Asante Rais Samia kwa kuruhusu usawa kwenye elimu

Asante Rais Samia kwa kuruhusu usawa kwenye elimu

Habari wakuu! Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Leo nimeona waraka mzuri sana kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (MoEVT) unaoruhusu wanafunzi wenye imani ya Rastafali kuruhusiwa kuvaa kofia kufunika nywele zao kwani hiki kimekuwa kilio cha muda mrefu tangu serikali zilizotangulia. Hili limewezekana tu katika awamu hii ya sita inayoongozwa na Jemedali, Chifu Hangaya, Rais Samia Suluhu Hassan. Nakupongeza sana kwa kujali imani za watu unaowaongoza. Mama anaupiga mwingi jamani! Wenye roho mbaya mkajinyonge au msage sumu mnywe, tutakuatana mbinguni.​

Lakini pamoja na pongezi hizi, nakuomba mama yangu Rais Samia uwaruhusu vijana wa kiislamu nao waweze kuvaa kanzu na baragashia ili kuondoa dhana ya upendeleo. Sio kwamba waislamu hatuna shukrani, la hasha! Tunakupongeza sana kwa kuruhusu mabinti wa kiislamu kuvaa hijabu wawapo mashuleni na vyuoni lakini tunasikitika watoto wa kiume hawaruhusiwi kuvaa kanzu na baragashia kwanini? Tatizo liko wapi?

Najua huenda wasaidizi wako wa chini ndio wanakushika miguu lakini nafahamu una uwezo wa kutoa amri leo na kesho Waziri wa Elimu akaandika waraka wa kuruhusu jambo hili kutekelezwa. Tunajua hushindwi kitu mama yetu kwani huwa unahakikisha watu wa imani zote wanatimiziwa matakwa yao bila kuathiri maslahi ya watanzania wengine. Kwa kuanzia nawaomba BAKWATA wapigie chapuo jambo ili liweze kufanikiwa haraka kuliko wanavyokaa kimya kana kwamba hawaoni tatizo.

Nina hakika baada ya waislamu kutimiziwa matakwa yao pia utatazama makundi mengine ya kijamii kama vile wamasai ili nao waruhusiwe kuvaa lubega na katambuga shuleni na vyuoni. Pamoja na kuwa utakuwa umewatendea haki wapiga kura wakao bila ubaguzi wowote, nina imani uvaaji wa vazi hili la kitamaduni utachangia kwa kiasi kikubwa kutangaza utalii wa kiutamadani (cultural tourism) kwani sekta ya utalii huliingizia taifa hili fedha nyingi za kigeni ambazo hutumika kujenga miundombinu ya umma kama vile SGR, Bwawa la Umeme la Nyerere, barabara na miradi mingi yenye manufaa kwa wananchi wote.

Nawasilisha.​
Hilo la watoto wa kirastafarians kupewa haki yao huko mashuleni ni jambo zuri na chanya sana katika kujali usawa katika kuabudu...lakini mazingira baada ya shule na katika soko la ajira hayaweki usawa Kwa Imani hii ya rastafari...kiasi kwamba ukiwa Rasta lazma ujiajiri...halafu mmea wetu mtakatifu Kila mahali unadhihakiwa na kuhusishwa na machizi, wahuni n.k.
Mi nafikiri serikali iendeleze juhudi zake za kuendelea kusupport Imani ya Rastafarian...Sisi ni watu wa amani na tunaamini katika ukombozi wa mtu mweusi...
 
Lakini wakiruhusiwa kuvaa shuleni na vyuoni italeta USAWA na kuwafanya wanafunzi kujisikia vizuri hata kufaulu kwenye masomo yao, na hili ni jambo zuri halina madhara yoyote.
Hakuna kufaulu hapo itakuwa ni mashindano ya majuba tu! Mnasemea kanzu lakini hamsemei kupata faradhi ya adhuhuri , alasiri na Ijumaa !!!??? Wawapo shuleni!
 
Mtoa mada ulichosema ni sahihi kuweka usawa kila mtu avae anavyo jisikia.

Ila unajua maana ya sare?
Je unajua kuna haki ambazo atazipata mtu mwenye sare?

Unajua sehem yeyote panapoitajika kuvaliwa sare lazima wawe chini ya sheria walizo jiwekea?

Tuone kwenye mashule

Kwenye shule wameweka sare kulingana na aina ya mavazi waliyochagua ili watambulike na wapewe hakizao wakiwa ndani ya hizo sare.

Kwenye hoja yako kila mwanafunzi avae kama anavyo hitaji kusudi asijione katengwa huko shuleni.

Jf primary school

Waislam wavae kanzu wengine baibui.
Wamasai wavae rubega na tairi za gari na sime kiunoni.
Msukuma avae shanga na gambuti.
Rastafari nae apige mzura na rasta.
Na wengineo wavae kama watakavyo kusudi wasionekane kutengwa

Unahisi hii shule itakua na mwonekano gani?
Je wanafunzi watapataje hakizao wakiwa ndani ya sare?
Watatambulikaje kama ni wanafunzi wa shule flani?

Tutazame kwenye majeshi

Polisi kila mmoja avae kama anavyo ona ili asijione katengwa

Jwtz hivyohivyo

Je watatimizaje majukumu yao? Wakati kila mmoja yupo kwenye vazi lake?

Watapataje haki zao.
Watatimizaje majukumu yao?

Kwa uelewa wangu.

Mwanafunzi kuvaa anavyotaka kusudi asijione katengwa hilo haliwezekani kwasababu mwanafunzi awapo shuleni anatambulika kwa mavazi maalumu na hii ni sheria, mashule hua wanajichagulia sare yeyote lakini ziwe zinafanana hata zikitofautiana iwe ni kwasababu maalum kama kutofautisha madarasa au wenye mahitaji maalum.

Hayo mambo mengine hua wanaweka kwasababu ya sheria za lazima na za haki ya kidini, mfano kama unashule yako huwezi mlazimisha sista kuvua kilemba pia kwa msichana wa kiislam huwezi mlazimisha avue hijabu labda usiwaruhusu kusoma ila kama utakubali itabidi ukubali.

Pia kuna baadhi shule zina sheria zake kuhusu sare kama wasichana wanavaa hijabu jeupe basi ni wasichana wote wawe wakristo au dini yoyote ila tu zifanane.

Na hapo hawajaingilia maswala ya dili bali ni sare kama ukiona mwanao hawezi kuvaa unampeleka unapohisi panaendana na sheria za sare unazotaka ili asijihisi kutengwa.

Kama ikitokea kukawa na uvaaji wa kanzu na barakashia basi itachaguliwa kama sare na kama itatokea rubega basi itachaguliwa kama sare na sio kila mmoja avae yake.
Kama itatokea uvaaji wa gaubuti basi itakua kiatu cha shule hicho.

Na kama ni usawa basi hiyo imani itambulike na shule ,ipewe haki za kimsingi ila mwenye imani akifika shule afike na sare walizojichagulia.

Pia shule nyingi huchagua sare ambazo hazitaleta matabaka ya kidini ndio maana watavaa zinazofanana na ambazo hazipo upande wowote.
 
ni kweli, na hiyo shule ichunguzwe, watoto wa primary wa kike na wa kiume analelewa na Matron si Patron sababu anakuwa bado ni wadogo.

Sasa hilo baba la kiume lilikuwa linawaleaje watoto under 13, na inawezekana hata mke halikuwa naye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari wakuu! Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Leo nimeona waraka mzuri sana kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (MoEVT) unaoruhusu wanafunzi wenye imani ya Rastafali kuruhusiwa kuvaa kofia kufunika nywele zao kwani hiki kimekuwa kilio cha muda mrefu tangu serikali zilizotangulia. Hili limewezekana tu katika awamu hii ya sita inayoongozwa na Jemedali, Chifu Hangaya, Rais Samia Suluhu Hassan. Nakupongeza sana kwa kujali imani za watu unaowaongoza. Mama anaupiga mwingi jamani! Wenye roho mbaya mkajinyonge au msage sumu mnywe, tutakuatana mbinguni.​

Lakini pamoja na pongezi hizi, nakuomba mama yangu Rais Samia uwaruhusu vijana wa kiislamu nao waweze kuvaa kanzu na baragashia ili kuondoa dhana ya upendeleo. Sio kwamba waislamu hatuna shukrani, la hasha! Tunakupongeza sana kwa kuruhusu mabinti wa kiislamu kuvaa hijabu wawapo mashuleni na vyuoni lakini tunasikitika watoto wa kiume hawaruhusiwi kuvaa kanzu na baragashia kwanini? Tatizo liko wapi?

Najua huenda wasaidizi wako wa chini ndio wanakushika miguu lakini nafahamu una uwezo wa kutoa amri leo na kesho Waziri wa Elimu akaandika waraka wa kuruhusu jambo hili kutekelezwa. Tunajua hushindwi kitu mama yetu kwani huwa unahakikisha watu wa imani zote wanatimiziwa matakwa yao bila kuathiri maslahi ya watanzania wengine. Kwa kuanzia nawaomba BAKWATA wapigie chapuo jambo ili liweze kufanikiwa haraka kuliko wanavyokaa kimya kana kwamba hawaoni tatizo.

Nina hakika baada ya waislamu kutimiziwa matakwa yao pia utatazama makundi mengine ya kijamii kama vile wamasai ili nao waruhusiwe kuvaa lubega na katambuga shuleni na vyuoni. Pamoja na kuwa utakuwa umewatendea haki wapiga kura wakao bila ubaguzi wowote, nina imani uvaaji wa vazi hili la kitamaduni utachangia kwa kiasi kikubwa kutangaza utalii wa kiutamadani (cultural tourism) kwani sekta ya utalii huliingizia taifa hili fedha nyingi za kigeni ambazo hutumika kujenga miundombinu ya umma kama vile SGR, Bwawa la Umeme la Nyerere, barabara na miradi mingi yenye manufaa kwa wananchi wote.

Nawasilisha.​
Nami kwa unyenyekevu naomba askari na wanajeshi wanawake waruhusiwe kuvaa hijabu pia askari wanaume wavae kanzu na makubazi.
 
Habari wakuu! Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Leo nimeona waraka mzuri sana kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (MoEVT) unaoruhusu wanafunzi wenye imani ya Rastafali kuruhusiwa kuvaa kofia kufunika nywele zao kwani hiki kimekuwa kilio cha muda mrefu tangu serikali zilizotangulia. Hili limewezekana tu katika awamu hii ya sita inayoongozwa na Jemedali, Chifu Hangaya, Rais Samia Suluhu Hassan. Nakupongeza sana kwa kujali imani za watu unaowaongoza. Mama anaupiga mwingi jamani! Wenye roho mbaya mkajinyonge au msage sumu mnywe, tutakuatana mbinguni.​

Lakini pamoja na pongezi hizi, nakuomba mama yangu Rais Samia uwaruhusu vijana wa kiislamu nao waweze kuvaa kanzu na baragashia ili kuondoa dhana ya upendeleo. Sio kwamba waislamu hatuna shukrani, la hasha! Tunakupongeza sana kwa kuruhusu mabinti wa kiislamu kuvaa hijabu wawapo mashuleni na vyuoni lakini tunasikitika watoto wa kiume hawaruhusiwi kuvaa kanzu na baragashia kwanini? Tatizo liko wapi?

Najua huenda wasaidizi wako wa chini ndio wanakushika miguu lakini nafahamu una uwezo wa kutoa amri leo na kesho Waziri wa Elimu akaandika waraka wa kuruhusu jambo hili kutekelezwa. Tunajua hushindwi kitu mama yetu kwani huwa unahakikisha watu wa imani zote wanatimiziwa matakwa yao bila kuathiri maslahi ya watanzania wengine. Kwa kuanzia nawaomba BAKWATA wapigie chapuo jambo ili liweze kufanikiwa haraka kuliko wanavyokaa kimya kana kwamba hawaoni tatizo.

Nina hakika baada ya waislamu kutimiziwa matakwa yao pia utatazama makundi mengine ya kijamii kama vile wamasai ili nao waruhusiwe kuvaa lubega na katambuga shuleni na vyuoni. Pamoja na kuwa utakuwa umewatendea haki wapiga kura wakao bila ubaguzi wowote, nina imani uvaaji wa vazi hili la kitamaduni utachangia kwa kiasi kikubwa kutangaza utalii wa kiutamadani (cultural tourism) kwani sekta ya utalii huliingizia taifa hili fedha nyingi za kigeni ambazo hutumika kujenga miundombinu ya umma kama vile SGR, Bwawa la Umeme la Nyerere, barabara na miradi mingi yenye manufaa kwa wananchi wote.

Nawasilisha.​
Hoja za kipu.mbavu kama hizi ndo Watanzania wengi wenye akili ndogo kama huyu wanaweza!
Sasa kuvaa kanzu na kofia za baraghashia kunaboreshaje elimu?
 
Hijabu zimeanza kuvaliwa awamu hii?.
Hizi sifa feki Rais hazipendi.
Jirekebisheni.
Habari wakuu! Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Leo nimeona waraka mzuri sana kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (MoEVT) unaoruhusu wanafunzi wenye imani ya Rastafali kuruhusiwa kuvaa kofia kufunika nywele zao kwani hiki kimekuwa kilio cha muda mrefu tangu serikali zilizotangulia. Hili limewezekana tu katika awamu hii ya sita inayoongozwa na Jemedali, Chifu Hangaya, Rais Samia Suluhu Hassan. Nakupongeza sana kwa kujali imani za watu unaowaongoza. Mama anaupiga mwingi jamani! Wenye roho mbaya mkajinyonge au msage sumu mnywe, tutakuatana mbinguni.​

Lakini pamoja na pongezi hizi, nakuomba mama yangu Rais Samia uwaruhusu vijana wa kiislamu nao waweze kuvaa kanzu na baragashia ili kuondoa dhana ya upendeleo. Sio kwamba waislamu hatuna shukrani, la hasha! Tunakupongeza sana kwa kuruhusu mabinti wa kiislamu kuvaa hijabu wawapo mashuleni na vyuoni lakini tunasikitika watoto wa kiume hawaruhusiwi kuvaa kanzu na baragashia kwanini? Tatizo liko wapi?

Najua huenda wasaidizi wako wa chini ndio wanakushika miguu lakini nafahamu una uwezo wa kutoa amri leo na kesho Waziri wa Elimu akaandika waraka wa kuruhusu jambo hili kutekelezwa. Tunajua hushindwi kitu mama yetu kwani huwa unahakikisha watu wa imani zote wanatimiziwa matakwa yao bila kuathiri maslahi ya watanzania wengine. Kwa kuanzia nawaomba BAKWATA wapigie chapuo jambo ili liweze kufanikiwa haraka kuliko wanavyokaa kimya kana kwamba hawaoni tatizo.

Nina hakika baada ya waislamu kutimiziwa matakwa yao pia utatazama makundi mengine ya kijamii kama vile wamasai ili nao waruhusiwe kuvaa lubega na katambuga shuleni na vyuoni. Pamoja na kuwa utakuwa umewatendea haki wapiga kura wakao bila ubaguzi wowote, nina imani uvaaji wa vazi hili la kitamaduni utachangia kwa kiasi kikubwa kutangaza utalii wa kiutamadani (cultural tourism) kwani sekta ya utalii huliingizia taifa hili fedha nyingi za kigeni ambazo hutumika kujenga miundombinu ya umma kama vile SGR, Bwawa la Umeme la Nyerere, barabara na miradi mingi yenye manufaa kwa wananchi wote.

Nawasilisha.​
 
Hayo mambo mengine hua wanaweka kwasababu ya sheria za lazima na za haki ya kidini, mfano kama unashule yako huwezi mlazimisha sista kuvua kilemba pia kwa msichana wa kiislam huwezi mlazimisha avue hijabu labda usiwaruhusu kusoma ila kama utakubali itabidi ukubali.
Sasa hapa tayari mbona maana ya sare imepotea mkuu?
 
Pia kuna baadhi shule zina sheria zake kuhusu sare kama wasichana wanavaa hijabu jeupe basi ni wasichana wote wawe wakristo au dini yoyote ila tu zifanane.
Hapa huoni kwamba wale wakristo wasiopoenda kuvaa hijabu utakuwa umewakwaza kwa kiasi kikubwa?
 
Pia kuna baadhi shule zina sheria zake kuhusu sare kama wasichana wanavaa hijabu jeupe basi ni wasichana wote wawe wakristo au dini yoyote ila tu zifanane.

Na hapo hawajaingilia maswala ya dili bali ni sare kama ukiona mwanao hawezi kuvaa unampeleka unapohisi panaendana na sheria za sare unazotaka ili asijihisi kutengwa.
Hili tayari ni tatizo mkuu. Huoni kwamba utakuwa unawakwaza wakristo kwa kuwalazimisha kuvaa kitu ambacho hawakipendi?
 
Kama ikitokea kukawa na uvaaji wa kanzu na barakashia basi itachaguliwa kama sare na kama itatokea rubega basi itachaguliwa kama sare na sio kila mmoja avae yake.
Kama itatokea uvaaji wa gaubuti basi itakua kiatu cha shule hicho.
Mkuu ukifanya hivi utaibua mtafaruku mkubwa sana katika jamii. Utakuwa hujaleta USAWA wala kutatua tatizo lililopo.
 
Nyerere alipo sema serikali haina dini, alifikiria mbali sana.
 
Maana ya shule ni Uniform, hamuwezi kusema kila kijana aje na vazi lake sasa si itakuwa kama shule ni soko.

Imani si mavazi, imani ipo ndani ya roho ya kijana mwenyewe - panua uelewa. Kanzu watavaa wakienda misikitini.
Labda kwa elimu baada ya sekondari.
 
Habari wakuu! Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Leo nimeona waraka mzuri sana kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (MoEVT) unaoruhusu wanafunzi wenye imani ya Rastafali kuruhusiwa kuvaa kofia kufunika nywele zao kwani hiki kimekuwa kilio cha muda mrefu tangu serikali zilizotangulia. Hili limewezekana tu katika awamu hii ya sita inayoongozwa na Jemedali, Chifu Hangaya, Rais Samia Suluhu Hassan. Nakupongeza sana kwa kujali imani za watu unaowaongoza. Mama anaupiga mwingi jamani! Wenye roho mbaya mkajinyonge au msage sumu mnywe, tutakuatana mbinguni.​

Lakini pamoja na pongezi hizi, nakuomba mama yangu Rais Samia uwaruhusu vijana wa kiislamu nao waweze kuvaa kanzu na baragashia ili kuondoa dhana ya upendeleo. Sio kwamba waislamu hatuna shukrani, la hasha! Tunakupongeza sana kwa kuruhusu mabinti wa kiislamu kuvaa hijabu wawapo mashuleni na vyuoni lakini tunasikitika watoto wa kiume hawaruhusiwi kuvaa kanzu na baragashia kwanini? Tatizo liko wapi?

Najua huenda wasaidizi wako wa chini ndio wanakushika miguu lakini nafahamu una uwezo wa kutoa amri leo na kesho Waziri wa Elimu akaandika waraka wa kuruhusu jambo hili kutekelezwa. Tunajua hushindwi kitu mama yetu kwani huwa unahakikisha watu wa imani zote wanatimiziwa matakwa yao bila kuathiri maslahi ya watanzania wengine. Kwa kuanzia nawaomba BAKWATA wapigie chapuo jambo ili liweze kufanikiwa haraka kuliko wanavyokaa kimya kana kwamba hawaoni tatizo.

Nina hakika baada ya waislamu kutimiziwa matakwa yao pia utatazama makundi mengine ya kijamii kama vile wamasai ili nao waruhusiwe kuvaa lubega na katambuga shuleni na vyuoni. Pamoja na kuwa utakuwa umewatendea haki wapiga kura wakao bila ubaguzi wowote, nina imani uvaaji wa vazi hili la kitamaduni utachangia kwa kiasi kikubwa kutangaza utalii wa kiutamadani (cultural tourism) kwani sekta ya utalii huliingizia taifa hili fedha nyingi za kigeni ambazo hutumika kujenga miundombinu ya umma kama vile SGR, Bwawa la Umeme la Nyerere, barabara na miradi mingi yenye manufaa kwa wananchi wote.

Nawasilisha.​
tukianza kuleta mambo ya kiimani katika taasisi zetu za elimu huko mbeleni tutakuja kulia.ni bora mambo ya elimu yakaachwa kama yalivyo na yanayohusu imani za watu yakabaki kwenye taasisi za kidini.
 
 
Back
Top Bottom