Asante Rais Samia kwa Kumtumbua Maharage wa TANESCO. Naomba apelekwe Mahakamani

Asante Rais Samia kwa Kumtumbua Maharage wa TANESCO. Naomba apelekwe Mahakamani

Kwa hiyo mkurugenzi wa Habari Maelezo ndio atakuwa Salim Chikeke au?

Msigwa angekuwa Katibu Mkuu wa Habari pale Kwa Abbas harafu yule Abbas ndio aletwe huku michezo.
umepatia sana mkuu,
huyo ndie.
ndio tunakamilisha vetting hapa japo kuna mabishano kidogo kuhusu sifa stahiki
 
Kaletwa ttcl subirini mboreshewe ttcl

Sasa [emoji1]

Ova
 
Unamtoa Eng. Peter Ulanga TTCL unampeleka maharage???!!! What a joke??
 
Msigwa maneno mengi Acha azungumzie michezo sasa

Ova
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.

Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi

View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.

Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.

Pia soma;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Kamtumbua vipi wakati kampa cheo kwingine...
 
Watu mnachuki tu...hakuna mwenye uthibitisho wa tuhuma...hata huyu mpya baada ya miezi kadhaa mtamchukia tu...
 
Actually tatizo la umeme litaendelea kuwapo, hadi mwishoni mwa Febr.2024 pale ambapo tunategemea mzigo wa Jenereta tulioingiza nchini uishe. Store bado mzigo ni wa kutosha
Mzigo ukikaribia isha tunaagizia mwingine [emoji1] ndivyo wanavyosema
No kupoa mgawo upo tu

Ova
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.

Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi

View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.

Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.

Pia soma;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Kamtumbua na kumpa ukurugenzi kwengine [emoji1]

Ova
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.

Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi

View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.

Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.

Pia soma;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Ingekuwa China alipaswa kunyongwa mpaka kufa kabisa mshenzi mkubwa kaharibu shirika sana
 
Maharagwe nabmak.amba wapelekwe mahakaman
Kesi ya kuchezea na kufisadi nishati ya umeme wa nchi: uhujumu uchumi
 
Screenshot_20230923_085649.jpg

TTCL ndo sehemu yake...mnaoponda uteuzi endeleeni.
 
Mambo yameharibika ndio akili zinawarudia. Tulishasahau mgao wa umeme alafu mnaturudisha huko kihuni tu. Nimefurahi mama kupeleka Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco.
Yaani samia kashtuka baada ya mambo kuwa yamehatibika kabisa ,suala la umeme limekuwa janga la kitaifa watanzania waliongea mwanzoni kuwa hao viongozi hawafai lakini samia akaziba masikio kama kawaida yake sasa yako wapi maji yamemfika shingoni kaishia kupanga na kupangua yani Tanzania itakuja kujuta kuwa na Rais wa hovyo namna hiyo
 
Watawala wa taifa hili sijui wanatuchukuliaje sisi wananchi wa taifa......haya ni matusi kwa umma wa waTanzania haya ni matusi kwa wapiga kura....haya ni matusi kwa walipa kodi wa taifa hili.......

Sasa mtu ame under perform sehemu fulani na sababu ya yeye kumtoa ni huko.....lakini unampeleka sehemu nyingine ili iweje.....

Ina maana taifa Zima halina watu wenye weledi na akili kufanya majukumu hayo isipokuwa yeye pekee.....kwanini asipumzishwe kuliko kuendelea kulitia hasara taifa hili......ndio naendelea kuamini watawala hawana uchungu wala huruma na taifa hili........ disgusting.......
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.

Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi.

Pia kutumbua angeanza na Mhandisi Felchesmi Mramba sababu wanakula ni Msiri wa Maharage. Wanakula wote. Vizuri angevunja mnyororo mzima. Makamba, Maharage wametoka. Mramba je?

View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.

Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.

Pia soma;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Kwa hili la TTCL ni bora KUTENGUA na kumpeleka mwingine !!! Ni bora angempeleka Engineer Ulanga hapo ama kuweka mtu mwingine !!
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.

Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi.

Pia kutumbua angeanza na Mhandisi Felchesmi Mramba sababu wanakula ni Msiri wa Maharage. Wanakula wote. Vizuri angevunja mnyororo mzima. Makamba, Maharage wametoka. Mramba je?

View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.

Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.

Pia soma;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Kwani yeye anaye teua na kutengua anafaa kushika wadhifa alio nao!!?
 
Back
Top Bottom