Asante Mbowe, umeongea hoja ambayo nilii-post hapa JF siku kadhaa zilizopita. Wewe umeiweka vizuri zaidi kuliko mimi

Asante Mbowe, umeongea hoja ambayo nilii-post hapa JF siku kadhaa zilizopita. Wewe umeiweka vizuri zaidi kuliko mimi

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Niliandika juzi nikisema wanaosema Mbowe aachie uongozi Kwa sababu eti ameongoza Kwa miaka 21 wana hoja ya kitoto Sana ila ninewasamehe Kwa sababu najua wasomi wengi wa Tanzania huenda shuleni kukariri madesa na wakisha graduate hawasomi Tena vitabu.

Wakati wasomi wa kitanzania wanamuona MH. Mbowe ameongoza Kwa miaka 21 Mimi namuona Mbowe kama mwanasiasa mwenye experience ya kuongoza Chama cha siasa Kwa muda WA miaka 21.

Kwa mantiki hiyo Basi huyu ndio anapaswq kuamiwa Zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya miaka 21 .

Nikasema Zaidi kwamba hiyo ni hesabu ndogo Sana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kusolve.

Mbowe = 21 years of experience.

Lissu = 0 year of experience.

And u guys want to replace 20 with zero?🤣🤣🤣🤣

Wanaomtaka Lissu awe mbadala wa Mbowe hawana tofauti na mwenda wazimu.

Kwa sababu ni mtu mwenye wazimu pekee ndio anaweza Kukubali kureplace his 20 shillings with zero.

Kwenye mahojiano Yake na BBC Mbowe kasema kwamba uwezo wa mtu katika uongozi WA Chama cha kiasiasa hauwezi kupimwa Kwa mwaka mmoja tu au miaka miwili unapimwa Kwa muda mrefu.

#Freeman Mbowe mbele Kwa mbele
 
Niliandika juzi nikisema wanaosema Mbowe aachie uongozi Kwa sababu eti ameongoza Kwa miaka 21 wana hoja ya kitoto Sana ila ninewasamehe Kwa sababu najua wasomi wengi wa Tanzania huenda shuleni kukariri madesa na wakisha graduate hawasomi Tena vitabu.


Wakati wasomi wa kitanzania wanamuona MH. Mbowe ameongoza Kwa miaka 21 Mimi namuona Mbowe kama mwanasiasa mwenye experience ya kuongoza Chama cha siasa Kwa muda WA miaka 21.

Kwa mantiki hiyo Basi huyu ndio anapaswq kuamiwa Zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya miaka 21 .

Nikasema Zaidi kwamba hiyo ni hesabu ndogo Sana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kusolve.


Mbowe = 21 years of experience.


Lissu = 0 year of experience.

And u guys want to replace 20 with zero?🤣🤣🤣🤣

Wanaomtaka Lissu awe mbadala wa Mbowe hawana tofauti na mwenda wazimu.

Kwa sababu ni mtu mwenye wazimu pekee ndio anaweza Kukubali kureplace his 20 shillings with zero.

Kwenye mahojiano Yake na BBC Mbowe kasema kwamba uwezo wa mtu katika uongozi WA Chama cha kiasiasa hauwezi kupimwa Kwa mwaka mmoja tu au miaka miwili unapimwa Kwa muda mrefu.

#Freeman Mbowe mbele Kwa mbele

GgOt2QnaUAA9dOS.jpeg


GTCHLpYXUAEPkcN.jpeg


Hao wana experience ya miaka mingapi?

Au CCM dhidi ya CDM,
miaka mingapi ya kutawala kwa Zero?
 
Niliandika juzi nikisema wanaosema Mbowe aachie uongozi Kwa sababu eti ameongoza Kwa miaka 21 wana hoja ya kitoto Sana ila ninewasamehe Kwa sababu najua wasomi wengi wa Tanzania huenda shuleni kukariri madesa na wakisha graduate hawasomi Tena vitabu.


Wakati wasomi wa kitanzania wanamuona MH. Mbowe ameongoza Kwa miaka 21 Mimi namuona Mbowe kama mwanasiasa mwenye experience ya kuongoza Chama cha siasa Kwa muda WA miaka 21.

Kwa mantiki hiyo Basi huyu ndio anapaswq kuamiwa Zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya miaka 21 .

Nikasema Zaidi kwamba hiyo ni hesabu ndogo Sana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kusolve.


Mbowe = 21 years of experience.


Lissu = 0 year of experience.

And u guys want to replace 20 with zero?🤣🤣🤣🤣

Wanaomtaka Lissu awe mbadala wa Mbowe hawana tofauti na mwenda wazimu.

Kwa sababu ni mtu mwenye wazimu pekee ndio anaweza Kukubali kureplace his 20 shillings with zero.

Kwenye mahojiano Yake na BBC Mbowe kasema kwamba uwezo wa mtu katika uongozi WA Chama cha kiasiasa hauwezi kupimwa Kwa mwaka mmoja tu au miaka miwili unapimwa Kwa muda mrefu.

#Freeman Mbowe mbele Kwa mbele
Hesabu zako na hoja zako ni upuuzi mtupu,

Kachukue posho yako ss
 
Msimuingize mbowe kingi halafu aje kushindwa kujenga hoja mbele ya ccm kwa mambo hayohayo ya kukaa muda mrefu madarakani. Mbowe apishe mtu mwingine naye apate uzoefu wa kuongoza chama. Hoja dhaifu sana hii
 
Kuongoza chama si kazi ya kitoto ,waulize kina Lipumba ,Mbatia Jinsi vyama vyao vilivyowafia mkononi.....Ukiwa na Njaa hauwezi kuendesha chama cha siasa.

"Tulipewa majukumu ya kutafuta pesa ya vikao ,tulishindwa ikabidi mbowe atoe milioni 250 peke yake" - Wenje.
 
Unafanya kazi wapi mheshimiwa? Kazini tunapimwa kwa experience tu au deliverables?

Hii nayo ni hoja ya kitoto, Unapewa kazi ukiwa na experience, halafu unapewa deliverables, ukivuka lengo wewe ndiye, Sasa huyo wa miaka 20+plus mtuambie nini cha kujivunia, (kinatakiwa kiwe aligned na malengo ya Chama cha Siasa ambayo ni kushika dola) Au ninyi malengo yenu ni kupiga mchakamchaka tu na kufanya biashara ya ruzuku?
 
Kuongoza chama si kazi ya kitoto ,waulize kina Lipumba ,Mbatia Jinsi vyama vyao vilivyowafia mkononi.....Ukiwa na Njaa hauwezi kuendesha chama cha siasa.

"Tulipewa majukumu ya kutafuta pesa ya vikao ,tulishindwa ikabidi mbowe atoe milioni 250 peke yake" - Wenje.
100% Fact.

Mashabiki wa Lissu wanafikiri Chadema ni Darusso
 
Thibitisha huo upuuzi usipothibitisha Basi wewe ndo upuuzi wenyewe

Ni sawa ila alishamaliza mbinu zake zote za Kuongoza chama cha siasa hakiobgozwi kwa uzoefu bali kwa mbinu mpya za kushindana na chama tawala, maana hicho sio chama cha ushirika wa mazao! Hata nchi zilizoendelea mwenyekiti akikosa mbinu anapumzishwa au anajiuzulu! Nchi ishazubaa sana inataka radical leader sio leader wa matamko ya post mortem wakishaumizwa watu au wakishaporwa uchaguzi
 
Unafanya kazi wapi mheshimiwa? Kazini tunapimwa kwa experience tu au deliverables?
Hizo " deliverables" zako zinakuwa tested Kwa kutumia standard ipi kama Sio muda ulio hudumu? Ambayo ndio experience?



Anyways, Soma tangazo la Kazi kwenye kampuni ya muhaya 👇👇👇


1.=The applicant must be fluent in English, Kiswahili and Kihaya.

2: With 5 years of experience.
 
Ni sawa ila alishamaliza mbinu zake zote za Kuongoza chama cha siasa hakiobgozwi kwa uzoefu bali kwa mbinu mpya za kushindana na chama tawala, maana hicho sio chama cha ushirika wa mazao! Hata nchi zilizoendelea mwenyekiti akikosa mbinu anapumzishwa au anajiuzulu! Nchi ishazubaa sana inataka radical leader sio leader wa matamko ya post mortem wakishaumizwa watu au wakishaporwa uchaguzi
Very interestingly! Alisha maliza mbinu zake zote?

How?

Umejuaje? Amekwambia hivyo?
 
Back
Top Bottom