Asante Mbowe, umeongea hoja ambayo nilii-post hapa JF siku kadhaa zilizopita. Wewe umeiweka vizuri zaidi kuliko mimi

Asante Mbowe, umeongea hoja ambayo nilii-post hapa JF siku kadhaa zilizopita. Wewe umeiweka vizuri zaidi kuliko mimi

Niliandika juzi nikisema wanaosema Mbowe aachie uongozi Kwa sababu eti ameongoza Kwa miaka 21 wana hoja ya kitoto Sana ila ninewasamehe Kwa sababu najua wasomi wengi wa Tanzania huenda shuleni kukariri madesa na wakisha graduate hawasomi Tena vitabu.

Wakati wasomi wa kitanzania wanamuona MH. Mbowe ameongoza Kwa miaka 21 Mimi namuona Mbowe kama mwanasiasa mwenye experience ya kuongoza Chama cha siasa Kwa muda WA miaka 21.

Kwa mantiki hiyo Basi huyu ndio anapaswq kuamiwa Zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya miaka 21 .

Nikasema Zaidi kwamba hiyo ni hesabu ndogo Sana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kusolve.

Mbowe = 21 years of experience.

Lissu = 0 year of experience.

And u guys want to replace 20 with zero?🤣🤣🤣🤣

Wanaomtaka Lissu awe mbadala wa Mbowe hawana tofauti na mwenda wazimu.

Kwa sababu ni mtu mwenye wazimu pekee ndio anaweza Kukubali kureplace his 20 shillings with zero.

Kwenye mahojiano Yake na BBC Mbowe kasema kwamba uwezo wa mtu katika uongozi WA Chama cha kiasiasa hauwezi kupimwa Kwa mwaka mmoja tu au miaka miwili unapimwa Kwa muda mrefu.

#Freeman Mbowe mbele Kwa mbele
Hili fungu lote la maneno hapa ndiyo ulikusudia kuandika hiki nilichosoma hapa? Si mlikuwa hapa mnapinga JPM asiondoe ukomo wa miaka 10?

Au hayo hayamhusu Mbowe? Kila siku tunakejeli na kulaumu vitendo vya Museven na Kagame kwa kukalia kiti muda mrefu, leo nakuta umebariki.

Hebu tuwe serious na vipaumbele, vinginevyo tutaonekana hayawani.

Ova
 
Hili fungu lote la maneno hapa ndiyo ulikusudia kuandika hiki nilichosoma hapa? Si mlikuwa hapa mnapinga JPM asiondoe ukomo wa miaka 10?

Au hayo hayamhusu Mbowe? Kila siku tunakejeli na kulaumu vitendo vya Museven na Kagame kwa kukalia kiti muda mrefu, leo nakuta umebariki.

Hebu tuwe serious na vipaumbele, vinginevyo tutaonekana hayawani.

Ova
Huyo J alikuwa kichaa huwezi ongozwa na kichaa.
 
Kwani mama yetu na jiwe walipochaguliwa uenyekiti wa ccm mnaloliita chama kubwa walikua na uzoefu gani?? Hoja ya uzoefu ni 🤮🤮🤮🤮
 
Museven ana experience ya Miaka mingapi, na kaifanyia nini Uganda ?
Kagame ana experience ya Miaka mingapi na Kiafanyia nini Rwanda ?
Kama CHADEMA wangekuwa wanaangalia experience wasingemleta Lisu kugombea nafasi ya Uraisi kwa sababu hakuwa na experience ya huo uraisi wenyewe.
Halafu bado CHADEMA wanasema waliibiwa kura 2020,kumbe walileta watu wasio na experience
 
Niliandika juzi nikisema wanaosema Mbowe aachie uongozi Kwa sababu eti ameongoza Kwa miaka 21 wana hoja ya kitoto Sana ila ninewasamehe Kwa sababu najua wasomi wengi wa Tanzania huenda shuleni kukariri madesa na wakisha graduate hawasomi Tena vitabu.

Wakati wasomi wa kitanzania wanamuona MH. Mbowe ameongoza Kwa miaka 21 Mimi namuona Mbowe kama mwanasiasa mwenye experience ya kuongoza Chama cha siasa Kwa muda WA miaka 21.

Kwa mantiki hiyo Basi huyu ndio anapaswq kuamiwa Zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya miaka 21 .

Nikasema Zaidi kwamba hiyo ni hesabu ndogo Sana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kusolve.

Mbowe = 21 years of experience.

Lissu = 0 year of experience.

And u guys want to replace 20 with zero?🤣🤣🤣🤣

Wanaomtaka Lissu awe mbadala wa Mbowe hawana tofauti na mwenda wazimu.

Kwa sababu ni mtu mwenye wazimu pekee ndio anaweza Kukubali kureplace his 20 shillings with zero.

Kwenye mahojiano Yake na BBC Mbowe kasema kwamba uwezo wa mtu katika uongozi WA Chama cha kiasiasa hauwezi kupimwa Kwa mwaka mmoja tu au miaka miwili unapimwa Kwa muda mrefu.

#Freeman Mbowe mbele Kwa mbele
Mbowe Hakuzaliwa Na Uongozi Waliomtangulia Wangepima Kwa Kipimo Hicho Leo Hasingefika Hiyo Miaka Anayojisifu Nayo Kama Ana Mawazo Hayo Basi Hana Tofauti Na Madikteta Wenzake Wote Waliopo Na Walio Pita Mi Namuona Mbowe Kwenye La Museveni.
 
Niliandika juzi nikisema wanaosema Mbowe aachie uongozi Kwa sababu eti ameongoza Kwa miaka 21 wana hoja ya kitoto Sana ila ninewasamehe Kwa sababu najua wasomi wengi wa Tanzania huenda shuleni kukariri madesa na wakisha graduate hawasomi Tena vitabu.

Wakati wasomi wa kitanzania wanamuona MH. Mbowe ameongoza Kwa miaka 21 Mimi namuona Mbowe kama mwanasiasa mwenye experience ya kuongoza Chama cha siasa Kwa muda WA miaka 21.

Kwa mantiki hiyo Basi huyu ndio anapaswq kuamiwa Zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya miaka 21 .

Nikasema Zaidi kwamba hiyo ni hesabu ndogo Sana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kusolve.

Mbowe = 21 years of experience.

Lissu = 0 year of experience.

And u guys want to replace 20 with zero?🤣🤣🤣🤣

Wanaomtaka Lissu awe mbadala wa Mbowe hawana tofauti na mwenda wazimu.

Kwa sababu ni mtu mwenye wazimu pekee ndio anaweza Kukubali kureplace his 20 shillings with zero.

Kwenye mahojiano Yake na BBC Mbowe kasema kwamba uwezo wa mtu katika uongozi WA Chama cha kiasiasa hauwezi kupimwa Kwa mwaka mmoja tu au miaka miwili unapimwa Kwa muda mrefu.

#Freeman Mbowe mbele Kwa mbele
Kwa hoja yako hii unakubaliana na sisi waCCM tunaoamini vyama vya upinzani havipaswi kuongoza nchi yetu kwasababu havina uzoefu au sio.

Kwa uelewa wako unadhan Mbowe alizaliwa tu akawa mwenyekiti wa chama Taifa au aliaminiwa na ndio akawa hapa alipo leo.

Umeleta hoja ya hovyo sana ila umeiandika kwa kujichekesha ili uonekane umeandika jambo la maana.Mbowe na wote mnaomuunga mkono ni maadui wa demokrasia.

Sijawahi kumuona Mbowe kama mpinzani tangu nimeanza kuzijua siasa za Taifa hili.
 
Back
Top Bottom