Asante Samia kwa ujumbe. Sasa tumeelewa bila watu fluani CCM haipo

Asante Samia kwa ujumbe. Sasa tumeelewa bila watu fluani CCM haipo

Katika siku ambazo nimewahi furahi sana ni leo. Nchi imerudi katika ubora wake. Ajira zitaanza kumwagika Kama kipindi Cha jk. Pesa au mzungo wa pesa utaanza kuonekana. Asante Sana mungu umetusikiliza wanyonge
Kabisa mkuu,nchi imerudi kwa watoto wa mjini,wale washamba wote hawapo sasahv tunarudi kipindi kilee cha Jk hela zinarudi tena mtaani.....Tulifanya kosa kubwa sana nchi kukabidhi nchi kwa washamba.
 
We huoni jk alipokuwa madarakani watu wanapata ajira kila mwaka mpaka ikafikia wazazi wanakuwa proud kusomesha watoto? Lilie jinamizi lilipoingia madarakani tu likapiga pini ajira zote tukabaki Ni kuimba barabara tu.
 
Back
Top Bottom