Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kuna hesabu za kalkuleta na za vidole😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili fungu lote la maneno hapa ndiyo ulikusudia kuandika hiki nilichosoma hapa? Si mlikuwa hapa mnapinga JPM asiondoe ukomo wa miaka 10?Niliandika juzi nikisema wanaosema Mbowe aachie uongozi Kwa sababu eti ameongoza Kwa miaka 21 wana hoja ya kitoto Sana ila ninewasamehe Kwa sababu najua wasomi wengi wa Tanzania huenda shuleni kukariri madesa na wakisha graduate hawasomi Tena vitabu.
Wakati wasomi wa kitanzania wanamuona MH. Mbowe ameongoza Kwa miaka 21 Mimi namuona Mbowe kama mwanasiasa mwenye experience ya kuongoza Chama cha siasa Kwa muda WA miaka 21.
Kwa mantiki hiyo Basi huyu ndio anapaswq kuamiwa Zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya miaka 21 .
Nikasema Zaidi kwamba hiyo ni hesabu ndogo Sana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kusolve.
Mbowe = 21 years of experience.
Lissu = 0 year of experience.
And u guys want to replace 20 with zero?🤣🤣🤣🤣
Wanaomtaka Lissu awe mbadala wa Mbowe hawana tofauti na mwenda wazimu.
Kwa sababu ni mtu mwenye wazimu pekee ndio anaweza Kukubali kureplace his 20 shillings with zero.
Kwenye mahojiano Yake na BBC Mbowe kasema kwamba uwezo wa mtu katika uongozi WA Chama cha kiasiasa hauwezi kupimwa Kwa mwaka mmoja tu au miaka miwili unapimwa Kwa muda mrefu.
#Freeman Mbowe mbele Kwa mbele
Huyo J alikuwa kichaa huwezi ongozwa na kichaa.Hili fungu lote la maneno hapa ndiyo ulikusudia kuandika hiki nilichosoma hapa? Si mlikuwa hapa mnapinga JPM asiondoe ukomo wa miaka 10?
Au hayo hayamhusu Mbowe? Kila siku tunakejeli na kulaumu vitendo vya Museven na Kagame kwa kukalia kiti muda mrefu, leo nakuta umebariki.
Hebu tuwe serious na vipaumbele, vinginevyo tutaonekana hayawani.
Ova
Nafikiria upande wa pili pia watauliza, wakati akianza uenyekiti kwa mara ya kwanza ilikuwaje? 😄Mbowe = 21 years of experience
Mbowe Hakuzaliwa Na Uongozi Waliomtangulia Wangepima Kwa Kipimo Hicho Leo Hasingefika Hiyo Miaka Anayojisifu Nayo Kama Ana Mawazo Hayo Basi Hana Tofauti Na Madikteta Wenzake Wote Waliopo Na Walio Pita Mi Namuona Mbowe Kwenye La Museveni.Niliandika juzi nikisema wanaosema Mbowe aachie uongozi Kwa sababu eti ameongoza Kwa miaka 21 wana hoja ya kitoto Sana ila ninewasamehe Kwa sababu najua wasomi wengi wa Tanzania huenda shuleni kukariri madesa na wakisha graduate hawasomi Tena vitabu.
Wakati wasomi wa kitanzania wanamuona MH. Mbowe ameongoza Kwa miaka 21 Mimi namuona Mbowe kama mwanasiasa mwenye experience ya kuongoza Chama cha siasa Kwa muda WA miaka 21.
Kwa mantiki hiyo Basi huyu ndio anapaswq kuamiwa Zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya miaka 21 .
Nikasema Zaidi kwamba hiyo ni hesabu ndogo Sana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kusolve.
Mbowe = 21 years of experience.
Lissu = 0 year of experience.
And u guys want to replace 20 with zero?🤣🤣🤣🤣
Wanaomtaka Lissu awe mbadala wa Mbowe hawana tofauti na mwenda wazimu.
Kwa sababu ni mtu mwenye wazimu pekee ndio anaweza Kukubali kureplace his 20 shillings with zero.
Kwenye mahojiano Yake na BBC Mbowe kasema kwamba uwezo wa mtu katika uongozi WA Chama cha kiasiasa hauwezi kupimwa Kwa mwaka mmoja tu au miaka miwili unapimwa Kwa muda mrefu.
#Freeman Mbowe mbele Kwa mbele
Kwa hoja yako hii unakubaliana na sisi waCCM tunaoamini vyama vya upinzani havipaswi kuongoza nchi yetu kwasababu havina uzoefu au sio.Niliandika juzi nikisema wanaosema Mbowe aachie uongozi Kwa sababu eti ameongoza Kwa miaka 21 wana hoja ya kitoto Sana ila ninewasamehe Kwa sababu najua wasomi wengi wa Tanzania huenda shuleni kukariri madesa na wakisha graduate hawasomi Tena vitabu.
Wakati wasomi wa kitanzania wanamuona MH. Mbowe ameongoza Kwa miaka 21 Mimi namuona Mbowe kama mwanasiasa mwenye experience ya kuongoza Chama cha siasa Kwa muda WA miaka 21.
Kwa mantiki hiyo Basi huyu ndio anapaswq kuamiwa Zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya miaka 21 .
Nikasema Zaidi kwamba hiyo ni hesabu ndogo Sana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kusolve.
Mbowe = 21 years of experience.
Lissu = 0 year of experience.
And u guys want to replace 20 with zero?🤣🤣🤣🤣
Wanaomtaka Lissu awe mbadala wa Mbowe hawana tofauti na mwenda wazimu.
Kwa sababu ni mtu mwenye wazimu pekee ndio anaweza Kukubali kureplace his 20 shillings with zero.
Kwenye mahojiano Yake na BBC Mbowe kasema kwamba uwezo wa mtu katika uongozi WA Chama cha kiasiasa hauwezi kupimwa Kwa mwaka mmoja tu au miaka miwili unapimwa Kwa muda mrefu.
#Freeman Mbowe mbele Kwa mbele