Asanteni wana Kawe, wana Mapinga Bagamoyo, Watanzania na Hodi Kampala na Uganda

Maneno mengi ya nini? Kama ni kweli nikitegemea unatupia picha za ticket au airport tuamini sio ngojera kama kidemu cha buza
ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA MAFURIKO YAKO YA BARAKA NA NAKUOMBA ZIDI KUFUNGUA MILANGO WANGA WAUMIE.
 
Lazima ufaidi mizigo yaki baganda,, napaelewa sana huko,,,,sasa connection ya Kampala na wewe piga pasi GENTAMYCINE
Kama kuna Post ambayo nimeipenda na naiheshimu basi ni hii yako Mkuu. On a serious note kweli nataka kutumia huu uwepo wangu wa hapa Ikulu Uganda kuutumia katika Kushirikiana na Kuwatafia Fursa Watanzania ama kwa kuwapa Connection za kuja huku kufanya Kazi au Waganda kuja huko Tanzania kufanya Kazi.

Kuna Miradi kadhaa Rais Museveni na Mwanae Muhoozi wanataka kuianzisha huko Tanzania hivyo najua nitatakiwa kuwapigia pande Watanzania hivyo nami kwakuwa sina Uchoyo, Wivu na Roho Mbaya nitahakikisha baadhi ya Watanzania wanafaidika na kama hutojali njoo PMi ili unipe contacts zako ili Mradi ukianza nawe uwemo.

Nimependa mno hii post yako tofauti na za Wapumbavu wengi hapo juu wanaodhani kuwa GENTAMYCINE nafanya mzaha.
 
OK M23 tuko msibani tunalilia askari watanzania wenzetu watatu waliouawa na M23 kongo
 
🤣🤣🤣
Sahizi umebadilisha Rudi kwenye Comment yako ya Nyuma ulichojibu na ulichojibu sasa 🤣
 
Kwa kumuonea Wivu Mtu ambaye hata Wewe na Yeye mkiunganisha Mishahara yenu ya Shilingi Laki Saba Saba bado hata Robo yake tu hamjamfikia?
Genta mm sina chuki na ww lkn kiukwel kama huo mshahara uliosema ndo unaolipwa bas unapigwa gape na demu wangu flan anafanya Kazi Moshi
 
Nchi hii mtu anaweza kuwa yupo huko kijijini kwao Bumangi anakula samaki wa kubanika na mgagani ila anajifanya yupo Uganda analindwa na wajeda. GENTAMYCINE njoo hapa Mwikoko kwa Mwegora tule mazara na ugali
 
Inside10 nilikupa Assignment ya Rubani wa Kike Captain Fiona Wambui wa Shirika la Ndege la Kenya ( Kenya Airways ) aliyenirusha jana kutoka JNIA hadi JKIA na ukasema kwa Kukurupuka Kwako na kutaka Sifa ukidhani kuwa Unaniumbua au Mimi nadanganya tu hapa. Tafadhali nasubiri mrejesho wako ili sasa kati yangu na Wewe nani ndiyo aonekane Mshamba, Mswahili na Mpumbavu Tukuka Ok?
 
I think you are not talented, normally talented people don't shout at all. You are rather entertainer.
 
Hii ni TZ-UG tu

Ingekua ni TZ to say Australia?

JF nzima ingezimwa zingekua ni uzi tupu za safari

What the fvck is this man?
 
Nchi hii mtu anaweza kuwa yupo huko kijijini kwao Bumangi anakula samaki wa kubanika na mgagani ila anajifanya yupo Uganda analindwa na wajeda. GENTAMYCINE njoo hapa Mwikoko kwa Mwegora tule mazara na ugali
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?

Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?

Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia Ok?
 
Nimebadilisha nini Mpumbavu Mmoja Wewe? Na nibadilishe ili iweje labda? Umekalia tu Wivu na Chuki. Na hapa bado!!!!
Hahaha Mkuu nikuonee Wivu kwenda Uganda 🤣🤣🤣
Dah Ama kweli Nisiongee sana Ntapata Dhambi mimi 🤣🤣🤣

Nisamehe Sana mkuu Na karibu Italy 😅😅
 
Hii ni TZ-UG tu

Ingekua ni TZ to say Australia?

JF nzima ingezimwa zingekua ni uzi tupu za safari

What the fvck is this man?
Leo HATERS Wote mtatoka mlikojificha na Mimi nimeuanzisha huu Uzi Makusudi ili tu mpasuke kwa Hasira na Niwakere tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…