA HOME TOKA KMR PKPK IKANIFWATA PYUUU .MBELE IKANIGONGA NA TAA KULE. HANA LESENI..WALA KADI YA PKPK

NIKAPAK SEHEMU NIKAMPIGIA DADA NJOO MWENGE...PUMA AKAJA NILIPOMPA.AKATOA 30 ANIPE NKAISHIA.KUONGEXA 100K KUREKEBISHA..YAAN USIPORUDISHA UTAZILIPA HHOSPTALN
NIKOOOOOOOO PALEEEE KWA MASAWEE UTANIJULISHA
 
Sasa narudisha vipi na sijapigiwa hata simu na mtu kwamba kakosea
 
Hahahah yaani jamaa anajisifu lazima aje ailipe hio kitu
Acha vitisho mkuu sasa ningeirudisha vipi wakati aliyekosea ni wakala na hadi sasa sijapigiwa simu kwamba mtu kakosea
 
Usinitishe bhana
 
Mkuu

Hongera Sana!

Bunda ipi Mkuu!!?

Napakumbuka sana huko!!HASA washkaji zangu wa miaka ya tisini kina Biseko,nasaba,katikiro,makanya,mfungo wa Mama,mshangi,evarist,maiko,chacha mitaa ya RTC KARIBU na Bar ya MK!

Enzi hizo stendi ipo karibu na daily ya kina Mohamedi kesi na jamili!
 
Huna tofauti na mwizi
 
Brother unakula haki ya mtu hiyo ni sawa na wizi au dhulma usijisifu wala kufurahishwa na hilo.
 
Aliyetuma kimakosa akifuatilia anakukamata ndani ya 24hrs.
 
Ungekuwa wewe ungefanyaje hebu niambie
Kisheria hukutakiwa kuhamisha hera kwa halaka wala kuzifunga namba zako zisitumike tena,ila ilibidi usubirie kama huyo muhusika atakutafuta au la,atlest miezi mitatu ndiyo uzitumie.
 
Endelea shukuru ila line ulizohamishia zimesajiliwa kwa alama ya vidole zote zinaweza Soma majina yako ulivoenda kutoa nayo imeonesha kifupi umejihamishia pesa isio yako wakiamua fatilia watakukamua mavi Kama hauna
 
Imekaa kama zile shuhuda za Mungu kanitendea miujiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…