umepatia sana mkuu,Kwa hiyo mkurugenzi wa Habari Maelezo ndio atakuwa Salim Chikeke au?
Msigwa angekuwa Katibu Mkuu wa Habari pale Kwa Abbas harafu yule Abbas ndio aletwe huku michezo.
Kapewa mhandisi sasa [emoji1]Ngoja tuone umeme itakuwaje
Kamtumbua vipi wakati kampa cheo kwingine...Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.
Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.
Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi
View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.
Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.
Pia soma;
Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika
Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Mzigo ukikaribia isha tunaagizia mwingine [emoji1] ndivyo wanavyosemaActually tatizo la umeme litaendelea kuwapo, hadi mwishoni mwa Febr.2024 pale ambapo tunategemea mzigo wa Jenereta tulioingiza nchini uishe. Store bado mzigo ni wa kutosha
Acha atafutiwe kulaUnamtoa Eng. Peter Ulanga TTCL unampeleka maharage???!!! What a joke??
Kamtumbua na kumpa ukurugenzi kwengine [emoji1]Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.
Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.
Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi
View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.
Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.
Pia soma;
Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika
Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Ingekuwa China alipaswa kunyongwa mpaka kufa kabisa mshenzi mkubwa kaharibu shirika sanaMaharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.
Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.
Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi
View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.
Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.
Pia soma;
Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika
Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Kajisagia mwenyewe kwa kushindwa kufanya kazi vizuri alikalia bla bla tuMmemsagia kunguni hadi amepelekwa kuuza line za TTCL
Yaani samia kashtuka baada ya mambo kuwa yamehatibika kabisa ,suala la umeme limekuwa janga la kitaifa watanzania waliongea mwanzoni kuwa hao viongozi hawafai lakini samia akaziba masikio kama kawaida yake sasa yako wapi maji yamemfika shingoni kaishia kupanga na kupangua yani Tanzania itakuja kujuta kuwa na Rais wa hovyo namna hiyoMambo yameharibika ndio akili zinawarudia. Tulishasahau mgao wa umeme alafu mnaturudisha huko kihuni tu. Nimefurahi mama kupeleka Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco.
Kwa hili la TTCL ni bora KUTENGUA na kumpeleka mwingine !!! Ni bora angempeleka Engineer Ulanga hapo ama kuweka mtu mwingine !!Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.
Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.
Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi.
Pia kutumbua angeanza na Mhandisi Felchesmi Mramba sababu wanakula ni Msiri wa Maharage. Wanakula wote. Vizuri angevunja mnyororo mzima. Makamba, Maharage wametoka. Mramba je?
View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.
Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.
Pia soma;
Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika
Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Aisee umenikumbusha mbali...Blandina😴Usikubali kupumbazwa mkuu. Maharage ni kama Blandina Nyoni tu. Hao wapo kazini muda wote, kazi zao si kufanya chochote bali kuandi reports na kushauri wakuu wao.
🙂 🙂 🙂 ila ni bonge la blunder. TTCL haihitaji kuendeshwa na Mwanasiasa, atakayoenda kuyafanya Maharage yatakua worse kuliko ya Waziri KindambaAcha atafutiwe kula
Ova
Kwani yeye anaye teua na kutengua anafaa kushika wadhifa alio nao!!?Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.
Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.
Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe hongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi.
Pia kutumbua angeanza na Mhandisi Felchesmi Mramba sababu wanakula ni Msiri wa Maharage. Wanakula wote. Vizuri angevunja mnyororo mzima. Makamba, Maharage wametoka. Mramba je?
View attachment 2759156
Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.
Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.
Pia soma;
Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika
Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu