Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Hii umetolea wapi? au kuna kitabu gani kimeandika?Maana ya shule ni Uniform
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii umetolea wapi? au kuna kitabu gani kimeandika?Maana ya shule ni Uniform
Katika uislamu, mwanamme akijifinika magoti na kitovu, tayari ameshavyaa nguo kisawa sawa, wanafunzi wa shule za msingi, wazazi wawashonee watoto wa kiume, suruali inayofinika magoti, hata kama ni fupi, na shati linalofinika juu.Bado shule za msingi na vyuo vya kati hawajaruhusiwa kuvaa mkuu. Hawa ndio nawapigania waruhusiwe kuvaa haya mavazi ili kuleta usawa na kuwaondolea unyonge na kujihisi kutengwa.
Walau hapo itakuwa sawa mkuu. Unajua hawa watoto wa shule za msingi wanapoona wenzao wamepewa haki na wao kunyimwa hujisikia wanyonge sana kisaikolojia na hili hupelekea wao kufanya vibaya kimasomo.Katika uislamu, mwanamme akijifinika magoti na kitovu, tayari ameshavyaa nguo kisawa sawa, wanafunzi wa shule za msingi, wazazi wawashonee watoto wa kiume, suruali inayofinika magoti, hata kama ni fupi, na shati linalofinika juu.
anzisha shule yako uruhusu kila denti anende na guo lake - ila kwa Tanzania Shule zetu za umma sahau.Hii umetolea wapi? au kuna kitabu gani kimeandika?
Sule gani hii mkuu? Haya ndiyo mambo ambayo hayapendezi kabisa kufanywa kwa watoto wetu wadogo wasiokuwa na hatia na wasioweza kujitetea. Inauma sana.ni kweli, na hiyo shule ichunguzwe, watoto wa primary wa kike na wa kiume analelewa na Matron si Patron sababu anakuwa bado ni wadogo.
Sasa hilo baba la kiume lilikuwa linawaleaje watoto under 13, na inawezekana hata mke halikuwa naye.
mkuu mbona nmeuliza hivi unajibu vile...hujaelewa swali langu au?anzisha shule yako uruhusu kila denti anende na guo lake - ila kwa Tanzania Shule zetu za umma sahau.
Mkuu hapa hatuongelei usawa wa kiimani bali tunaongelea usawa wa kielimu. Ndio maana hata baadhi wameruhusiwa kuvaa kofia, hijabu na kofia. Hoja nzima iko based on equality, not spirituality. Nadhani utakuwa umenielewa mkuu.bado sijaona hoja hapo, yaani mwanafunzi wa primary ama secondary aende na Kanzu lake shuleni ? kisa tu usawa wa ki-imani ...hili jambo unaliona lina tija kweli.?
Kuna tafiti yoyote imewahi fanyika ikaonesha watoto wanashindwa kufanya vizuri kwenye masomo kwa sababu hawavai kanzu???Italeta usawa wa kiraia na kuondoa dhana na mawazo ya kutengwa, jambo ambalo huwaathiri watoto kisaikolojia na kushindwa kufanya vizuri kwenye masomo.
Sahihi...lakini udini usizidi sana kwenye suala LA elimuHata wakivaa suruali ndefu na baraghashia (vikofia) itakuwa sawa tu hakuna shinda mkuu.
Mkuu, hata kama utafiti haujafanyika kuna viashiria vya wazi kwenye matokeo ya mitihani yanayoonyesha wasichana kuwa na ufaulu mzuri ukilinganisha na wavulana.Kuna tafiti yoyote imewahi fanyika ikaonesha watoto wanashindwa kufanya vizuri kwenye masomo kwa sababu hawavai kanzu???
Tukirudi kwenye jamii haswa upande wa dini ya kiisalamu, nimefanikiwa kuishi nao kwa wingi kiasi chake na hili vazi mara nyingi watoto wamekuwa wakilivaa wanapoenda madrasa pekeake. Wakirejea wanavaa mavazi ya kawaida.
Sasa huko nyumbani wanakovaa mavazi ya kawaida bila kushurtishwa na mtu hakuna madhara sindio? Huko hawawezi kuwa na dhana ya kutengwa sindio??
Sasa kama nyumbani hawavai kanzu na hawahisi kutengwa na shule iwe hivyohivyo.
Unahisi ni kwanini,Mkuu, hata kama utafiti haujafanyika kuna viashiria vya wazi kwenye matokeo ya mitihani yanayoonyesha wasichana kuwa na ufaulu mzuri ukilinganisha na wavulana.
Shuleni na vyuoni wanafunzi wanaruhusiwa kuvaa kofia, hijabu na vilemba (kwa masista wa kanisa katoliki). Kwanini vijana wa kiume wa kiislamu wao watengwe?
Nyumnani hakuhitaji unifomu; kila mtu anavaa ajisikiavyo pasipo kushurutishwa na mtu yeyote. Shuleni kuna shuruti pale unapokuwa hujavaa uniform iliyoruhusiwa kwa mujibu wa sera ya elimu. Ndio maana napigania baragashia, kanzu na lubega zivaliwe shuleni bila kuwabagua wanafunzi kwa namna yoyote ile.
Mkuu wangu hii hoja msingi wake ni USAWA sio IMANI. Ndio maana baadhi yao wanaruhusiwa kuvaa hijabu, kofia na vilemba na haijawahi kuleta shida yoyote katika imani. Ninachojaribu kusema ni kuhakikisha kuna USAWA kwa watu wote bila wengine kujihisi wanyonge au kupendelewa. Nadhani utakuwa umenielewa sasa.Mleta mada nina kuunga mkononkwa kutoa pongezi kwa mh.Rais kuruhusu kofia kwa wanafunzi wa imani ya Ras Tafar.
Lakini sikubaliani na wewe kwa ombi lako la Kanzu na kofta kwa wanafunzi wa kiislam wakiume kwasababu sio WAJIBU(lazima) kuvaa kanzu na kofia.
Inamaana anaweza asivae kanzu na kofia na bado hata ondokewa na UISLAM WAKE.