Asante Samia kwa ujumbe. Sasa tumeelewa bila watu fluani CCM haipo

Asante Samia kwa ujumbe. Sasa tumeelewa bila watu fluani CCM haipo

Hizo ni fikra zao tu mkuu,

Ila wakati CCM inaundwa hao hawakuwepo

Historia inatuambia hivyo.

Hivyo wasikutishe mkuu,

Acha waruke ruke tu ila yote haya yana mwisho wake.

Mungu atatusaidia.
Sijaingia huku sihasani kitambo, kwani ndugu yangu Stroke uko Sukuma gang au Wahuni hardblasters??
 
Yote hiyo ni Mipango ya Mungu.

Wapo waliojiona Dunia nzima ni yao na kufikia hatua ya kujiona ni Miungu ila leo wamebakia Historia tu.

Hata hawa leo wanaojiona hii nchi ni yao ipo siku aliyopanga Mungu watabakia historia tu.

Tanzania itapumua bila wao.

Ipo siku na itakuja na wala haipo mbali sana.

Uhuru kamili upo karibu sana. Tutaupata tu.
Mkuu vipi mbona Stroke huyu sio yule wa kabla ya 17 March 2021? Naona sasa umeungana na watu wa upande wa pili uliokuwa unawabeza kabla ya 17 March 2021.
 
Yote hiyo ni Mipango ya Mungu.

Wapo waliojiona Dunia nzima ni yao na kufikia hatua ya kujiona ni Miungu ila leo wamebakia Historia tu.

Hata hawa leo wanaojiona hii nchi ni yao ipo siku aliyopanga Mungu watabakia historia tu.

Tanzania itapumua bila wao.

Ipo siku na itakuja na wala haipo mbali sana.

Uhuru kamili upo karibu sana. Tutaupata tu.
Loo, yaani leo hii umebaki kunung'unika wakati ndio ulikuwa kinala wa kutetea MFUMO CHAMA DOLA CCM, lungu kalikamata (....... ) uone machungu yake. nchi bila upinzani wa kisiasa ndio kama unavyoiona. Sasa usilalamike tulia mfumo mlioutaka uendelee, nchi yetu sote.
 
Hizo ni fikra zao tu mkuu,

Ila wakati CCM inaundwa hao hawakuwepo

Historia inatuambia hivyo.

Hivyo wasikutishe mkuu,

Acha waruke ruke tu ila yote haya yana mwisho wake.

Mungu atatusaidia.
Loo, yaani leo hii umebaki kunung'unika wakati ndio ulikuwa kinala wa kutetea MFUMO CHAMA DOLA CCM, lungu kalikamata (....... ) uone machungu yake. nchi bila upinzani wa kisiasa ndio kama unavyoiona. Sasa usilalamike tulia mfumo mlioutaka uendelee, nchi yetu sote.
Atulie dawa imwingie vizuri, au siyo..

Aache kubana matk*
 
Hili baraza jipya linaonyesha jinsi CCM ya kumilikiwa na watu inavyorudi kwa kasi. Sasa 2025 kwanini wasikunyooshe?

Umewapa uhalali wewe mwenyewe. Kijani wenzio watakupiga nje na ndani hakuna rangi utaacha kuona.
Kwani yeye mwenyewe aliyewatosa anasemaje
 
Sana mkuu, sasa hivi tunapoongea nchi iko hot, uslama wa taifa wanahaha , imagine wanavyohangaika kuhandle situation isiwaponyoke lakini its too late,nao pia wamo mfukoni mwa Jinga Kubwa, ndio maana hawajazuia huu uozo, hapa ni kumalizana tu, kieleweke,
Inaonekana una kitu, yaani kumalizana kwa sababu ipi hasa, unataka umpangie Rais watu wa kumsaidia ukiwa kama nani?,
Vyombo vya usalama, tafuteni hili gaidi, akiminywa kende atawataja wanaomtuma[emoji3][emoji3]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Loo, yaani leo hii umebaki kunung'unika wakati ndio ulikuwa kinala wa kutetea MFUMO CHAMA DOLA CCM, lungu kalikamata (....... ) uone machungu yake. nchi bila upinzani wa kisiasa ndio kama unavyoiona. Sasa usilalamike tulia mfumo mlioutaka uendelee, nchi yetu sote.
Huyo ni masalia ya wasiojulikana, mkondo wa hela umekata,,,, wamekula hela sana wakizunguka nchi nzima na noah nyeusi, wakisaka watanzania wenzao utafikiri wanasaka digidigi... [emoji16]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Inaonekana una kitu, yaani kumalizana kwa sababu ipi hasa, unataka umpangie Rais watu wa kumsaidia ukiwa kama nani?,
Vyombo vya usalama, tafuteni hili gaidi, akiminywa kende atawataja wanaomtuma[emoji3][emoji3]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Wewe si mjinga hata elimu huna, kwani kumalizana wewe umeelewaje, ?
Watu wana mbinu za kumalizana kisiasa nyumbu mdogo wewe, ndio nyie mazuzu mnaosaba isha taifa linaongozwa kama la mataahira ili,
 
Hili baraza jipya linaonyesha jinsi CCM ya kumilikiwa na watu inavyorudi kwa kasi. Sasa 2025 kwanini wasikunyooshe?

Umewapa uhalali wewe mwenyewe. Kijani wenzio watakupiga nje na ndani hakuna rangi utaacha kuona.
Jinyonge tu.
 
Hili baraza jipya linaonyesha jinsi CCM ya kumilikiwa na watu inavyorudi kwa kasi. Sasa 2025 kwanini wasikunyooshe?

Umewapa uhalali wewe mwenyewe. Kijani wenzio watakupiga nje na ndani hakuna rangi utaacha kuona.
Mungu kama yupo, na aibariki post hii iwe hai 2025. Amen!
 
Kooote,ila kumrudisha Nape relini Mama kaupiga kwa kisigino,au mwingi.
Nape umerudi wizara ile ile so kaanzie ulikoishia, jumatatu tafuta makabrasha ya ile kamati ya Balile uyaweke standby (clouds issue)
Makonda ilitakiwa saa hizi awe amekimbia yuko mbali sana
 
Ummi mwalimu himiza watu wote Dar kuvaa barakoa
 
Back
Top Bottom