Asanteni sana PSU chini ya TISS kwa kazi nzuri na iliyotukuka mlioifanya kwa huyo aliyekuwa 'mtoto mpendwa'

Asanteni sana PSU chini ya TISS kwa kazi nzuri na iliyotukuka mlioifanya kwa huyo aliyekuwa 'mtoto mpendwa'

..jamani msipige vidongo huyu dogo.

..bwana mkubwa akipata hizi habari anaweza kumrudisha dogo kwenye kiti cha enzi.
Hapa Bmkubwa anayeyusha tu ili kuondoa dhana ya kwamba anambeba.
Huyu dogo kifua chake ni 'kipana' kimebeba mengi na nzito sana, hawezi kuachwa tuu!

*Watu hawajiulizi, huyu dogo aliyemvuruga Mzee Warioba na tume yake aliwezaje kuwa RC
Warioba, PM na AG mstaafu!
*Alimvuruga EL, JK, K'nana, Marope &Family na hakuna aliyejibu mapigo
*Watu hawajiulizi yale ya Clouds na watu walivyopoteza vyeo vyao
*Hawajiulizi kwanini aliitwa ''Deputy President'' akiogopwa katika ngazi zote isipokuwa moja tu!
* Huyu dogo ana mengi moyoni hawezi kuachwa! akiamua kutopiga mswaki! ni balaa.

Dogo atarudi madarakani soon! msidanganyike na michezo ya kuigiza!
 
Kwenye hili nafikiria tofauti kidogo na watu wengi, Magu huyu Makonda kamute kidogo ili aonekane yeye ni msafi then baada ya hapo utamuona tena kwenye State akishinda.

Note hii comment
Sio unaakili tu bali unaona mbali kama Tai iko siku wataufukua huu uzi hatuna zaidi ya miezi 3 chukua🤛
 
Kwenye hili nafikiria tofauti kidogo na watu wengi, Magu huyu Makonda kamute kidogo ili aonekane yeye ni msafi then baada ya hapo utamuona tena kwenye State akishinda.

Note hii comment

Funika kombe ili iweje? Kwani akiamua kumbeba licha ya maovu yake kuna lolote litakalotokea?
 
Sio unaakili tu bali unaona mbali kama Tai iko siku wataufukua huu uzi hatuna zaidi ya miezi 3 chukua🤛

Nadhani mnajipa matumaini hewa. Jiwe akishatamka kuwa yeye ndo mwenye nchi, hapangiwi na mtu. Akiamua kumbeba Bashite hakuna wa kumzuwia. Sasa hizo ndoto zenu kuwa huko mbeleni sijui nini hamkuanza leo maana mliamini pia kuwa angembeba kwenye NEC. Hajaanza kuota leo.
 
Screenshot_20200820-185724.png
 
Hasira zake anaenda kumalizia kwa kulia Kanisani
 
Wengine tumesoma namba kwa miaka 5 nae akiwa sehemu ya kutomesha hiyo namba, Wacha nae aisome namba!
 
Ni drama tuu hzo na kwakua sisi tunapenda drama sizizo na mbele wa nyuma basi ndo tushapewa tujadili kuliko kujadili sera....perfect diversion!
 
Huyo dogo atakuwa mfanyabiashara au mkandarasi mkubwa wa tender za serikali. Lakini kwenye nyadhifa za uteuzi kuna uwezekano mdogo. Tatizo hakubariki kwenye serikali ya waziri mkuu Majaliwa, na hakubariki kichama kwenye secretarieti ya Bashiru na Polepole.

Bado kuna Pompeo wanamtafuta,kiasi kwamba kuna Airlines hawezi kuruhusiwa kupanda ndege zao. Hawezi kuteuliwa Ubalozi kwa sababu hawezi kukubarika kwenye nchi husika sababu ya ban ya Marekani.

Mambo yakimzidia arudi kuvua samaki.
 
Ila we jamaa upo na paulo tuu mda wote mtupie taulo bhana.
 
Tatizo hana kibari cha kuongoza kutoka kwa Mungu kwanza historia yake inasema alifika hapo kwenye ukuu wa mkoa kwa kumpiga mzee walioba lana inamtafuna sasa na bado
 
Back
Top Bottom