Wewe Kama umeamua kumuita Lissu Mwanamke kwanini unazungukazunguka?!
Be bold, if you really believe what you say be open and confident enough to say it out openly, acha kujing’atang’ata. Coward.
Kwanini nimuite mwanamke wakati yeye ni mwanaume?
FYI kila mwanadamu ana masculine plus feminine parts. Infact those are two sides of every human being. Kinacho tokeaga ni kwamba some human beings are so much in touch with the other sides.
But in some situations huwezi kuelewa kama a guy is demonstrating his feminine traits.
Wanaume huwa tuna reason na Kwa sababu hiyo Tuna uwezo mkubwa Sana Kwa assess danger and move accordingly.
Wanawake wanaongozwa Kwa hisia na Kwa sababu hiyo they don't appreciate danger pale wanapokua wanaongozwa na hisia.
Kwa mtu asie jua kutofautisha anaweza kudhani ni ujasiri lakini kumbe ni mtu ana demonstrate a feminine trait.
Kwa mfano mambo ambayo amekuwa akiyafanya na kuyaongea Bwana Lissu, mwanaume ambae yupo deeply connected with his masculinity hawezi kufanya Kwa sababu we know how to assess and appreciate danger.
1. Kumtukana magufuli Huku ukiwa ndani ya mipaka ya nchi na hauna ulinzi wala Nini ile ni feminine trait.
2. Kutoa shutuma dhidi ya kampuni kubwa kama Tigo was a very dangerous move. ( Big Companies knows " the mafia way" and they have shooters in their payroll.
3. Kutoa hadharani Siri za Chama etc.
4. He is not loyal
5..He loves some nonsensical competition
Kwenye night clubs Malaya wa clubs wanakuwaga " majasiri" Sana.. brother man kama wewe ukimzingua kidogo tu hakawii kukupa tusi la mama au kukuita Juma Lokole.
Ule Sio ujasiri. Ni " feminine Ego" wanakutukana Kwa sababu wanajua Kuna vibaunsa nyuma Yao ukijibu mapigo vitakuja kumsaidia na kukupora vitu vyako.
Huyo ndio Lissu Sasa anafanya vituko vyake kwa sababu anajua Kuna watu kama wewe mpo nyuma Yake mtamshangilia
Nilikua nikijiuliza huyu jamaa anaepigia wanaume wenzie kelele kila siku humu ndani kwa kuwalipia watoto wao shule za gharama kwa jasho lao, Ana shida gani haswa?!
Now I understand, kumbe wale wale ass kissers, immoral creatures, unashamed piece of blood clot.
U know what? Am more connected with my masculine energy so I will never respond to this the way you want me to do. Sisi wanaume huwa hatutukani matusi
Nawalaumu wanaowalipa bila kuwapa proper hoja na training ya ku defend hizo hoja bila kupakana matope wala kubishana vitu vya mantiki na watu waliojaza uji wa sembe kichwani.
Huu ujinga wa kushabikia watu bila kuangalia ama kuzingatia baadae ya ujumla ya nchi yetu na vizazi vyetu umetufikisha pabaya Kama nchi, siku yaja!