Asanteni wana Kawe, wana Mapinga Bagamoyo, Watanzania na Hodi Kampala na Uganda

I love Kampala, ukipata nafasi nenda pale GOODSHEPHERD HIGH SCHOOL pale Mengo, afu weka picha zake humu.

Siku moja ntarudi Kampala.
 
Sema upo kitongoji cha Uganda kijijini kwenu Bumangi acha mbwembwe. Karibu sana hapa Mwikoko kwa Mwegora tule mazara na ugali wa udaga
 
Sema upo kitongoji cha Uganda kijijini kwenu Bumangi acha mbwembwe. Karibu sana hapa Mwikoko kwa Mwegora tule mazara na ugali wa udaga
ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA MAFURIKO YAKO YA BARAKA NA NAKUOMBA ZIDI KUFUNGUA MILANGO WANGA WAUMIE.
 
We sii bure,huyo kama si shemeji yako mkenya,ni nyumba mupya kwako ,hivyo kama wewe wa nyumbani jua nyumbani ni nyumbani hata kama shimoni,usiache kutupa mrejesho wa Kampala na maendeleo yake🤔
 
It's not for nothing, if it's not your Kenyan brother-in-law, it's a new home for you, so if you're from home, know that home is home even if it's in a ditch, don't stop giving us the return of Kampala and its development🤔
Rubbish and Nonsensical.
 
Nyie ndo wale mnasemaga ukipata ajali kwenye ndeg ni sifa
 

Uongo
 
Mkuu unapoteza muda wako bure kubishana na huyu mgonjwa kwanza hata hayupo Kampala. Hata hiyo Dar yenyewe hajawahi kufika anafanya kuisikia tu kwenye redio. Anaishi huko Bunda vijijini mkoani Mara. .
 
mtani,kolouzdad,mbumbumbu niliondoka kampala baada ya kumaliza masomo 2016 sijarudi tena ila nna mpango wa kuja kutembea kabla ya mwezi wa 6 nitakutafuta...mji mtamu sana huo
 
mtani,kolouzdad,mbumbumbu niliondoka kampala baada ya kumaliza masomo 2016 sijarudi tena ila nna mpango wa kuja kutembea kabla ya mwezi wa 6 nitakutafuta...mji mtamu sana huo
Nipo hadi June 2026 na kama Museveni au Muhoozi watakuwa Marais nitaendelea kuwepo wasipokuwa nahamia Rwanda.
 
Asante kwa huo Mwaliko wako Mkuu ila kwa sasa movements zangu zote ziko Controlled na Monitored na Watu wa State.
Dah, mkuu kama ni hivyo itakuwa ngumu sana. Nilitaka nikupeleke chimbo moja la hatari kwelikweli. Kama una ulinzi mkubwa hivyo haitowezekana tena, msalimie sana Muhoozi K.
 
Dah, mkuu kama ni hivyo itakuwa ngumu sana. Nilitaka nikupeleke chimbo moja la hatari kwelikweli. Kama una ulinzi mkubwa hivyo haitowezekana tena, msalimie sana Muhoozi K.
Zimefika Mkuu Jumapili nakutana nae Nyumbani Kwake kama ambavo nae tulimkaribisha Home Kwetu Dar mwaka 2014.
 
Ndege inaongozwa na Mwanamke mie nisingepanda.na siwezi kupanda.ni risk sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…