Asante Samia kwa ujumbe. Sasa tumeelewa bila watu fluani CCM haipo

Asante Samia kwa ujumbe. Sasa tumeelewa bila watu fluani CCM haipo

Mbna cku hiz umekuwa mnyonge sana we uvccm?????
Hizo ni fikra zao tu mkuu,

Ila wakati CCM inaundwa hao hawakuwepo

Historia inatuambia hivyo.

Hivyo wasikutishe mkuu,

Acha waruke ruke tu ila yote haya yana mwisho wake.

Mungu atatusaidia.
 
Maelezo yako yote hayabadishi ukweli wa kuwa Magu alikuwa mtesaji, muuaji, jambazi katili na dictator.
Heri hawa matapeli ni rahisi jinsi ya kuishi nao.
Kama alikuwa muuaji unachati kutoka kaburini au
 
Yes na utatu mchafu umekamilika.
Nape
Makamba
Mwigulu.
Haha maza amechemsha sana...eti jambazi Rizi anapewa ardhi????
Aisee huu utatu unanikumbusha IT Masaki gang😂😂
 
Utelezi unadondosha na kuvunjavinja saa nyingine...Sijui kwanini macho yangu huwa yanaona yasiyoonekana....It is well with my country
Mmh! Yetu macho na masikio ! Let us hope and pray for the best, year 2022 is on the way,
 
Hili baraza jipya linaonyesha jinsi CCM ya kumilikiwa na watu inavyorudi kwa kasi. Sasa 2025 kwanini wasikunyooshe?

Umewapa uhalali wewe mwenyewe. Kijani wenzio watakupiga nje na ndani hakuna rangi utaacha kuona.
Watanzania walidhani mchezo, mizoga timu hawako kwenye masikhara, wanausongo, hasira na uchu pia.
Baada ya kumaliza kazi march ya mwaka ule, hili la leo walilisubiri kwa hamu na gamu na kwa leo sherehe imeanza , wakisherehekea ushindi kuanzia march mwaka ule,
YA LEO KALI,
 
Hili baraza jipya linaonyesha jinsi CCM ya kumilikiwa na watu inavyorudi kwa kasi. Sasa 2025 kwanini wasikunyooshe?

Umewapa uhalali wewe mwenyewe. Kijani wenzio watakupiga nje na ndani hakuna rangi utaacha kuona.
Watanzania walidhani mchezo, mizoga timu hawako kwenye masikhara, wanausongo, hasira na uchu pia.
Baada ya kumaliza kazi march ya mwaka ule, hili la leo walilisubiri kwa hamu na gamu na kwa leo sherehe imeanza , wakisherehekea ushindi kuanzia march mwaka ule,
YA LEO KALI,





#onlyinTz
 
Yote hiyo ni Mipango ya Mungu.

Wapo waliojiona Dunia nzima ni yao na kufikia hatua ya kujiona ni Miungu ila leo wamebakia Historia tu.

Hata hawa leo wanaojiona hii nchi ni yao ipo siku aliyopanga Mungu watabakia historia tu.

Tanzania itapumua bila wao.

Ipo siku na itakuja na wala haipo mbali sana.

Uhuru kamili upo karibu sana. Tutaupata tu.
Hivi Bashite anajisikiaje huko aliko maana hata USA alikataliwa
 
Watanzania walidhani mchezo, mizoga timu hawako kwenye masikhara, wanausongo, hasira na uchu pia.
Baada ya kumaliza kazi march ya mwaka ule, hili la leo walilisubiri kwa hamu na gamu na kwa leo sherehe imeanza , wakisherehekea ushindi kuanzia march mwaka ule,
YA LEO KALI,
Kikwete kikwete ameonyeshwa rangi zake halisi leo.
Hatupo salama tena.
 
Nimeona, kuanzia kesho watu wataanza kuwasili upande wa vita.
Sana mkuu, sasa hivi tunapoongea nchi iko hot, uslama wa taifa wanahaha , imagine wanavyohangaika kuhandle situation isiwaponyoke lakini its too late,nao pia wamo mfukoni mwa Jinga Kubwa, ndio maana hawajazuia huu uozo, hapa ni kumalizana tu, kieleweke,
 
Sana mkuu, sasa hivi tunapoongea nchi iko hot, uslama wa taifa wanahaha , imagine wanavyohangaika kuhandle situation isiwaponyoke lakini its too late,nao pia wamo mfukoni mwa Jinga Kubwa, ndio maana hawajazuia huu uozo, hapa ni kumalizana tu, kieleweke,
Jinga kubwa ni mzoga?
 
Back
Top Bottom