Asante Samia kwa ujumbe. Sasa tumeelewa bila watu fluani CCM haipo

Asante Samia kwa ujumbe. Sasa tumeelewa bila watu fluani CCM haipo

Kooote,ila kumrudisha Nape relini Mama kaupiga kwa kisigino,au mwingi.
Nape umerudi wizara ile ile so kaanzie ulikoishia, jumatatu tafuta makabrasha ya ile kamati ya Balile uyaweke standby (clouds issue)
 
Hili baraza jipya linaonyesha jinsi CCM ya kumilikiwa na watu inavyorudi kwa kasi. Sasa 2025 kwanini wasikunyooshe?

Umewapa uhalali wewe mwenyewe. Kijani wenzio watakupiga nje na ndani hakuna rangi utaacha kuona.
Yoyote atakayempinga Samia anacheza na Uhai wake. Samia ni Rais mpaka 2030.
 
Katika siku ambazo nimewahi furahi sana ni leo. Nchi imerudi katika ubora wake. Ajira zitaanza kumwagika Kama kipindi Cha jk. Pesa au mzungo wa pesa utaanza kuonekana. Asante Sana mungu umetusikiliza wanyonge
How?
 
Hili baraza jipya linaonyesha jinsi CCM ya kumilikiwa na watu inavyorudi kwa kasi. Sasa 2025 kwanini wasikunyooshe?

Umewapa uhalali wewe mwenyewe. Kijani wenzio watakupiga nje na ndani hakuna rangi utaacha kuona.
Huyu hangaya ni mzigo kwa taifa.
 
Back
Top Bottom